Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Zamani ukitongoza demu ilikuwa proccess ndefu kumpata na ukimpata una asilimia kubwa akatulia na wewe asikucheat na hata vizinga haikuwa sana kama sasa
Ila siku hizi ukitongoza demu tu kabla hata hajakujibu anaanza kukupa shida zake na kuomba hela ya kusuka, kodi, hela ya gesi, hela ya marejesho, hela ya mchezo nk...halafu hata ukimpa kila anachotaka bado hakuna guarantee kwamba atatulia na wewe ila masela wataendelea kumtomba kama kawaida
 
Ndo ukweli chamuhimu honga kwa level yako.
 

Na ukiangalia hana anacho add katika maisha ya mwanaume zaidi ya utelezi,wanawekw wengi wa kibongo ni hasara.
 
Vijana wa siku hizi hawajui tofauti ya kutongoza na kuhonga.
 
Huyu dada anavyoongea inaonesha kabisa yuko na The Princess Complex, and She's So Entitled, kutokana na mvuto wake. Bahati mbaya amekutana na mwanaume ambaye hajamshobokea kama wajinga-wajinga wengine, hilo limemuumiza kichwa mpaka sasa.

"Eti, nilimpa chance lakini hakuitumia" Yeye ni nani kwenye hii dunia hadi aombwe namba na kila mwanaume ?

Kiufupi mwamba hakuomba namba kwasababu alifahamu, " A juice is not worth the squeeze"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…