Naona jamii yetu ya siku hizi wanaona single parenting kama kitu cha kawaida

Almost wote huge percentage!! rate ya divorce ya miaka ya 1970 kurudi nyuma huwezi kulinganisha hata kidogo na divorce rate ya miaka ya 1990 na kuendelea. Miaka ya 1970 kurudi nyuma ndoa kuvunjika ni chache sana, mimi babu na bibi zangu wooote mzaa baba na mama na wadogo na kaka zao na majirani zao hakuna walioachana ila kizazi chetu macousins wengi wameachana, kizazi cha watoto wetu ndiyo balaah ndoa haifiki 5 years.
una uhakika ni babu na bibi wote??
 
Wazazi hamkuwajibika ipasavyo
Mtoto umleavyo ndyo akuavyo
Unakuta familia watoto wa kike sita wote wamezalia nyumbani na mzee anakenua tu Meno
 
Hongera angalau Kwa kuligusia hili, baadhi ya wachangiaji naona nao kama ni walewale!🤔🤔, Anyway,... Nakazimika kukubaliana na nadhari ya Darwin, (EVOLUTION) kwamba the society is passing a critical ethical and cultural evolution!
Taasisi ya ndoa SASA haionekani kama ni kitu Cha kukitetea na kukipigania Kwa mustakabali wa jamii na taifa lenye afya.
Saikolojia inaeleza wazi, mtoto aliyelelewa na mzazi mmoja hawezi kuhandle familia, inayokabili mikiki na changamoto lukuki.
 
Siku hizi kila kijana anakwambia atazaa mtoto anampeleka kwa bibi na babu yake.
 
Shetani ndo anata iwe hivyo japo huo haukuwa mpango wa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…