tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Apply Biomedical engineering (DIT)kwa sasa kuna vifaa tiba vingi sana kwenye Hosp za Umma alafu wataalamu wakuvifunga na servicing wachache..Mimi nilianzia QT mwaka juzi na nimemaliza Kidato cha nne mwaka Jana na matokeo yangu ni lama ifuatavyo, Civ 'C, Hist 'C, Geo 'C, Eng 'D, Kisw 'C, Phy 'C, Chem 'B, Bio 'C, Math 'A.
Umri wangu ni miaka 24
Naombeni ushauri kama nikienda chuo nikasomee nini chenye fursa?
Na Kama nikienda advance kusomea PCM au PCB, nini faida yake nikienda advance kuliganisha na chuo moja kwa moja.
Naomba ushauri wenu [emoji120][emoji120][emoji120]
Diagnostic Radiology(Wataalam wa Mionzi ni wachache sana Room iko wazi)utapiganiwa sana hii inatolewa Muhas kwa level ya diploma.
Changamka kijana Matokeo Yako yanaruhusu
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app