Surya JF-Expert Member Joined Jun 7, 2015 Posts 8,774 Reaction score 13,566 Jul 19, 2023 Thread starter #61 smotor said: Haelewi sie tunafeel vipi tunavyoskia nyimbo za kwaya na kusifu, watu wanatembea na spika na mic mtaani wanahubiri makelele tu. Usiku kucha wengine wamefungulia mziki wanaabudu kwa makelele... Inatuboa sana Click to expand... πππ€£π€£π€£
smotor said: Haelewi sie tunafeel vipi tunavyoskia nyimbo za kwaya na kusifu, watu wanatembea na spika na mic mtaani wanahubiri makelele tu. Usiku kucha wengine wamefungulia mziki wanaabudu kwa makelele... Inatuboa sana Click to expand... πππ€£π€£π€£
Danelagen bin Al Maktoum JF-Expert Member Joined Jun 24, 2023 Posts 354 Reaction score 807 Jul 19, 2023 #62 Kuna cheza moja ya amapiani ya kiwanja sana Dume zima unakuta linacheza
Demi JF-Expert Member Joined Nov 22, 2016 Posts 40,466 Reaction score 88,695 Jul 19, 2023 #63 smotor said: Haelewi sie tunafeel vipi tunavyoskia nyimbo za kwaya na kusifu, watu wanatembea na spika na mic mtaani wanahubiri makelele tu. Usiku kucha wengine wamefungulia mziki wanaabudu kwa makelele... Inatuboa sana Click to expand... Wambie hao wanafiki. Kujifanya watu wa mungu lkn kutwa kufatilia mambo ya kidunia sijui wanategemea nini. Kila mtu afate anachotaka bila kuingiliana.
smotor said: Haelewi sie tunafeel vipi tunavyoskia nyimbo za kwaya na kusifu, watu wanatembea na spika na mic mtaani wanahubiri makelele tu. Usiku kucha wengine wamefungulia mziki wanaabudu kwa makelele... Inatuboa sana Click to expand... Wambie hao wanafiki. Kujifanya watu wa mungu lkn kutwa kufatilia mambo ya kidunia sijui wanategemea nini. Kila mtu afate anachotaka bila kuingiliana.