Namwaga seraa π€£π€£π€£Wakijipitishaaaa.......ππ€£π€£
Oya sio poaaaπ€£π€£π€£Sawa mjomba wamekusikiaView attachment 2693451
Sisi tunataka kumwagiwa hela sio seraπππ€£π€£π€£πNamwaga seraa π€£π€£π€£
Umbe wanauza KYUMA usisemee ivooo πππ πAmina,Amina na mwAjuma
Wanaringa wamepima
Kumbe wanauza .......
Hahahah nanyie mtamwaga nini sasaSisi tunataka kumwagiwa hela sio seraπππ€£π€£π€£π
Sisi hatuna kingine cha kumwaga πππHahahah nanyie mtamwaga nini sasa
Nyuma kishundu mbwiii ukimkatia huyo hakuna kumwachia gapMiguu sasaππππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Hahahah mumwage utelezi tu maana hamna namnaπSisi hatuna kingine cha kumwaga πππ
Aisee ππNyuma kishundu mbwiii ukimkatia huyo hakuna kumwachia gap
Kwakweli ndo kilichobaki πππHahahah mumwage utelezi tu maana hamna namnaπ
Unajua boringoππππ€£π
Napenda kucheza mziki kusikufanye usikilize mziki wenye maudhuhi machafu.
Vipi Singeli za kanga moko?unakuta mtu hujui hata juzuu moja, lakini amapiano zote zipo kichwan
Jua mipaka ya imani yakoKiukweli kwenye huu mziki kuna wasanii wanaleta usodoma na gomola kwenye taifa letu.
Wanaimba maneno yasioeleweka kwenye kamusi yoyote, alafu vijana wetu wanakalili hayo.
Unakuta mtu hadi anakwenda kulala, kabla ya kusinzia ana refresh na ushetani kwanza.. wa Chino wana man.
hivi unaelewa hata maana ya hilo jina, ukiimba hivo roho gani inakupanda? utagundua ni ushetani mtupu.
Kuna video nimepishana nayo wapo na fid Q
wanaona watuonyeshe nyeti za wanawake tu sindio.
Nyimbo zinawachota watu akili.
Kajamaa kamepewe mistari huko na miungu yake, kaje kawasodomize wabongo bila kujua.
Let everyone push any agenda they wantJua mipaka ya imani yako
Imani ni imani tu, wala siyo kweli.
Kisa wewe unaimani fulani haikufanyi uingilie maisha ya wengine.
Wewe ishi kivyako ujiandae na mbinguni.
Usituambie mambo ya roho, sodoma sjui ushetani...
Haya yote yanaweza kuwa ni upuuzi kwa mitazamo ya mwingine.
Waacheni watu wafuate wanavyovipenda vilivyo halali.
Haelewi sie tunafeel vipi tunavyoskia nyimbo za kwaya na kusifu,Channels za dini zipo hamuangalii mmeng'ang'ania za kidunia. Msiangalie mbona simple?