Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Namwaga seraa 🤣🤣🤣Wakijipitishaaaa.......😂🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namwaga seraa 🤣🤣🤣Wakijipitishaaaa.......😂🤣🤣
Oya sio poaaa🤣🤣🤣Sawa mjomba wamekusikiaView attachment 2693451
Sisi tunataka kumwagiwa hela sio sera😃😃🤣🤣🤣🙌Namwaga seraa 🤣🤣🤣
Umbe wanauza KYUMA usisemee ivooo 😁😄😅😀Amina,Amina na mwAjuma
Wanaringa wamepima
Kumbe wanauza .......
Hahahah nanyie mtamwaga nini sasaSisi tunataka kumwagiwa hela sio sera😃😃🤣🤣🤣🙌
Sisi hatuna kingine cha kumwaga 😃😃😃Hahahah nanyie mtamwaga nini sasa
Nyuma kishundu mbwiii ukimkatia huyo hakuna kumwachia gapMiguu sasa😂😂🙈🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Hahahah mumwage utelezi tu maana hamna namna😀Sisi hatuna kingine cha kumwaga 😃😃😃
Aisee 😃😃Nyuma kishundu mbwiii ukimkatia huyo hakuna kumwachia gap
Kwakweli ndo kilichobaki 😃😃🙈Hahahah mumwage utelezi tu maana hamna namna😀
Unajua boringo😂😂😂🤣😂
Napenda kucheza mziki kusikufanye usikilize mziki wenye maudhuhi machafu.
Vipi Singeli za kanga moko?unakuta mtu hujui hata juzuu moja, lakini amapiano zote zipo kichwan
Jua mipaka ya imani yakoKiukweli kwenye huu mziki kuna wasanii wanaleta usodoma na gomola kwenye taifa letu.
Wanaimba maneno yasioeleweka kwenye kamusi yoyote, alafu vijana wetu wanakalili hayo.
Unakuta mtu hadi anakwenda kulala, kabla ya kusinzia ana refresh na ushetani kwanza.. wa Chino wana man.
hivi unaelewa hata maana ya hilo jina, ukiimba hivo roho gani inakupanda? utagundua ni ushetani mtupu.
Kuna video nimepishana nayo wapo na fid Q
wanaona watuonyeshe nyeti za wanawake tu sindio.
Nyimbo zinawachota watu akili.
Kajamaa kamepewe mistari huko na miungu yake, kaje kawasodomize wabongo bila kujua.
Let everyone push any agenda they wantJua mipaka ya imani yako
Imani ni imani tu, wala siyo kweli.
Kisa wewe unaimani fulani haikufanyi uingilie maisha ya wengine.
Wewe ishi kivyako ujiandae na mbinguni.
Usituambie mambo ya roho, sodoma sjui ushetani...
Haya yote yanaweza kuwa ni upuuzi kwa mitazamo ya mwingine.
Waacheni watu wafuate wanavyovipenda vilivyo halali.
Haelewi sie tunafeel vipi tunavyoskia nyimbo za kwaya na kusifu,Channels za dini zipo hamuangalii mmeng'ang'ania za kidunia. Msiangalie mbona simple?