TANESCO ni shirika la kijinga kabisa kuwahi kutokea Nchi hii yaan unakataje umeme zaidi ya masaa 13 kuna viwanda kuna watu wanaendesha maisha yao kwa kutumia umeme, wewe masaa 13+ umezima umeme una akili wewe? Wanaboa sana wajiangalie katika hili wanakera mnohuku una siku 5 haujakata mkuu..kulia kupokezana.
acha uboya pima afya kwanza, then piga mimbaKwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni. But I have to do this coz sitaki kutumia akili yangu mwenyewe nisije haribikiwa mbeleni huko.
====
Binafsi mbali na utani na utundu wangu naokua nao huku Jf. Ila huku duniani nimtu tofauti nimezubaaa saaaaana +Shyness (Sorry if it sound weird). Kutokana na jinsi nilivyo swala zima la kupata mwanamke kwangu hua kipengele sana[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
So for the past 2 months kuna mgahawa nilikua napenda kula maramoja moja. Nikifika pale nafanya kilichonipeleka tu just salam, kuagiza chakula nasema ahsante kisha ninapita hivi.
Sasa mmiliki mwenye mgahawa mdada alikua akiniona ananichangamkia sana.. As a man nikawa nishajua she's into me. Coz kuna muda nilikua napata huduma kuliko kiasi cha pesa nacholipia.
Sasa siku moja tuko na wengine workers nikawa nami naongea hapo ndio akapata chance ya kuwa anazungumza nami. Mara nyingi sana amekua akisema live kua she's into me. Mm hata sijali najua utani. Juzi hapo ndio akaniomba namba yangu nikachukua simu yangu akajidip nikawa na namba yake.
Sasa jana jioni akawa ananitext na kueleza anachotaka kwangu... Kiufupi huyu dada anataka azae na mimi. Yaani anasema anataman azae na mimi tu basi[emoji848][emoji848]. Nilijua anatania nikiamwambia saa mbili nitapita alipo aonge live hicho anachotaka kama kweli yupo serious.
Jioni nikaenda alipo akanipiga mistari kama yote hadi nikamwambia hii haijawahi tokea maishani mwangu[emoji3]
Kama kawaida yetu wanaume hua ni maharage ya mbeya mbele ya vocals za wanawake ilibidi nikubali tu ili nisionekane mnyonge/boya.
Nilimwambia mm sijajipanga kuzaa au kuoa mwaka huu yeye akasema hana shida na kuishi na mimi.. Hahitaji hata shing mia yangu anachotaka tu mm nimzalishe.
Ameniambia yeye ana nyumba yake ya urithi na frame za urithi mjini zenye wapangaji +plus mgahawa yeye anahitaji mtoto nami tu hata nisumbua kwa lolote.
Tatizo ananizid miaka kadhaa maana yeye ni wa 96 mimi wa ....... Ila sura, tako shepu matata vyote vipo
Sasa wakuu nipeni muongozo juu ya hili swala niamue nini kuhusu swala la kuzaa nae. Maana siwezi susia free utelezi. Mwenyewe anataka Jpili hii tuanze shughuli ya kumtia mimba[emoji51][emoji51][emoji51]
Kwa wapenda pichaView attachment 2862817
View attachment 2862818
Haina haja ya maulizo hapo ni kula mzigo kwanza kwa CD then asepe.USijichanganye kabisa. Muulize kwanini msianzishe mahusiano then swala la mtoto lije baadae? Mkomalie hapo then uanze kumchunguza ila msisitize mtoto haupo tayari uone msimamo wake
Bado mzee endelea kuzigida[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nilidhan nimelewa
Siku zote watu wenye akili kubwa huwa si waongeaji wazuri na ukiwasikiliza hutotamani kuendelea kuwapa attention kwasababau wanataka waongee kidogo uyaelewe hata yatakayofuata yaani uwe mtu wa kujiongeza sana ila wakiamua kuandika wanaandika kwa ufasaha zaidi kwasababu ya kuathiriwa na kuwa na uwezo mdogo wa ushawishi wa kuongea kwahiyo wanachoandika wanapenda kieleweke bila kuwepo maswali maana hawana uwezo mzuri wa kuyajibu maswali so katika uandishi wao wanakuwa na avoidance kubwa ya kutengeneza maswali japo kupitia kuandika wanayajibu pia kwa usahihi.Ahsante sana mkuu sema kwa upande wangu hua nachukulia kama adhabu kwa uwezo wa kutafakari vitu vilivyo nje ya umri wangu. Why???
