Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Hapa lazma Ma Veteran watoke mbio tu. Wanaoingiaga hii mikenge ni wale maboya tu.
 
😂😂😂😂😂😂mimi mmoja wapo nilisafiri na binti kwenye siti moja mimi wal sina habari nipo bize na simu yangu nikichoka nalala sasa karibia afike aanaposhuka akawa ananiangalia mimi najifanya kama simuoni aisee alinipiga jicho mpaka nikapaliwa na mate.... akashuka nikampisha nazani atakuwa alikuwa anatukana kimoyo moyo😂
 
Dah halafu yule demu mwenyewe wa twitter ni bonge la pisi! Hatari hatari! Halafu ana swagger!..... Mnyamwez niliishiwa pozi kwa ile clip mzee dah!

Tuombege namba tusiogope
Mademu wakali ndio rahisi kuwapata kuliko vibungo ambao wengi tunakomaa nao tukidhani hawatakuwa na changamoto sana.

You need balls kumface demu mrembo. Sio kila mwanaume anaweza
 
Inasikitisha
Wewe dada ulietaka kunipa namba kwenye Gari Jana nikakuchomolea pole sana Maisha ya sasa hali yangu ilivyokua tafu sana sina nafasi ya kumuhudumia mtoto wa mtu kwa kipindi hivi mizinga mizinga mibomu mibomu ile daah hapana wewe pole tu kawalipue wengine endeleeni kutuuzia tu ili tule kihalali sio kutupiga mizinga
 
sahz ni kuomba mechi
 
🤣 Uyo ni demu wetu bro unakulaje mwenyewe sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…