Naombeni ushauri wenu kwenye hili tafadhali.....

Naombeni ushauri wenu kwenye hili tafadhali.....

at 19 years unakunywa pombe n bangi ??/Asee wazazi wako wakogo wapi wanakupoteza

Wenzako at 19 tuko vyuo vikuu tunasaka degrees wewe uko bize na bangi asee😂😂😂 kwakweli tunatofautiana vipaumbele


Anyway badilisha marafiki huko mnakoelekea sio kuzuri, starehe gharama
 
Dogo anaomba ushauri kama aanze kuvuta bangi na kunywa pombe
Mm sipendagi kunywa pombe wala kuvuta sigara, yani hizo vitu sio starehe yangu kabisa, namshauri asinywe pombe na asivute sigara, kama anakunywa anywe, kwa kiasi, asinywe hadi akalala barabarani, na sigara avute kwa kiasi Demi
 
at 19 years unakunywa pombe n bangi ??/Asee wazazi wako wakogo wapi wanakupoteza

Wenzako at 19 tuko vyuo vikuu tunasaka degrees wewe uko bize na bangi asee[emoji23][emoji23][emoji23] kwakweli tunatofautiana vipaumbele


Anyway badilisha marafiki huko mnakoelekea sio kuzuri, starehe gharama
Palina toto la kipareee[emoji23] nakuona....
 
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 19. Hivi karibuni nimekua nikipatwa na msukumo mkubwa wa kunywa pombe na kuvuta bangi. Kusema kweli najaribu sana kujizuia, lakini naona kama hizi jitihada zangu hazitozaa matunda.....

Kwa muda mrefu sasa, marafiki zangu nawaona wanachukulia hii ishu kawaida sana..... Tukiwa kwenye mitoko, hawawezi acha kulewa ovyo, kuvuta bangi na shisha, na ku-vape. Kwa mtazamo wao, ni kitu cha kawaida sana, na wanaona kama hakuna madhara yoyote yanaweza kutokea. Wanasema 'wanakula ujana', 'wanamwagilia moyo'.....
Miaka mingi sasa tumekua tukiishi haya maisha.... kwenda maclub weekend na 'kula bata'. Mimi nimekua nikijizuia mno...... nazugazuga chupa moja nainya hata masaa 2-3.....

Unaweza sema niko kwenye makundi mabaya, lakini mimi sioni hivyo.... hawa ni marafiki zangu wa muda mrefu, tumekua tukisaidiana sana, sema hapo kwenye mambo ya starehe ndo tunatofautiana.....

Pia ndugu, ukizingatia kwamba mimi ni mchaga(kote upande wa baba na mama), wanatumia sana haya mazaga na wamekua wakinishawishi sana, na hata wengine kuonyesha dharau.... Nakumbuka kuna siku nilitoka na bamkubwa nikakataa kunywa pombe.... alicheka sana na kunishangaa.....

Najua wengine mnaweza sema hakuna shida yeyote kwenye kutumia kidogo, lakini kama nilivosema..... mimi ni kijana mdogo, bado maisha yangu ni marahisi, nategemea wazazi, hivyo bado nina ndoto za kufanya vitu vikubwa na maisha yangu, hivyo naogopa sana pombe na bangi vitanirudisha nyuma. Nimeona watu wengi wakiharibikiwa kwasababu ya pombe na bangi....

Najua humu JF watu wazima mko wengi, naomba mnishauri..... Kuna namna ya kubalance maisha ya kawaida na hizi starehe?? Au niendelee kukaa navyo mbali.... na ikiwa hivyo, nitumie mbinu gani??

Kwanza kama wewe ni kijana wa miaka 19 unafanya nini kwenye huu mtandao! Huu sio mtandao wa watoto. Umri wa miaka 19-26 ni umri wa masomo hivyo tafuta walimu wa kuongea nao kwa matatatizo yako na wataalamu wa afya. Ni lazima uongee wa watu wazima waelewaji. Tatu ingawa sheria zinaruhusu kunywa Pombe inatakiwa kuanzia miaka 21 kwa nchi nyingi na ndiyo maana unapata matatizo kwasababu kwa umri huo hutakiwi kunywa pombe kabisa. lakini cha mwisho kaongee na wazazi wako au wajomba, baba wadogo...mashangazi
 
Mm sipendagi kunywa pombe wala kuvuta sigara, yani hizo vitu sio starehe yangu kabisa, namshauri asinywe pombe na asivute sigara, kama anakunywa anywe, kwa kiasi, asinywe hadi akalala barabarani, na sigara avute kwa kiasi Demi
Na kulamba tigo??[emoji23]
 
Mm sipendagi kunywa pombe wala kuvuta sigara, yani hizo vitu sio starehe yangu kabisa, namshauri asinywe pombe na asivute sigara, kama anakunywa anywe, kwa kiasi, asinywe hadi akalala barabarani, na sigara avute kwa kiasi Demi
Sigara asivute kabisa.
Kauliza kuhusu bangi. Ana miaka 19
 
Back
Top Bottom