Naona aibu kuuza maji barabarani nisaidieni

Haloo kweli nitafanya ivo
 
hata mimi nisinge uza bora hayo maji niyanywe tuu.

na anakuleteaje biashara ya maji hata hamjashauriana au anataka akukomoe??
rudi home dingi using'ang'anie dar
Dar siwez kuondoka kijijini hakuna mishe
 
Yani hii nchi ngumu sana kiongozi halafu saizi ukiwa msomi huna kazi wala pesa mitaani wanakudhihaki
 
Hata mimi nakuunga mkono atakupaje biashara hamjashauriana nae?
 
Unatakutuaminisha hyo picha ni wewe,Nani alikupiga tuambie...we jamaa unafurahisha kijiwe
 
Kuwa smart,acha kuzingua kijana mwenzangu
Hauna demu?
Sometimes ukiwa na demu unapata hamsa ya kufanya kazi kwa bidii ili utoboe
Tangu mwaka Jana Sina demu wala sijawahi Pata hata buku Tatu mfukoni nikachukue hata danga nisafishe rungu
 
Kumbe una degree.
 
Mtegemea cha nduguye hufa maskini
 
Kayauze Jumla, carton ya Maj na mo unapata mtaj wa kupga mbanga ingne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…