Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Napigilia Msumari Hoja. Pepo la Nyeto lina moto wake pekee huko jehanamuHivyo vyote utaweza kuacha. Ila kama umeanza NYETO ndio basi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napigilia Msumari Hoja. Pepo la Nyeto lina moto wake pekee huko jehanamuHivyo vyote utaweza kuacha. Ila kama umeanza NYETO ndio basi tu.
asante bro.... 😂Kula pombe dogo, kula pombe! Kama upo dsm nicheki PM uje TTG Kimara Korogwe ule windhoek tani yako ukalale.
Hayo mashisha mabangi achana nayo ni ya wahuni sio jadi yetu wachaga.
Pombe imebarikiwa
sijawahi kula bange mzee........Fanya yote lakini usiache bangi. Huo mmea unaongeza sana consciousness
Kama wanakusukuma kuvuta wewe vuta bangi haina shidasijawahi kula bange mzee........
inaleta uraibu ujue....Kama wanakusukuma kuvuta wewe vuta bangi haina shida
Naunga hoja🔨🔨🔨Napendekeza ID zetu ziwekwe label..
Mfano under 18
20-30
31-40
Tujuane umri. Hili ni balaa
Usihofu mdogo wangu uzuri haina gharama kama pombeinaleta uraibu ujue....
umeshtuka 😂Naunga hoja🔨🔨🔨
mbona kuna wababu walevi.....pole sana aisee, ukikua utaacha usiogope 😌
Yaan mpaka mapigo ya Moyo yanaenda kasi 🤣🤣🤣🤣🤣umeshtuka 😂
bado nakupenda kama hutojali....😂
hapana inaharibu ubongo 😂Usihofu mdogo wangu uzuri haina gharama kama pombe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pambana kwanza ukishakua Mwanaume tutazungumza lugha lenye kuelewekabado nakupenda kama hutojali....😂
kwahiyo utanisubiria 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pambana kwanza ukishakua Mwanaume tutazungumza lugha lenye kueleweka
Naogopa Child Abuse 🤣🙌
Nikikusibiria mda huo si ntakua SHANGAZI🤣🤣🤣🤣🤣🙌kwahiyo utanisubiria 😂
hamna shida nimekupenda just the way you are..... 😂Nikikusibiria mda huo si ntakua SHANGAZI🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Ahahaha NYETO hatare sana.... sijui ni kwa nini ni ngumu sana kuachana na hii kitu..Hivyo vyote utaweza kuacha. Ila kama umeanza NYETO ndio basi tu.