Mfano:
- Mfalme suleiman kwenye kitabu chake cha muhubiri anasema kwamba "panapo maarifa ndio penye chanzo cha huzuni masikitiko makubwa"
- Pia mwandishi Charles Bukowask anasema kwamba kadri ya jinsi unavyojua vitu vingi ndio furaha yako na amani inatoweka.
Faida.
- Kichwani kwangu hua kuna mavitu meeengi sana yaani natafakari mambo meengi yaani ili nipate ahueni ni mpaka niviandike maana mm sio muongeaji mzuri.. Ninayoamdika ukiniambia niyazungumze utajionea kituko. So kuna muda hua nalala saa kumi usingizi hauji nawaza mambo ambayo hata ukimueleza mtu anakuona kichaa.
- Nashukuru kuifaham jf maana ndio mahali pekee napotolea mizigo ya fikra nilizonazo kichwani... I wish ningekua Author au Screenwriter.
- Nimetumia muda mwingi kuwa na watu wazima nikiwa mdogo maana since nipo 15yrs nipo humu kabla ya kujiunga so kiukweli sijafaidi ujana wangu na mengi ya ujana yamenipita.
-Jf na duniani huku si watu wazima au wadogo wamekua wakiniamini katika kuwapa ushauri kwenye maswala yanayowatatiza.
-Hua najizolea ujiko nikiongea na watu coz I know alot of things kasoro mpira tu so wengi hupenda kunisikiliza kile nachoongea. ❤️
Mmenisanua aisee ngoja niachane nae
Dada yangu umeongea point nzuri, ila kama story ya mtoa mada ni kweli jua kwamba mtoa mada keshalewa na mtego wa papuchi ya bure, wanaume wengi hatuna sexual discipline, tuna njaa sana ya ngono, na Hilo ndo anguko letu wengi LovelovieMuda ulonaao nao sasa ni muda wa kufikili na kuangalia kati ya madem ulionao ni yupi anafaa kwa matumizi ya familia,, yupi mwenye afya njema ambae ataweza kumudu kubeba ujauzito ma yupi mwenye akili timamu.
Hawa watu wa kukuomba yeye hapana mwambie tu katafute mwingine ww pia unavigezo vyako.
Kweli kabisa mkuu mimi Nina low latent inhibition ndio maanaSiku zote watu wenye akili kubwa huwa si waongeaji wazuri na ukiwasikiliza hutotamani kuendelea kuwapa attention kwasababau wanataka waongee kidogo uyaelewe hata yatakayofuata yaani uwe mtu wa kujiongeza sana ila wakiamua kuandika wanaandika kwa ufasaha zaidi kwasababu ya kuathiriwa na kuwa na uwezo mdogo wa ushawishi wa kuongea kwahiyo wanachoandika wanapenda kieleweke bila kuwepo maswali maana hawana uwezo mzuri wa kuyajibu maswali so katika uandishi wao wanakuwa na avoidance kubwa ya kutengeneza maswali japo kupitia kuandika wanayajibu pia kwa usahihi.
Huyo kwenye avatar wamfahamu?? Sidanganyi kabisaMkuu uwezo wako ni mkubwa sana kuanzia hata kwenye avatar yako kama uliweza kuipata katika umri mdogo kiasi hicho kama haudanganyi lakini maana humu namo mambo ni mengi sana.
