Naombeni ushauri wakuu, mke wangu amezaa na mwanaume mwingine

Naombeni ushauri wakuu, mke wangu amezaa na mwanaume mwingine

Mtimue oa mwingine, hakuna mjadala
Ana uhakika gani kuwa huyo atakayemuoa atakuwa mtulivu. Ogopa sana huyu kiumbe aliyezungumza na Shetani (Joka) ana kwa ana. Ukitaka uhakika, rejea kwa Adam au Samson.

Kuoa nu gudugudu tu, huwezi jua ukifunua uatapa au utakosa.

Huku kwetu tunasema, "mke haachwi isipokuwa kwa uasherati"
Nimenukuu tu Maandiko, ila asimwache, si ameomba msamaha?S "Samehe; sisemi mara saba, bali hata saba mara sabini"
 
Sasa mbona baada ya wewe kugundua ameacha kuteleza? Mwache aendelee kuteleza akielekea kwenye nyumba ya jamaa.
 
Acha uzwazwa jamaa yetu ukitulia na kumlea huyo mtt huyo jamaaa ataendeleza tu kuupiga huo mzigo km unapiga chini piga chin na usigeuke nyuma utageuka jiwe
 
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..

Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..

Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..

Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Dah..!
 
Kwa mambo haya yanayoendelea kweli kuoa itakua ngumu duuh
 
kuna mwamba alikua likizo kikaz akaenda bush kwao network chenga mkewe akamtengenezea chet cha kifo akapeleka kazin akavuta stahiki za kiongozi alafu akaolewa na mvuta bange wake wakat anasubiria taratibu za mirathi ndio mwamba anarudi anaonekana kama mzimu 😁😁😁
😂😂😂 huyo ukimuua hamna kesi mbinguni
 
Watu mnazungumza habari za watoto mnamsahau mtendwa. Hii kitu hawatakuwa na amani maisha yao yote. Hili jambo linaweza tokeza kifo mbele ya safari si la kuchukulia poa
 
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..

Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..

Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..

Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Pole kaka na mkasa wako,kwakweli umenisikitisha sana

Kama mwanaume mwenzako, nadhani ni wakati sasa ufanye DNA ya watoto wote 3 ili uwe na uwakika kama wote ni wako. Unaweza kuta hauna mtoto hapo! Mkasa kama wako sio mpya, mwaka huu uko Ghana,jamaa aligundua watoto 3 wote sio wake na mke wake alikuwa amezaa na pastor wao.

Kutokana na historia, check DNA ya watoto wote then utajua jinsi ya kufanya maana unaweza kukuta mke wako ni “mhuni” amekuwa anatoka nje ya ndoa kitambo “behind your back “.

Asante
 
Tunaoa ili tupate Watoto! Usiumize Watoto wako kwa tukio hilo.
Maana ukimfukuza watoto watateseka mno!
Ni kidonda moyoni cha maisha lakini vumilia!
 
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..

Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..

Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..

Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Kataa ndoa; ni utapeli.
 
Tunaoa ili tupate Watoto! Usiumize Watoto wako kwa tukio hilo.
Maana ukimfukuza watoto watateseka mno!
Ni kidonda moyoni cha maisha lakini vumilia!
Sasa aendelee kuzaa naye au amuachie mume mwenzake?
 
Siyo lazima azae naye tena! Lakini asmfukuze kwa faida ya Watoto.
Kiuhalisia huyo kakosa hadhi ya mke. Mwamba anatakiwa apige chini tu kuhusu watoto una assume tu amekufa. Kwani ikitokea leo kafa watoto ndo watakosa haki ya kuishi.
Kusingizia watoto kuteseka ni kutafuta huruma ya kulea ujinga. Piga chini maisha mengine yaendelee inaumiza lakini ni bora kuliko kuendelea kumkumbatia malaya.
 
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..

Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..

Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..

Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Mkuu chunguza na hao waliobaki wa 3
 
Back
Top Bottom