Well said. 👍👍Mwanamke anataka usawa na mwanaume hasa hawa feminist,nature ya Mwanume ni mamlaka/utawala,sasa hawa wanawake wa siku hizi atataka ampande kichwani Mwanaume wake,hakuna Mwanaume anayejitambua akakubali hilo,ni bora awe single ili kulinda brand yake ya uanaume.
Zamani ukitongoza demu ilikuwa proccess ndefu kumpata na ukimpata una asilimia kubwa akatulia na wewe asikucheat na hata vizinga haikuwa sana kama sasaHii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
👍👍👍hapo akishatosheka anaenda kuruka na msela usiemjua
Ndo ukweli chamuhimu honga kwa level yako.Zamani ukitongoza demu ilikuwa proccess ndefu kumpata na ukimpata una asilimia kubwa akatulia na wewe asikucheat na hata vizinga haikuwa sana kama sasa
Ila siku hizi ukitongoza demu tu kabla hata hajakujibu anaanza kukupa shida zake na kuomba hela ya kusuka, kodi, hela ya gesi, hela ya marejesho, hela ya mchezo nk...halafu hata ukimpa kila anachotaka bado hakuna guarantee kwamba atatulia na wewe ila masela wataendelea kumtomba kama kawaida
Jamaa aliona hapa ni kufilisika aka balance shobo.Dah halafu yule demu mwenyewe wa twitter ni bonge la pisi! Hatari hatari! Halafu ana swagger!..... Mnyamwez niliishiwa pozi kwa ile clip mzee dah!
Tuombege namba tusiogope
Mwanamke anataka usawa na mwanaume hasa hawa feminist,nature ya Mwanaume ni mamlaka/utawala,sasa hawa wanawake wa siku hizi atataka ampande kichwani Mwanaume wake,hakuna Mwanaume anayejitambua akakubali hilo,ni bora awe single ili kulinda brand yake ya uanaume.
Ogapa hio kitu inaitwa Mchezo sijui Marejesho sijui ndugu yake na Vicoba na Vikundi vya Kufa na Kuzikanahela ya marejesho, hela ya mchezo
Apostle Kuna muujiza hapaNa hili mkalitizame.
Mkuu afu3 unapata mpaka maji ya kuoga?????
condom 500
maji ndoo 200
sabuni 100
mafuta kujipaka 100
chumba 600
utelezi 1500
••••••••
3000
••••••
Vijana wa siku hizi hawajui tofauti ya kutongoza na kuhonga.Watongozaji sasa wanamjukumu mazito juu ya familia zao!!
Binafsi kuliko nitongoze mpita njia nimpe 20k, Bora pesa hiyo ni bebee watoto wangu nyama kilo,mkate na blueband [emoji1][emoji1]
Mtasema mimi m'bahili, sina pesa, but I don't care [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ila kwel mkuu.Embu niambie bila utelezi ni nn kingine tunapata kama sio tunapoteza hela tu + stress.Na ukiangalia hana anacho add katika maisha ya mwanaume zaidi ya utelezi,wanawekw wengi wa kibongo ni hasara.
Nimepiga chini videm kama sita hapa nimebakiza mmoja tu , kiukwel najiskia mwepesi na nina amani , nikipiga chin na huyu 1 sijui ndo itakuaje
Ogapa hio kitu inaitwa Mchezo sijui Marejesho sijui ndugu yake na Vicoba na Vikundi vya Kufa na Kuzikana
Iko wapi hiyo clip aiseeUmeona mbali na ile clip ya mdada alitaka kuombwa namba na jamaa ,sema msela hana time😅.
Bora niendelee kuruka na hawa hawa watoto wa kishua tu sisikii makelele ya Marejesho sijui Michezo kufanya niniAlafu ndo ukachukua namba kwa pisi ambae yuko uko utanyosha mikono juu.
Wanaifuta humu kila nikiipandishaIko wapi hiyo clip aisee