Mnanguliti
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 490
- 1,351
Dah uko njema sana aise unaandika mada za kiutu uzima sana kwa maana ya kwamba zimeshiba na educative sanaBaraka tu za Mungu mkuu, nilipevuka akili kabla ya umri wangu. Mada zangu nyingi nimeandika nikiwa kati ya 18yrs - 23yrs