Naombeni ushauri nikubali hili sharti nililopewa na ex wangu

Naombeni ushauri nikubali hili sharti nililopewa na ex wangu

White drone

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2023
Posts
201
Reaction score
386
Habari wana jukwaa,uzi huu ni mrejesho wa ule uzi wangu unaosema “kwanini utoe namba kama hutaki kutoa ushirikiano”?. Baada ya kuona sipati chochote kutoka kwa namba mpya nikaamua nirudi kwa ex wangu wa muda mrefu kidogo na kutaka kurudiana nae hatimaye amenipa masharti mojawapo ni hili

Sharti langu ni kwamba nikiwa mpnz wako hutauona mwili wangu tenaaa mpk nikuone una malengo kweli.Yaani kiufupi tukishafungaa ndoaa au mimi kutambua familia yako na wewe kutambua yanguu
Ivoo usitegemeee ntakuvulia nguo tenaa”

2CE12747-2D52-43BD-A70E-16263E7EF8B4.jpeg
Nifanyeje hapa wanajukwaa?
 
Kwani kaka ulihombana na nyeto? Rudi kundini kaka stop engine 🤣🤣

Rules of Nyeto.
1. Haiombi nauli
2. Haina ubaguzi wa muda
3. Haina period
4. Inakupa utakacho
5. Inakupa ushirikiano 100%

Kaka piga nyero 🤣🤣
 
Back
Top Bottom