Naona aibu kuuza maji barabarani nisaidieni

Huu sio mwandiko wa yudizimu.
 
Kwahiyo elimu yake inamsaidia kuuza maji barabarani?

We kweli mwehu?
mimi na wewe nani mwehu,wewe unamwambia asiuze maji,mimi na mwambia uza,sasa elimu inamsaidia nini hapo?namshukuru mungu sijasoma ila nimefanikiwa kuliko walioenda shule na nimewaajiri kibao tu waliosoma
 
Funga macho fanya kuuza hayo maji maana huna kingine cha kufanya. Ila unaweza ukuza huo mtaji kaka yako aliokupa, ukawa unauza maji mengi zaidi. Baadae unatafuta kijana anakuwa anakuuzia.
 
Funga macho fanya kuuza hayo maji maana huna kingine cha kufanya. Ila unaweza ukuza huo mtaji kaka yako aliokupa, ukawa unauza maji mengi zaidi. Baadae unatafuta kijana anakuwa anakuuzia.
Duh
 
Hhhhhhaaaa eti kub3t
 
Sasa 7000 kwa siku halafu future yako itatimia lini
 
mtu ana miaka 26 halafu kasoma, shule ya msingi, secondary (o-level na aA-level) na degree halafu anajiita yeye ni mtoto mdogo. kweli mambo ni mengi, muda mchache
 
Daah ndugu wengine ni Changamoto aise
 
Kumbe n bora aishi na digrii yake kwa shemej yake??.

Soma alama za nyakati.
 
Yani hii nchi ngumu sana kiongozi halafu saizi ukiwa msomi huna kazi wala pesa mitaani wanakudhihaki
Sio nchi ngumu, na sio kudhihakiwa.

Jamii inategemea kuona ww na usomi wako unakuwa mfano wa kuigwa na wengine..... Msomi n mtu anayeaminiwa sana na jamii coz wanaamini ana uwezo wa kufikiri nje ya box.
Inaleta picha gan msomi huyohuyo yupo directionless. Komaa na mawazo ya Kivumishi Kielezi . ilee hio digrii nyumban ukifika mda wake itazaa mapacha.
 
Kakako na shemeji yako wana akili sana. Kama utashindwa kujifunza kutoka kwao itakuwa ngumu sana mtu mwingine akufundishe na ukaelewa.
 
Sawa,Huwezi hadharani, kwa siri je? unaweza?, yaani usijulikane unauza maji wateja waje wanunue kisiri siri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…