Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Siku hiyo Kutakuwa na makundi mawili, moja likuwa ni kundi la peponi( uzima) hili ndilo kundi litakalofuzu( tumuombe sana Mungu tuwe kwenye kundi hili. Amiin

Kundi la pili litakuwa ni kundi la motoni,

Sifa ya kundi ni

_HALIAMINI UWEPO WA MUNGU,
_HALIAMINI UWEPO WA KIAMA
_HALIAMINI UWEPO WA MOTO WALA PEPO
_HALIAMINI UWEPO WA MALAIKA
_HALIAMINI UWEPO WA VITABU VITAKATIFU VYA MUNGU
WAO HUTUMIA AKILI ZAO TU WANAAMINI AKILI ZAO, WANASAHAU HATA HIZO AKILI WAMEPEWA NA MUNGU

KUNDI HILI LITAPELEKWA MOTONI ,

kabla halijaingizwa kweye moto litasimamishwa na malaika wa motoni kisha wataulizwa kwanza kuwa

"HIVI NYIE HUKO DUNIANI HAMKUAMBIWA HABARI HII YA MOTO WA JAHANAM?"

watajibu tuliambiwa ila tulikaidi tu sisi wenyewe kwa ujinga wetu,

Wataambiwa ingieni sasa muonje huo moto kwa yale mlioyakanusha huko duniani, (Source: QURAAN)

SIFA ZA MOTO WA JEHANAM

Una rangi nyeusi, ueusi wake umepitia hatua tatu,
1. Ulianza kwenye rangi nyekundu
2. Ukaongezwa joto ukawa rangi ya bluu( huu ni kama ule wa gesi)
3.ukaongezwa tena ukawa mweusi,
Ambao huo moto unangoja watu wenye kupuuza maagizo ya Mungu,

Kuni za zake ni mawe, maana kwa joto lake hata jiwe litayeyuka kirahisi tu, na ngozi kila inapoisha inajirudia tena ili kuendelea kuteseka

Moto huu ni moto wa milele, (endless ) FIKIRIA SANA JUU YA HILI EWE MWANADAMU MKAIDI

Umri wa nwanadam ni miaka michache sana ni 60 tu, baada ya hapo nguvu zinakuwa zimeisha na happ kinachofata ni umauti na UTAENDA KUSHUHUDIA LIVE juu ya ujinga unaoukanusha sasa,

Muda sio mrefu utakufa na utaenda kushuhudia mwenyewe,

Usibishe maana haya utayakuta tu HAKUNA SHAKA JUU YA HILI. Ni Suala la Muda tu

NA adhabu itaanza mara tu roho yako itakapo anza kutolewa, pale pale unapokata roho anakuja malaika wa mauti kukutoa roho kwa uchungu hadi mkojo na kinyesi kinatoka kwa wakati mmoja, muda si mrefu utayaona live ukiwa na madhambi hasa kwa wanaokataa kufuata Sheria zake,

Ila kwa aliye amini atakatenda mema roho yake itatolewa taratibu na atakwepana na adhabu kama hizi,

TUMUOMBE MUNGU ATUJAALIE MWISHO MWEMA,

Tusife ila tuwe tume tubu dhambi zetu ili tupate salama kwa Mungu

Amiin
Kama Mungu yupo kwanini atake tuamini yupo , hizi hadithi zako katishie watu walio kata tamaa na wenye hofu ya kitu wasichokijua.
 
Duhhh!! wanakosa utamu wa dunia asee!
Utamu gani nahuku K zenu mlio wengi zimetumika mno, zimelegea na kuwa pana, hazina hata ladha, hadi inafikia nyeto ndo imekuwa tamu kuliko K zenu.

Mademu wenye Minato na utamu wa asili wapo wachache sana, na mna bahati, kungekuwa na kipimo cha kujua mapema kama demu ana lishimo, wenye mahandaki ndo mgekoma na kufia kwenu, tungetongoza Minato tu.
 
Utamu gani nahuku K zenu mlio wengi zimetumika mno, zimelegea na kuwa pana, hazina hata ladha, hadi inafikia nyeto ndo imekuwa tamu kuliko K zenu.

Mademu wenye Minato na utamu wa asili wapo wachache sana, na mna bahati, kungekuwa na kipimo cha kujua mapema kama demu ana lishimo, wenye mahandaki ndo mgekoma na kufia kwenu, tungetongoza Minato tu.
Haiwezekani dudu hilo hilo, ukimtia demu huyu, linaingia kwa shida hadi linamuumiza, ukimtia mwingine breki pumb, ndo unashangaa mashimo wengine mnatoa wapi, sijui ndo mnajiingizia matango !!
 
