City Owl
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 3,475
- 7,571
Utakuwa mwepesi zaidi na kuanza kupaa kiuchumi..Nimepiga chini videm kama sita hapa nimebakiza mmoja tu , kiukwel najiskia mwepesi na nina amani , nikipiga chin na huyu 1 sijui ndo itakuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa mwepesi zaidi na kuanza kupaa kiuchumi..Nimepiga chini videm kama sita hapa nimebakiza mmoja tu , kiukwel najiskia mwepesi na nina amani , nikipiga chin na huyu 1 sijui ndo itakuaje
Ukiweza Kumiliki pisi Kali kwenye viunga vya DSM basi unaweza miliki V8 na inayokura mafuta na service ya maana so masihara mkuuKabisa mkuu uanze kuhudumia mtu aisee.hali ya maish ngumu ila wanaume wengi wananunua malaya wengi atuna uwezo wakumilik pisi.
Kwan uongo nduguzangun?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ukishindwa kudinda utamkuta jioni anachangia hoja kwenye group lao kuwa siku hizi wanaume hawana nguvu kabisa
tumefikia kubaya sana
Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Saizi tunakamata tu mkuu hizi pisi zimekuwa nyingi sio pouwahMwanaume asiyetongoza Mwanamke huyo ni PUNGA aka UPINDE.
[emoji16][emoji16][emoji16]Mwanamke ukimtongoza tu,jiandae kwa vizingi,sasa usawa huu wa kujitafuta nianze kuhonga pesa kisa mbunye wakati nikiwa na aftatu napata utelezi.
Mkuu unauzoefu sana.Kuhudumia mwanamke asiye na kipato wakati huo wewe mwenyewe unajitafuta ain't easy.
Kuhudumia mwanamke mwenye kipato ila kaamua kuwa parasite ni mtihani sana.
Nawaelewa vijana.
siku moja nilikuwa nachat na dada mmoja ilikuwa mwaka jana mwisho ,basi huyu dada ni mkubwa miaka kama 28 hajaolewa wala hana mtoto.Kumbe alitaman sana atongozwe
Nionavyo mm wanaume mmshaacha kitamboHii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..
Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal
Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
KweliDah halafu yule demu mwenyewe wa twitter ni bonge la pisi! Hatari hatari! Halafu ana swagger!..... Mnyamwez niliishiwa pozi kwa ile clip mzee dah!
Tuombege namba tusiogope
KweliKabisa mkuu uanze kuhudumia mtu aisee.hali ya maish ngumu ila wanaume wengi wananunua malaya wengi atuna uwezo wakumilik pisi.
Kwan uongo nduguzangun?
Hadi mimMimi ipo PM nimeiacha tu