Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ku-hangout na washkaji.... Weekend nyingi lazima kuna mtu atapendekeza twende sehemu flani tukale bata....Usinywe pombe au kuvuta bangi kisa watu wanaokuzunguka utaharibikiwa kuliko wao. Mie mwenyewe mchaga ila sinywi pombe na ma group hayajawahigi kunishawishi just be you. Pia hivi ni lazima uende kwenye ma club?
Ndo Nimeanza kuaga nipeni maua yangu kabla sijasepa moja kwa mojaNa wewe tukupe maua yako kabla ya kuaga au ?
Uvumilivu unanishinda mama, najiona si-fit tena 😀Mimi mama yako nipogo tu
Tulia humu ni free stress zone
Ni kweli. Siku zote najua ni mtu mzima.Uzuri kijana ana miaka 19 yrs lakini ana Huwezo mkubwa wa kuwasilisha hoja zake na kueleweka kuliko matured man wengi Kama akina Chizi Maarifa
He he hee[emoji23][emoji23]dah.... Na ulivokua mchangiaji mzuri....
Tuunde group letu la wasap sisi watu wazima.19 years? 🙄🙄🙄
Wewe ni mwanangu kabisa.... Aisee kwaherini JF siitaki tena.
Watu wazima mtaishia kulana tu nyie hamna loloteTuunde group letu la wasap sisi watu wazima.
Watoto wamejaa na wanatuchosha na mada zao za kula tunda kimasihara.
kwa umri wake anajitambua asijichanganye tu maana ataharibu future yake.Nimeshampa dogo ushauri. Uzuri ni kwamba naonekana anajitambua
[emoji23][emoji23]nilivojiunga JF ndo nimejua uhalisia wa watu wazima. Mwanzoni nilikua nawaona kaa marobot[emoji23]Watu wazima mtaishia kulana tu nyie hamna lolote
Umeuliza maana ya rose flowers. Maua yapo ya aina nyingiThat's what you mean ?
Tuone hivi hivi...kuna wenye mambo ya hovyo hutaamini[emoji23][emoji23]nilivojiunga JF ndo nimejua uhalisia wa watu wazima. Mwanzoni nilikua nawaona kaa marobot[emoji23]
Achana na hayo makitu kwa sasa. Utafanya baadae sasa hivi utaharibikiwa mchana kweupe
[emoji23][emoji23]najikinga....Acha umalaya kama hunywi pombe, huvuti bangi ww ni mademu tu HIV itakuuwa kenge ww
Jukwaa la afya. Naanza kujali afya yangu zaidi😀Unaenda wapi nikufuate?