Utamu gani nahuku K zenu mlio wengi zimetumika mno, zimelegea na kuwa pana, hazina hata ladha, hadi inafikia nyeto ndo imekuwa tamu kuliko K zenu.

Mademu wenye Minato na utamu wa asili wapo wachache sana, na mna bahati, kungekuwa na kipimo cha kujua mapema kama demu ana lishimo, wenye mahandaki ndo mgekoma na kufia kwenu, tungetongoza Minato tu.
Umesema ukweli kabisa mishimo tunahuzunisha walai! Kila la kheri na minato!
 
Utamu gani nahuku K zenu mlio wengi zimetumika mno, zimelegea na kuwa pana, hazina hata ladha, hadi inafikia nyeto ndo imekuwa tamu kuliko K zenu.

Mademu wenye Minato na utamu wa asili wapo wachache sana, na mna bahati, kungekuwa na kipimo cha kujua mapema kama demu ana lishimo, wenye mahandaki ndo mgekoma na kufia kwenu, tungetongoza Minato tu.
Mwamba punguza ukalii, unahasiraa balaaa
 
Kuna kasingle mother ma miaka 23 kalitia time afisini kwetu, nikakaribisha fresh tu kakampata mwenyeji wake,nikakanunulia soda na cake kakagonga fresh,kakaniachia contact kenyewe.
Juzi kamenipiga mzinga,wa ela kumi da nikakatumia,
Jana kakaniambia hakana vocha,nikakatumia faru mmoja,jioni kamenitumia cheti chale Cha chipitali kanaumwa u.t.i kanaomba Hela ya matunda,dawa zinamtia kichefuchefu.
Kameona nimezimiiiiiiiika.sasa namfungia viooo kapumbavu sana.
Mbona ushapasuka mzee, we endelea kupasuka tu! Si ndo ulivyoamua. Wakati kwenye kikao tulishasema kabisa kwamba miamala hisitishwe na demu asiyekuwa na nauli asije gheto!
 
Mwamba punguza ukalii, unahasiraa balaaa
Mi Ndo nilivyo. Kei zao sikuhizi hazina ladha kabisa na ni pana Kama handaki, wenye ladha ni wa kuhesabu.

Janamke unalitomb lisaa lizima hukojoi, kumbe halina ladha afu ndo bao la kwanza. Afu mtu kama huyo nimpe hela ya nini, ila kuna kamnato kamoja nilikafuma, katamu hadi kisogoni ndo nimekaganda huu mwaka wa nne sasa, inaonekana hajatumika sana.
 
Shida ni moja;
Maisha yamekua magumu na heka haionekani kwa urahisi. Ukimtingiza tu dem ni sawa na kutafuta majukumu kisha kujitwisha uhangaike nayo.

Utatakiwa uhudumie kodi, chakula, mavazi, matibabu na vitu vingine vingi. Mshahara let say 300,000 ordinary person, unaugawanyaje sasa hapo na familia na ndugu tegemezi unao?

Kurahisisha ni kununua ngono baada ya hapo kila mtu ale alikopeleka mboga.
 
Kama Mungu yupo kwanini atake tuamini yupo , hizi hadithi zako katishie watu walio kata tamaa na wenye hofu ya kitu wasichokijua.
Kwa maelezo yako unathibitisha kuwa Mungu hayupo,

Tumia akili yako tu kutafakari juu ya mbingu zilivyokaa na zilivyo simama, tazama kwa makini muundo wa dunia ulivyo kaa jitafakar,

Angalia tu kwa makini umbo la mwanadam lilivyokaa, mfumo mzima wa mwanadam ulivyo,

Angalia sana suala la uzee na kifo , tafakari kuhusu hilo

Unapata picha kuwa kama yupo aliyeviumba hivi vitu basi atakuwa ni supper power, ukubwa wake haupimiki kwa akili zako, na anaweza kufanya atakavyo kwa muda autakao,

Nilitaka kukufafanua kimaandiko juu ya uwepo wake ila wewe huviamini hata vitabu hivyo,

Angalia tu kuwa mtu akifika miaka 60 nguvu zinamuishia maana yake anarudi kwa aliye muumba, sasa wewe umri wako hata uishi miaka 120 lakini utakufa,

