Ana uhakika gani kuwa huyo atakayemuoa atakuwa mtulivu. Ogopa sana huyu kiumbe aliyezungumza na Shetani (Joka) ana kwa ana. Ukitaka uhakika, rejea kwa Adam au Samson.Mtimue oa mwingine, hakuna mjadala
Dah..!kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..
Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..
Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
😂😂😂 huyo ukimuua hamna kesi mbingunikuna mwamba alikua likizo kikaz akaenda bush kwao network chenga mkewe akamtengenezea chet cha kifo akapeleka kazin akavuta stahiki za kiongozi alafu akaolewa na mvuta bange wake wakat anasubiria taratibu za mirathi ndio mwamba anarudi anaonekana kama mzimu 😁😁😁
bongo moja hio nchi ina watu milion sitin wengine mapimbi wengine maninja 😁Ni bongo hii hii?
Pole kaka na mkasa wako,kwakweli umenisikitisha sanakaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..
Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..
Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Kataa ndoa; ni utapeli.kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..
Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..
Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Sasa aendelee kuzaa naye au amuachie mume mwenzake?Tunaoa ili tupate Watoto! Usiumize Watoto wako kwa tukio hilo.
Maana ukimfukuza watoto watateseka mno!
Ni kidonda moyoni cha maisha lakini vumilia!
Siyo lazima azae naye tena! Lakini asmfukuze kwa faida ya Watoto.Sasa aendelee kuzaa naye au amuachie mume mwenzake?
Kiuhalisia huyo kakosa hadhi ya mke. Mwamba anatakiwa apige chini tu kuhusu watoto una assume tu amekufa. Kwani ikitokea leo kafa watoto ndo watakosa haki ya kuishi.Siyo lazima azae naye tena! Lakini asmfukuze kwa faida ya Watoto.
Mkuu chunguza na hao waliobaki wa 3kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..
Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..
Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...