Wanawake siku hizi hawana soni, wakavu wengi wao wana haiba za kimalaya.
Mama zetu wa zamani walikuwa na soni, aibu na watii na hawakuwa na haiba za kimalaya,ndio maana walidumu na wazee wetu ktk nyakati ngumu mno.
Ila siku hizi daah na wanaume siku hizi majukumu yametufanya tusiwe na time nadrama za kitoto za wanawake, kuna kipindi baada ya kuachwa nilikaa zaidi ya mwaa mmoja bila kutongoza na ndio ukawa mwaka wamapinduzi katika fani yangu.
Ukienda US ndoa zimepungua kwa zaidi ya 50% na ktk hizo ndoa zaidi 60% zinavunjika,30% zina migogoro ila 10% ndizo zinakuwa zina furaha na wanaume wa US hawaogopi kuoa bali wanaogopa talaka,kwani talaka inapukutisha wanaume kwa kugawana mali nusu kwa nusu,Child support nk.
US wanadai 70% ya talaka zinaombwa na wanawake ili tu wajivunie hela za wanaume wao.
Pesa imeharibu mind za wanawale walio wengi sana,mpaka ule utu hawana na hawana soni kwenye hela na ndio maana kuna wanaume wengine wenye hela anaweza kugonga mademu wafamilia moja,anaweza akagonga kikundi cha marafiki na wao huku wakijuana.
Ukurudi huku kwa mfeminist na baadhi ya wanawake wachache wasomi wanaoiga umagharibi, wengi wapo single na wakija kupata ufahamu wa nini thamani ya ndoa umri ushawatupa na hawana thamani ktk soko la waoaji,matokeo yake wanaangukia kwa Mario na ndio maana Mario siku hizi wapo wengi mno,kwani msingi wao ni kiuno na kupoga pamba.