Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina ubaya kulana,tumekulana miaka yote itakuwa ajabu leo?Watu wazima mtaishia kulana tu nyie hamna lolote
Mm sipendagi kunywa pombe wala kuvuta sigara, yani hizo vitu sio starehe yangu kabisa, namshauri asinywe pombe na asivute sigara, kama anakunywa anywe, kwa kiasi, asinywe hadi akalala barabarani, na sigara avute kwa kiasi DemiDogo anaomba ushauri kama aanze kuvuta bangi na kunywa pombe
Palina toto la kipareee[emoji23] nakuona....at 19 years unakunywa pombe n bangi ??/Asee wazazi wako wakogo wapi wanakupoteza
Wenzako at 19 tuko vyuo vikuu tunasaka degrees wewe uko bize na bangi asee[emoji23][emoji23][emoji23] kwakweli tunatofautiana vipaumbele
Anyway badilisha marafiki huko mnakoelekea sio kuzuri, starehe gharama
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 19. Hivi karibuni nimekua nikipatwa na msukumo mkubwa wa kunywa pombe na kuvuta bangi. Kusema kweli najaribu sana kujizuia, lakini naona kama hizi jitihada zangu hazitozaa matunda.....
Kwa muda mrefu sasa, marafiki zangu nawaona wanachukulia hii ishu kawaida sana..... Tukiwa kwenye mitoko, hawawezi acha kulewa ovyo, kuvuta bangi na shisha, na ku-vape. Kwa mtazamo wao, ni kitu cha kawaida sana, na wanaona kama hakuna madhara yoyote yanaweza kutokea. Wanasema 'wanakula ujana', 'wanamwagilia moyo'.....
Miaka mingi sasa tumekua tukiishi haya maisha.... kwenda maclub weekend na 'kula bata'. Mimi nimekua nikijizuia mno...... nazugazuga chupa moja nainya hata masaa 2-3.....
Unaweza sema niko kwenye makundi mabaya, lakini mimi sioni hivyo.... hawa ni marafiki zangu wa muda mrefu, tumekua tukisaidiana sana, sema hapo kwenye mambo ya starehe ndo tunatofautiana.....
Pia ndugu, ukizingatia kwamba mimi ni mchaga(kote upande wa baba na mama), wanatumia sana haya mazaga na wamekua wakinishawishi sana, na hata wengine kuonyesha dharau.... Nakumbuka kuna siku nilitoka na bamkubwa nikakataa kunywa pombe.... alicheka sana na kunishangaa.....
Najua wengine mnaweza sema hakuna shida yeyote kwenye kutumia kidogo, lakini kama nilivosema..... mimi ni kijana mdogo, bado maisha yangu ni marahisi, nategemea wazazi, hivyo bado nina ndoto za kufanya vitu vikubwa na maisha yangu, hivyo naogopa sana pombe na bangi vitanirudisha nyuma. Nimeona watu wengi wakiharibikiwa kwasababu ya pombe na bangi....
Najua humu JF watu wazima mko wengi, naomba mnishauri..... Kuna namna ya kubalance maisha ya kawaida na hizi starehe?? Au niendelee kukaa navyo mbali.... na ikiwa hivyo, nitumie mbinu gani??
Sigara asivute kabisa.Mm sipendagi kunywa pombe wala kuvuta sigara, yani hizo vitu sio starehe yangu kabisa, namshauri asinywe pombe na asivute sigara, kama anakunywa anywe, kwa kiasi, asinywe hadi akalala barabarani, na sigara avute kwa kiasi Demi
Sitaki....[emoji23] unani-friendzone....Sio mparee mie ramli zako zimefeli[emoji23][emoji23][emoji23]
Afu kila ukini quote anza na 'shikamoo dada au greeting madam"
Asa kwa huo mri mi nikuoeleke wapi mdogo angu , rudi chuo ukafanye assignmentSitaki....[emoji23] unani-friendzone....
Ukipenda we lamba tigo ya demu mkuu, hivi unajua kulamba tigo ya demu ni salama kiafya, kuliko kulamba papuchi yake mshamba_hachekwiNa kulamba tigo??[emoji23]
Haya sasa[emoji23] Demi unaona??[emoji23]Ukipenda we lamba tigo ya demu mkuu, hivi unajua kulamba tigo ya demu ni salama kiafya, kuliko kulamba papuchi yake mshamba_hachekwi
Nimechangamka[emoji23].... Mpya sokoni, inafaa kwa matumizi...[emoji23]Asa kwa huo mri mi nikuoeleke wapi mdogo angu , rudi chuo ukafanye assignment
So upo JF kutafuta mpenzi sio??Nimechangamka[emoji23].... Mpya sokoni, inafaa kwa matumizi...[emoji23]
Have a nice time mkuu, enjoy your journeyNimechangamka[emoji23].... Mpya sokoni, inafaa kwa matumizi...[emoji23]