Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
Aisee tena usiongee kabisa. Hilo dubwana linaloitwa HESLB linaumiza vibaya ovyosuperbug,
Unaota mchana kweupe wewe. Waajiriwa wa serikali na wenye mikopo ya bodi hawafiki hata 20% ya wapigakura wote.
Ujinga wako upo kwenye ubongo wa mbele.superbug,
Unaota mchana kweupe wewe. Waajiriwa wa serikali na wenye mikopo ya bodi hawafiki hata 20% ya wapigakura wote.
Maandiko matakatifu (Mithali 9:13 Mwanamke mpumbavu hupiga kelele, Ni mjinga, hajui kitu) yanaakisi fikra zako kama walivyonena wahenge Fuumbo mfumbie mjinga, mwerevu atang'amua. Yaani, wewe na wenzako mnao shabikia uovu, uhuni na uwongo wa viongozi wa CHADEMA ni kama Bendera kufuata upepo.Mateka ni wewe
Hizi ishu mbili kwa CCM ni Kama ile kitu wanasema ukisimama nchale ukikimbia nchale yani either way ya option haitawasaidia maana wakitangaza Leo kuongeza watumishi mishahara itatafsirika ni rushwa wasipoongeza pia mbaya maadam washaamua kuwalia watumishi mavi waendelee kula mavi kila mtu ajue lake .......Siku moja nilionana na Salum Mwalimu jijini Mwanza nilihitaji nimdokezee suala la HESLB na Mishahara ya watumishi wa umma hasa watumishi waliopo kwenye idara ya afya na elimu,hizi ni kete kubwa mbili kwa Chadema japo sikuweza kuzungumza nae lkn,Mungu ni mwema ujumbe umewafikia!
Naona Tanzania na Africa mashariki inavyokwenda kuandika historia mpya.
Chadema msitishike kabisa mnaenda kushindana mchana kweupe na ikitokea mnaletewa figisu ndio itakuwa mwisho wa CCM katika uso wa dunia.
CCM kupitia mwenyekiti wao wamejitengenezea maadui wengi mno na ndio maana wanatumia nguvu nyingi Sana kumpamba na propaganda za kinafiki.
Imagine bila kutafuna maneno bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilichowafanyia watu hasa walioajiriwa serikalini wakati huohuo hawajaongezwa mishahara toka awamu ya tano ishike dola unadhani watu Hawa watakuwa upande gani?
CHADEMA anzeni na agenda hizi.:
1. Kufuta makato ya HELSB au kupunguza kea asilimia kubwa.
2. Kupandisha mishahara ya watumishi hawa Wana hasira iliyojificha sana hawaionyeshi.
3. Amani demokrasia na usalama
Chadema itaisimamisha Afrika.
Kuinanga serikali iliyoko madarakani ni jukumu halali la upinzani waisifie iweje? Halafu wajinga wachache Kama nyie ndio mawazo yenu yanarudisha nyuma maendeleo. Swala la sekondari bure ilikuwa ni agenda ya chadema tunapokuwa na strong opposition ndio wananchi wanafaidika kwasababu chama tawala kinaogopa kikivurunda kinatolewa Sasa nyie mlivyo wajinga mnaombea upinzani ufe aiseee akili ndogo ni tatizo unatakiwa ujue The stronger the opposition the more people benefit and vise versa.Kuturudisha kwenye chama kimoja nikurudisha nyuma maendeleo.Kwa maajabu gani iliyofanya zaidi ya kuinanga serikali iliyoko madarakani. Kwa upande wangu naiona chadema ikipoteza majimbo yote tegemezi.
Huu ni mwaka naona chadema ikipoteza nafasi ya kambi upinzani bungeni.
