Naombeni ushauri wenu kwenye hili tafadhali.....

Naombeni ushauri wenu kwenye hili tafadhali.....

Umri wako unaruhusu kujijenga.
Anza program ya mazoezi jioni.
Soma vitabu hivi na uvielewe “think and grow rich” na “the richest man in Babylon”.
Tafuta target ya maisha yako uanze kufuata kupitia techniques za hizo vitabu.

Automatic utajiepusha na hizo mambo za ajabu na utakuja kushukuru after ten years.

Wengine hatukupata hizi bahati za mentors wazuri na resources.
 
Back
Top Bottom