Nashukuru kwa kusoma mada zangu sirNaufananisha uandishi wako na Humble African pamoja na The bold japo siku hizi wote wamepotea jukwaani. Nafurahia sana kusoma makala zako kwani zimetafitiwa vya kutosha na zimeshiba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TANESCO ni wasengerema tu, wanakata umeme siku nzima masaa zaidi ya 13 bila sababu za msingi bila taarifa yoyote ni shirika la kijinga kabisa
Nikahisi labda nimeshiba sana maana🤣🤣🤣Unajitumia meseji unajijibu mwenyewe stop this madness
🤣🤣🤣😀😀😀😀😀nilidhan nimelewa
Da' vinci nampata kiasi fulani ila kupitia maandiko yenu humu jf ni mchoraji na mwanamahesabu mkubwa sana hapa duniani ndo kabadilisha sana sanaa ya dunia ya uchoraji na ni mkongwe wa architecture draftingKweli kabisa mkuu mimi Nina low latent inhibition ndio maana
Ulishawahi kukutana na mtu mwenye ugonjwa wa Low Latent Inhibition: Fahamu ugonjwa wa Low latent inhibition
Mates, Wakati wengi tukiwa tunajua kwaba ubongo wa mwanadamu umegawanyika sehemu tatu ambazo ni ubongo wa mbele,katikati na nyuma tu, kuna wataalamu wa masuala ya akili (Neuorologist) na wataalamu wa masuala ya ufanyaji kazi wa akili (psychologist) wamekua wakiamini/waki-Ague kwamba ubongo wa...www.jamiiforums.com
Huyo kwenye avatar wamfahamu?? Sidanganyi kabisa
Nashukuru kwa kusoma mada zangu sir
Umeishajaribu hata kumuulizaKwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni. But I have to do this coz sitaki kutumia akili yangu mwenyewe nisije haribikiwa mbeleni huko.
====
Binafsi mbali na utani na utundu wangu naokua nao huku Jf. Ila huku duniani nimtu tofauti nimezubaaa saaaaana +Shyness (Sorry if it sound weird). Kutokana na jinsi nilivyo swala zima la kupata mwanamke kwangu hua kipengele sana[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
So for the past 2 months kuna mgahawa nilikua napenda kula maramoja moja. Nikifika pale nafanya kilichonipeleka tu just salam, kuagiza chakula nasema ahsante kisha ninapita hivi.
Sasa mmiliki mwenye mgahawa mdada alikua akiniona ananichangamkia sana.. As a man nikawa nishajua she's into me. Coz kuna muda nilikua napata huduma kuliko kiasi cha pesa nacholipia.
Sasa siku moja tuko na wengine workers nikawa nami naongea hapo ndio akapata chance ya kuwa anazungumza nami. Mara nyingi sana amekua akisema live kua she's into me. Mm hata sijali najua utani. Juzi hapo ndio akaniomba namba yangu nikachukua simu yangu akajidip nikawa na namba yake.
Sasa jana jioni akawa ananitext na kueleza anachotaka kwangu... Kiufupi huyu dada anataka azae na mimi. Yaani anasema anataman azae na mimi tu basi[emoji848][emoji848]. Nilijua anatania nikiamwambia saa mbili nitapita alipo aonge live hicho anachotaka kama kweli yupo serious.
Jioni nikaenda alipo akanipiga mistari kama yote hadi nikamwambia hii haijawahi tokea maishani mwangu[emoji3]
Kama kawaida yetu wanaume hua ni maharage ya mbeya mbele ya vocals za wanawake ilibidi nikubali tu ili nisionekane mnyonge/boya.
Nilimwambia mm sijajipanga kuzaa au kuoa mwaka huu yeye akasema hana shida na kuishi na mimi.. Hahitaji hata shing mia yangu anachotaka tu mm nimzalishe.
Ameniambia yeye ana nyumba yake ya urithi na frame za urithi mjini zenye wapangaji +plus mgahawa yeye anahitaji mtoto nami tu hata nisumbua kwa lolote.
Tatizo ananizid miaka kadhaa maana yeye ni wa 96 mimi wa ....... Ila sura, tako shepu matata vyote vipo
Sasa wakuu nipeni muongozo juu ya hili swala niamue nini kuhusu swala la kuzaa nae. Maana siwezi susia free utelezi. Mwenyewe anataka Jpili hii tuanze shughuli ya kumtia mimba[emoji51][emoji51][emoji51]
Kwa wapenda pichaView attachment 2862817
View attachment 2862818