Naona BASATA wanajisahau sana, mziki wa Amapiano unaharibu vijana

Naona BASATA wanajisahau sana, mziki wa Amapiano unaharibu vijana

Haelewi sie tunafeel vipi tunavyoskia nyimbo za kwaya na kusifu,
watu wanatembea na spika na mic mtaani wanahubiri makelele tu.

Usiku kucha wengine wamefungulia mziki wanaabudu kwa makelele...

Inatuboa sana
😂😂🤣🤣🤣
 
Haelewi sie tunafeel vipi tunavyoskia nyimbo za kwaya na kusifu,
watu wanatembea na spika na mic mtaani wanahubiri makelele tu.

Usiku kucha wengine wamefungulia mziki wanaabudu kwa makelele...

Inatuboa sana
Wambie hao wanafiki. Kujifanya watu wa mungu lkn kutwa kufatilia mambo ya kidunia sijui wanategemea nini.

Kila mtu afate anachotaka bila kuingiliana.
 
Back
Top Bottom