Kabla hujafa jua yafuatayo YATAKUKUTA NA UTAYAONA LIVE

1.atakuja malaika mtoa roho, utamwona live, ukiwa na matendo mema atakuja na ura nzuri na atakutoa roho kwa upole, ukiwa na madhambi na wasio amini uwepo wa Mungu atakuja na umbo la kutisha sana na atakutoa roho kwa ukali mno hadi kinyesi na mkojo vinaweza kukutoka kwa pamoja kwa yale utakayoyaona. ( WAULIZE WATU WA MORTUARY au WANAOOSHA MAITI WANAJUA MAMBO MENGI SANA SEMA NI SIRI TU,

2. UKIFA MOTO UTAUONA LIVE kwa macho yako na utaanza kuchomwa hapo hapo kaburini kabla ya siku ya kufufuliwa , una siku ukifufuliwa utakutana nao tena na huo utakuwa ni moto wa milele, uki2a huna dhambi basi hata kaburini itakuwa ni bata tu

USHAURI KWAKO

Rudi kwenye njia ya Mwenyezi Mungu, soma vitabu vyote vya dini vya KIISLAMU NA kikristo, maswali usiyoyaelewa waulize wajuzi wa dini hiyo uelimishwe.

Ukifanya hayo kuna siku utarudi kuitazama post yako utamshkuru Mungu kwakukutoa ndani ya hilo giza ulilopo kwa sasa, yaani UPO NDANI YA GIZA NENE SANA. na usipofanya jitihada za haraka utashangaa mauti yamekukuta na hujamjua Mungu wa kweli, utakuwa ni mwenye kujuta

NENO NINGEJUA HUA NI MWISHO WA SAFARI
 
MUNGU ameumba Dunia na vilivyomo, akaumba malaika akamuumba na mwanadamu

Alipomuumba mwanadamu akaumba jinsia ya kike na kiume kwa kila chenye uhai,

Ili uhai ukamilike na uendelee inahitajika jike na dume kwenye 99%ya viumbe,

Unapo kataa ndoa maana yake unapingana na sheria ya asili aliyeiumba Mungu.na unapokataa ndoa maana yake wanadamu wataacha kuzaliana na kizazi kitakoma hapo,

Umesema hapo vijana wanaelewa kampeni yako ya kataa ndoa, FURAHIA KWA SASA, ILA MUDA SI MREFU UTAENDA KUKUTANA NA MUNGU NA KAMOENI YAKO UANDAE MAJIBU , na ukikosa majibu maana yake utakutana na adhabu kali sana ya moto wa jahanam,

Endelea ku promote ujinga wako alafu mauti yakukute na kampeni yako ya kijinga
Kwanza, Thibitisha kwamba huyo Mungu yupo, Na si mawazo yako ya kufikirika.
 
Siku hiyo Kutakuwa na makundi mawili, moja likuwa ni kundi la peponi( uzima) hili ndilo kundi litakalofuzu( tumuombe sana Mungu tuwe kwenye kundi hili. Amiin

Kundi la pili litakuwa ni kundi la motoni,

Sifa ya kundi ni

_HALIAMINI UWEPO WA MUNGU,
_HALIAMINI UWEPO WA KIAMA
_HALIAMINI UWEPO WA MOTO WALA PEPO
_HALIAMINI UWEPO WA MALAIKA
_HALIAMINI UWEPO WA VITABU VITAKATIFU VYA MUNGU
WAO HUTUMIA AKILI ZAO TU WANAAMINI AKILI ZAO, WANASAHAU HATA HIZO AKILI WAMEPEWA NA MUNGU

KUNDI HILI LITAPELEKWA MOTONI ,

kabla halijaingizwa kweye moto litasimamishwa na malaika wa motoni kisha wataulizwa kwanza kuwa

"HIVI NYIE HUKO DUNIANI HAMKUAMBIWA HABARI HII YA MOTO WA JAHANAM?"

watajibu tuliambiwa ila tulikaidi tu sisi wenyewe kwa ujinga wetu,

Wataambiwa ingieni sasa muonje huo moto kwa yale mlioyakanusha huko duniani, (Source: QURAAN)

SIFA ZA MOTO WA JEHANAM

Una rangi nyeusi, ueusi wake umepitia hatua tatu,
1. Ulianza kwenye rangi nyekundu
2. Ukaongezwa joto ukawa rangi ya bluu( huu ni kama ule wa gesi)
3.ukaongezwa tena ukawa mweusi,
Ambao huo moto unangoja watu wenye kupuuza maagizo ya Mungu,