Chadema ni vyema ingefanya siasa safi ikiwa ni pamoja na kupongeza baadhi ya juhudi ambazo serikali inazifanya. Sio kila kitu ni cha kusema vibaya jamani. lolKuina
Kuinanga serikali iliyoko madarakani ni jukumu halali la upinzani waisifie iweje? Halafu wajinga wachache Kama nyie ndio mawazo yenu yanarudisha nyuma maendeleo. Swala la sekondari bure ilikuwa ni agenda ya chadema tunapokuwa na strong opposition ndio wananchi wanafaidika kwasababu chama tawala kinaogopa kikivurunda kinatolewa Sasa nyie mlivyo wajinga mnaombea upinzani ufe aiseee akili ndogo ni tatizo unatakiwa ujue The stronger the opposition the more people benefit and vise versa.Kuturudisha kwenye chama kimoja nikurudisha nyuma maendeleo.
Hi sio lazima mbona CCM mko obsessed Sana na masifa ? No wonder jp mmempa sifa za uungu TBCChadema ni vyema ingefanya siasa safi ikiwa ni pamoja na kupongeza baadhi ya juhudi ambazo serikali inazifanya. Sio kila kitu ni cha kusema vibaya jamani. lol
Uungu mtu wapi wakati mambo anayofanya yanaonekana kwenye mazuri si vibaya kupongeza mpendwa. Na pale anapokosea ruksa kusahihisha kwa kutokutumia lugha ya kejeli.Hi sio lazima mbona CCM mko obsessed Sana na masifa ? No wonder jp mmempa sifa za uungu TBC
Kwa tume hii na taratibu hizi za uchaguzi; hii ni ndoto ya mchana. Pole.Kweli mkuu CCM na mgombea wao mh. Rais Magufuli wanaenda kuangushwa na chadema kupitia mgombea anayesubiriwa kutia Nia baada ya tangazo la katibu mkuu Mh. Mnyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wanajeshi hawana combat. Navy white siku hizi zinashonwa kariakoor na hela ya Askari, boot hakunaNaona Tanzania na Africa mashariki inavyokwenda kuandika historia mpya.
Chadema msitishike kabisa mnaenda kushindana mchana kweupe na ikitokea mnaletewa figisu ndio itakuwa mwisho wa CCM katika uso wa dunia.
CCM kupitia mwenyekiti wao wamejitengenezea maadui wengi mno na ndio maana wanatumia nguvu nyingi Sana kumpamba na propaganda za kinafiki.
Imagine bila kutafuna maneno bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilichowafanyia watu hasa walioajiriwa serikalini wakati huohuo hawajaongezwa mishahara toka awamu ya tano ishike dola unadhani watu Hawa watakuwa upande gani?
CHADEMA anzeni na agenda hizi.:
1. Kufuta makato ya HELSB au kupunguza kea asilimia kubwa.
2. Kupandisha mishahara ya watumishi hawa Wana hasira iliyojificha sana hawaionyeshi.
3. Amani demokrasia na usalama
Chadema itaisimamisha Afrika.
Unajua hata mgonjwa anaekaribia kufa kule mwisho mwisho huwa anakuwa amechangamka hadi anatia matumaini kwa wauguzi.Naona Tanzania na Africa mashariki inavyokwenda kuandika historia mpya.
Chadema msitishike kabisa mnaenda kushindana mchana kweupe na ikitokea mnaletewa figisu ndio itakuwa mwisho wa CCM katika uso wa dunia.
CCM kupitia mwenyekiti wao wamejitengenezea maadui wengi mno na ndio maana wanatumia nguvu nyingi Sana kumpamba na propaganda za kinafiki.
Imagine bila kutafuna maneno bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilichowafanyia watu hasa walioajiriwa serikalini wakati huohuo hawajaongezwa mishahara toka awamu ya tano ishike dola unadhani watu Hawa watakuwa upande gani?
CHADEMA anzeni na agenda hizi.:
1. Kufuta makato ya HELSB au kupunguza kea asilimia kubwa.
2. Kupandisha mishahara ya watumishi hawa Wana hasira iliyojificha sana hawaionyeshi.
3. Amani demokrasia na usalama
Chadema itaisimamisha Afrika.