Naona BASATA wanajisahau sana, mziki wa Amapiano unaharibu vijana

Naona BASATA wanajisahau sana, mziki wa Amapiano unaharibu vijana

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Kiukweli kwenye huu mziki kuna wasanii wanaleta usodoma na gomola kwenye taifa letu.

Wanaimba maneno yasioeleweka kwenye kamusi yoyote, alafu vijana wetu wanakalili hayo.

Unakuta mtu hadi anakwenda kulala, kabla ya kusinzia ana refresh na ushetani kwanza.. wa Chino wana man.

hivi unaelewa hata maana ya hilo jina, ukiimba hivo roho gani inakupanda? utagundua ni ushetani mtupu.

Kuna video nimepishana nayo wapo na fid Q
wanaona watuonyeshe nyeti za wanawake tu sindio.

Nyimbo zinawachota watu akili.


Kajamaa kamepewe mistari huko na miungu yake, kaje kawasodomize wabongo bila kujua.
 
Television sio kifaa kizuri kabisa kwa watoto kwa sasa, uchafu mwingi unapandikizwa huko.

Ni bora mtoto akawekewa some movie na mzazi kwenye Laptop
especially Cartoon za Kidini.

Mbali na hapo, akizubaa na MAGIC BONGO unampoteza
 
Kiukweli kwenye huu mziki kuna wasanii wanaleta usodoma na gomola kwenye taifa letu.

Wanaimba maneno yasioeleweka kwenye kamusi yoyote, alafu vijana wetu wanakalili hayo.

Unakuta mtu hadi anakwenda kulala, kabla ya kusinzia ana refresh na ushetani kwanza.. wa Chino wana man.

hivi unaelewa hata maana ya hilo jina, ukiimba hivo roho gani inakupanda? utagundua ni ushetani mtupu.

Kuna video nimepishana nayo wapo na fid Q
wanaona watuonyeshe nyeti za wanawake tu sindio.

Nyimbo zinawachota watu akili.


Kajamaa kamepewe mistari huko na miungu yake, kaje kawasodomize wabongo bila kujua.
Acha imani potofu wewe Mungu ni wa kila mtu akuna kilichokikamilifu acha atoe burudani ukiona uwezi auna kipaji fulani usiingize wivu na chuki binafsi wala usiukumu wengine wewe una mabaya mangapi lakini akuna mtu ashawai kukuhukumu wabongo tatizo amjawai kum support mtu kazi kuponda na kudidimiza wenye vipaji vyao ,,,,acha pigo izoo Arifuu acha watu watafute riziki.
 
Duh
1689784533996.jpg
 
Back
Top Bottom