Naona BASATA wanajisahau sana, mziki wa Amapiano unaharibu vijana

Naona BASATA wanajisahau sana, mziki wa Amapiano unaharibu vijana

Kiukweli kwenye huu mziki kuna wasanii wanaleta usodoma na gomola kwenye taifa letu.

Wanaimba maneno yasioeleweka kwenye kamusi yoyote, alafu vijana wetu wanakalili hayo.

Unakuta mtu hadi anakwenda kulala, kabla ya kusinzia ana refresh na ushetani kwanza.. wa Chino wana man.

hivi unaelewa hata maana ya hilo jina, ukiimba hivo roho gani inakupanda? utagundua ni ushetani mtupu.

Kuna video nimepishana nayo wapo na fid Q
wanaona watuonyeshe nyeti za wanawake tu sindio.

Nyimbo zinawachota watu akili.


Kajamaa kamepewe mistari huko na miungu yake, kaje kawasodomize wabongo bila kujua.
Jua mipaka ya imani yako

Imani ni imani tu, wala siyo kweli.

Kisa wewe unaimani fulani haikufanyi uingilie maisha ya wengine.

Wewe ishi kivyako ujiandae na mbinguni.

Usituambie mambo ya roho, sodoma sjui ushetani...
Haya yote yanaweza kuwa ni upuuzi kwa mitazamo ya mwingine.

Waacheni watu wafuate wanavyovipenda vilivyo halali.
 
Jua mipaka ya imani yako

Imani ni imani tu, wala siyo kweli.

Kisa wewe unaimani fulani haikufanyi uingilie maisha ya wengine.

Wewe ishi kivyako ujiandae na mbinguni.

Usituambie mambo ya roho, sodoma sjui ushetani...
Haya yote yanaweza kuwa ni upuuzi kwa mitazamo ya mwingine.

Waacheni watu wafuate wanavyovipenda vilivyo halali.
Let everyone push any agenda they want
 
Channels za dini zipo hamuangalii mmeng'ang'ania za kidunia. Msiangalie mbona simple?
Haelewi sie tunafeel vipi tunavyoskia nyimbo za kwaya na kusifu,
watu wanatembea na spika na mic mtaani wanahubiri makelele tu.

Usiku kucha wengine wamefungulia mziki wanaabudu kwa makelele...

Inatuboa sana
 
Back
Top Bottom