Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] alafu wanacheza kama mazombi..Juzi kati nipo na rafiki yangu kwenye gari naskia chino wana man
Nakaa kidogo naskia chino wana man
Sijatulia vzuri tena naskia chino wana man
Hadi nikamuuliza ni nini hicho mbona sielewi
unakutana na mtoto wa shule ya msingi anatongoza mwalimu wake, unajiuliza inawezekana vip.Watoto ambao ni wepesi kukariri ndio tunawapoteza...
Kuna maroho wanayabeba Kutoka ktk hiyo miziki ndo mwishowe wanaharibika...
Oya we mwenzenu mimi.......😂Daady me I want to paaarty..🤣
😂😂😂kuna ule uwaki mwingine wanafheza wanabinua matako yani dah[emoji23][emoji23][emoji23] alafu wanacheza kama mazombi..
Sijui kutongozaaaa🤣Oya we mwenzenu mimi.......😂
mtoto anataka piipi piipi piipi😂Oya we mwenzenu mimi.......😂
Kabisa mkuu, utakuta baba na mama na wao wanafurahia mtoto kuangalia na kucheza hiyo miziki...unakutana na mtoto wa shule ya msingi anatongoza mwalimu wake, unajiuliza inawezekana vip.
Kumbe chanzo ni anachokiona kwenye tv
Wakijipitishaaaa.......😂🤣🤣Sijui kutongozaaaa🤣
Hahahaha 😂😂😂🤣,, wewe jamaa 🤣🤣🤣🙈mtoto anataka piipi piipi piipi😂
nitakupa tena, jua likizama😁Hahahaha 😂😂😂🤣,, wewe jamaa 🤣🤣🤣🙈
Nipo nasikiliza shuuu hapaWakijipitishaaaa.......😂🤣🤣
Niko na pwipwi hapa😂😂🙈Nipo nasikiliza shuuu hapa
Uzi wa watu huu,, we haya 😂😂😂nitakupa tena, jua likizama😁
Sawa mjomba wamekusikiaTelevision sio kifaa kizuri kabisa kwa watoto kwa sasa, uchafu mwingi unapandikizwa huko.
Ni bora mtoto akawekewa some movie na mzazi kwenye Laptop
especially Cartoon za Kidini.
Mbali na hapo, akizubaa na MAGIC BONGO unampoteza
Miguu sasa😂😂🙈🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Sawa mjomba wamekusikiaView attachment 2693451