[emoji23][emoji23][emoji23] alafu wanacheza kama mazombi..Juzi kati nipo na rafiki yangu kwenye gari naskia chino wana man
Nakaa kidogo naskia chino wana man
Sijatulia vzuri tena naskia chino wana man
Hadi nikamuuliza ni nini hicho mbona sielewi
unakutana na mtoto wa shule ya msingi anatongoza mwalimu wake, unajiuliza inawezekana vip.Watoto ambao ni wepesi kukariri ndio tunawapoteza...
Kuna maroho wanayabeba Kutoka ktk hiyo miziki ndo mwishowe wanaharibika...
Oya we mwenzenu mimi.......πDaady me I want to paaarty..π€£
πππkuna ule uwaki mwingine wanafheza wanabinua matako yani dah[emoji23][emoji23][emoji23] alafu wanacheza kama mazombi..
Sijui kutongozaaaaπ€£Oya we mwenzenu mimi.......π
mtoto anataka piipi piipi piipiπOya we mwenzenu mimi.......π
Kabisa mkuu, utakuta baba na mama na wao wanafurahia mtoto kuangalia na kucheza hiyo miziki...unakutana na mtoto wa shule ya msingi anatongoza mwalimu wake, unajiuliza inawezekana vip.
Kumbe chanzo ni anachokiona kwenye tv
Wakijipitishaaaa.......ππ€£π€£Sijui kutongozaaaaπ€£
Hahahaha ππππ€£,, wewe jamaa π€£π€£π€£πmtoto anataka piipi piipi piipiπ
nitakupa tena, jua likizamaπHahahaha ππππ€£,, wewe jamaa π€£π€£π€£π
Nipo nasikiliza shuuu hapaWakijipitishaaaa.......ππ€£π€£
Niko na pwipwi hapaπππNipo nasikiliza shuuu hapa
Uzi wa watu huu,, we haya πππnitakupa tena, jua likizamaπ
Sawa mjomba wamekusikiaTelevision sio kifaa kizuri kabisa kwa watoto kwa sasa, uchafu mwingi unapandikizwa huko.
Ni bora mtoto akawekewa some movie na mzazi kwenye Laptop
especially Cartoon za Kidini.
Mbali na hapo, akizubaa na MAGIC BONGO unampoteza
Miguu sasaππππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈSawa mjomba wamekusikiaView attachment 2693451