Pole sana Mwalimu.
Umelaumu sana uongozi wako lakini inaelekea hujui namna ya kujitoa kwenye chama chako. Epuka sana lawama. Ungeeleweka sana kama ungeomba kujua utaratibu wa namna ya kujitoa kwenye chama cha wafanyakazi mf. CWT.
Walimu msijishushe sana hadi mkaeleweka vibaya. Tunawategemea sana sanaaa, nyinyi ni watu muhimu sana katika jamii
Ukitaka kujitoa fanya hivi:
Andika notisi ya siku 30 kwa DED ukimtaarifu kuwa unatarajia kujitoa CWT; nakala peleka kwa Katibu CWT wilayani kwako.
Baada ya siku 30 makato ya 2% yatasitishwa.
Then ukitaka kujiunga na chama kingine utajaza fomu maalum baada ya kuelimishwa. Ukiridhika nao mwandikie DED wako ukimtaarifu kuwa akate kiasi fulani kwenye mshahara wako kwenda chama kipya. Ambatisha hiyo fomu.
Fanya hivyo Mwalimu,ni haki yako.
Lakini ni vizuri chama ndicho nikufuate kukubembeleza.
Sorry, huu si uzi mpya. Namtetea mwalimu wetu.
Umelaumu sana uongozi wako lakini inaelekea hujui namna ya kujitoa kwenye chama chako. Epuka sana lawama. Ungeeleweka sana kama ungeomba kujua utaratibu wa namna ya kujitoa kwenye chama cha wafanyakazi mf. CWT.
Walimu msijishushe sana hadi mkaeleweka vibaya. Tunawategemea sana sanaaa, nyinyi ni watu muhimu sana katika jamii
Ukitaka kujitoa fanya hivi:
Andika notisi ya siku 30 kwa DED ukimtaarifu kuwa unatarajia kujitoa CWT; nakala peleka kwa Katibu CWT wilayani kwako.
Baada ya siku 30 makato ya 2% yatasitishwa.
Then ukitaka kujiunga na chama kingine utajaza fomu maalum baada ya kuelimishwa. Ukiridhika nao mwandikie DED wako ukimtaarifu kuwa akate kiasi fulani kwenye mshahara wako kwenda chama kipya. Ambatisha hiyo fomu.
Fanya hivyo Mwalimu,ni haki yako.
Lakini ni vizuri chama ndicho nikufuate kukubembeleza.
Sorry, huu si uzi mpya. Namtetea mwalimu wetu.