an alpha male
JF-Expert Member
- Mar 28, 2022
- 1,026
- 2,211
[emoji23][emoji23][emoji23]Hadi wewe mwanangu unazingua bhna....19years hauwezi kuwa na maamuzi yako binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atavaa kyupi kichwan shauri yakeHuyu dogo anazingua hivyo kumbe
Mabangi hayo, ndio shida
Kuanzia leo kabla sijakujibu nitakuuliza umetoa lock au bado[emoji23][emoji23]19 ni katoto[emoji88]
Sio kweliMwakani namaliza chuo wewe[emoji23]
ushauri mzuri kabisa kwanza akafue kesho shuleWe mtoto wa miaka 19 unajua nini kuhusu ndoa😂
Em acha hizo bana, kazana kwenye masomo.
Mwakani form 4, hatutaki zero hapa
🤣🤣🤣 Wacha awaingize chaka, wameyataka wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]na watu bila kujua dogo ni nguvu ya mibangi wanaunga mkono hoja[emoji23][emoji23]
Niliwahishwa shule.... Nilianza nikiwa na miaka 2.... Sijaenda advance[emoji23]Sio kweli
Nakaziaushauri mzuri kabisa kwanza akafue kesho shule
Tatizo pressure.... The pressure is real....[emoji23][emoji23][emoji23]Hadi wewe mwanangu unazingua bhna....19years hauwezi kuwa na maamuzi yako binafsi
Au sio[emoji23]Kuanzia leo kabla sijakujibu nitakuuliza umetoa lock au bado[emoji23][emoji23]
Unaona madhara ya mabangi hayoNiliwahishwa shule.... Nilianza nikiwa na miaka 2.... Sijaenda advance[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wacha awaingize chaka, wameyataka wenyewe
Kusoma diploma ni vibaya[emoji23]Unaona madhara ya mabangi hayo
Acha kuvuta, hutafika mbali
Bado sana inaonekana hata first love bado unakimbilia mambo ya ndoa. Unatishika na mambo hata huyajuiLakini naona majirani wanavoteseka na ndoa[emoji23]
atayapata soonMpeni mwamba mshamba_hachekwi maua yake🤣
Diploma bila kumaliza form 4Kusoma diploma ni vibaya[emoji23]
Acha usifanye kumfurahisha mtu utafeli vibaya, okoa nafsi yako mwenyewe tunaishi mara mojamimi ni kijana mdogo, bado maisha yangu ni marahisi, nategemea wazazi, hivyo bado nina ndoto za kufanya vitu vikubwa na maisha yangu, hivyo naogopa sana pombe na bangi vitanirudisha nyuma.
[emoji23][emoji23][emoji23]Au sio[emoji23]
Mimi mama yako nipogo tu19 years? 🙄🙄🙄
Wewe ni mwanangu kabisa.... Aisee kwaherini JF siitaki tena.