Kuni za zake ni mawe, maana kwa joto lake hata jiwe litayeyuka kirahisi tu, na ngozi kila inapoisha inajirudia tena ili kuendelea kuteseka

Moto huu ni moto wa milele, (endless ) FIKIRIA SANA JUU YA HILI EWE MWANADAMU MKAIDI

Umri wa nwanadam ni miaka michache sana ni 60 tu, baada ya hapo nguvu zinakuwa zimeisha na happ kinachofata ni umauti na UTAENDA KUSHUHUDIA LIVE juu ya ujinga unaoukanusha sasa,

Muda sio mrefu utakufa na utaenda kushuhudia mwenyewe,

Usibishe maana haya utayakuta tu HAKUNA SHAKA JUU YA HILI. Ni Suala la Muda tu

NA adhabu itaanza mara tu roho yako itakapo anza kutolewa, pale pale unapokata roho anakuja malaika wa mauti kukutoa roho kwa uchungu hadi mkojo na kinyesi kinatoka kwa wakati mmoja, muda si mrefu utayaona live ukiwa na madhambi hasa kwa wanaokataa kufuata Sheria zake,

Ila kwa aliye amini atakatenda mema roho yake itatolewa taratibu na atakwepana na adhabu kama hizi,

TUMUOMBE MUNGU ATUJAALIE MWISHO MWEMA,

Tusife ila tuwe tume tubu dhambi zetu ili tupate salama kwa Mungu

Amiin
Umeandika pumba mixer mashudu.

Thibitisha Huyo Mungu yupo.

Acha mbambamba na risala ndefu za kijinga.
 
Kwa maelezo yako unathibitisha kuwa Mungu hayupo,

Tumia akili yako tu kutafakari juu ya mbingu zilivyokaa na zilivyo simama, tazama kwa makini muundo wa dunia ulivyo kaa jitafakar,

Angalia tu kwa makini umbo la mwanadam lilivyokaa, mfumo mzima wa mwanadam ulivyo,

Angalia sana suala la uzee na kifo , tafakari kuhusu hilo

Unapata picha kuwa kama yupo aliyeviumba hivi vitu basi atakuwa ni supper power, ukubwa wake haupimiki kwa akili zako, na anaweza kufanya atakavyo kwa muda autakao,

Nilitaka kukufafanua kimaandiko juu ya uwepo wake ila wewe huviamini hata vitabu hivyo,

Angalia tu kuwa mtu akifika miaka 60 nguvu zinamuishia maana yake anarudi kwa aliye muumba, sasa wewe umri wako hata uishi miaka 120 lakini utakufa,

Kabla hujafa jua yafuatayo YATAKUKUTA NA UTAYAONA LIVE

1.atakuja malaika mtoa roho, utamwona live, ukiwa na matendo mema atakuja na ura nzuri na atakutoa roho kwa upole, ukiwa na madhambi na wasio amini uwepo wa Mungu atakuja na umbo la kutisha sana na atakutoa roho kwa ukali mno hadi kinyesi na mkojo vinaweza kukutoka kwa pamoja kwa yale utakayoyaona. ( WAULIZE WATU WA MORTUARY au WANAOOSHA MAITI WANAJUA MAMBO MENGI SANA SEMA NI SIRI TU,

2. UKIFA MOTO UTAUONA LIVE kwa macho yako na utaanza kuchomwa hapo hapo kaburini kabla ya siku ya kufufuliwa , una siku ukifufuliwa utakutana nao tena na huo utakuwa ni moto wa milele, uki2a huna dhambi basi hata kaburini itakuwa ni bata tu

USHAURI KWAKO

Rudi kwenye njia ya Mwenyezi Mungu, soma vitabu vyote vya dini vya KIISLAMU NA kikristo, maswali usiyoyaelewa waulize wajuzi wa dini hiyo uelimishwe.

Ukifanya hayo kuna siku utarudi kuitazama post yako utamshkuru Mungu kwakukutoa ndani ya hilo giza ulilopo kwa sasa, yaani UPO NDANI YA GIZA NENE SANA. na usipofanya jitihada za haraka utashangaa mauti yamekukuta na hujamjua Mungu wa kweli, utakuwa ni mwenye kujuta

NENO NINGEJUA HUA NI MWISHO WA SAFARI
Mkuu nmekusoma sna ila ni ivi mimi siogopi mauti , jifunze pia kufundisha watu wasiogopa vitisho sijui moto ,mauti na mengne, kamwe hauwezi niambia kitu nikaelewa kwa kunipa vitisho ,period .
 
Back
Top Bottom