Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

Kwa maelezo yako unathibitisha kuwa Mungu hayupo,

Tumia akili yako tu kutafakari juu ya mbingu zilivyokaa na zilivyo simama, tazama kwa makini muundo wa dunia ulivyo kaa jitafakar,

Angalia tu kwa makini umbo la mwanadam lilivyokaa, mfumo mzima wa mwanadam ulivyo,

Angalia sana suala la uzee na kifo , tafakari kuhusu hilo

Unapata picha kuwa kama yupo aliyeviumba hivi vitu basi atakuwa ni supper power, ukubwa wake haupimiki kwa akili zako, na anaweza kufanya atakavyo kwa muda autakao,

Nilitaka kukufafanua kimaandiko juu ya uwepo wake ila wewe huviamini hata vitabu hivyo,

Angalia tu kuwa mtu akifika miaka 60 nguvu zinamuishia maana yake anarudi kwa aliye muumba, sasa wewe umri wako hata uishi miaka 120 lakini utakufa,

Kabla hujafa jua yafuatayo YATAKUKUTA NA UTAYAONA LIVE

1.atakuja malaika mtoa roho, utamwona live, ukiwa na matendo mema atakuja na ura nzuri na atakutoa roho kwa upole, ukiwa na madhambi na wasio amini uwepo wa Mungu atakuja na umbo la kutisha sana na atakutoa roho kwa ukali mno hadi kinyesi na mkojo vinaweza kukutoka kwa pamoja kwa yale utakayoyaona. ( WAULIZE WATU WA MORTUARY au WANAOOSHA MAITI WANAJUA MAMBO MENGI SANA SEMA NI SIRI TU,

2. UKIFA MOTO UTAUONA LIVE kwa macho yako na utaanza kuchomwa hapo hapo kaburini kabla ya siku ya kufufuliwa , una siku ukifufuliwa utakutana nao tena na huo utakuwa ni moto wa milele, uki2a huna dhambi basi hata kaburini itakuwa ni bata tu

USHAURI KWAKO

Rudi kwenye njia ya Mwenyezi Mungu, soma vitabu vyote vya dini vya KIISLAMU NA kikristo, maswali usiyoyaelewa waulize wajuzi wa dini hiyo uelimishwe.

Ukifanya hayo kuna siku utarudi kuitazama post yako utamshkuru Mungu kwakukutoa ndani ya hilo giza ulilopo kwa sasa, yaani UPO NDANI YA GIZA NENE SANA. na usipofanya jitihada za haraka utashangaa mauti yamekukuta na hujamjua Mungu wa kweli, utakuwa ni mwenye kujuta

NENO NINGEJUA HUA NI MWISHO WA SAFARI
Kwanza kwa nini unadhani ulimwengu na vilivyomo ndani yake viliumbwa?

Kama ni lazima kwamba kila kitu kilichopo lazima kiwe kimeumbwa basi hata na huyo Mungu lazima awe ameumbwa.

Hawezi kuwepo tu, kwa kutokea from no where

Sasa uki lazimisha ulimwengu uwe na muumbaji lazima pia uoneshe muumbaji wa huyo Mungu.

Maana lazima kila kitu kiwe na Muumbaji.

Vinginevyo, Usiharibu maudhui ya Uzi huu unaohusu "wadada wasio tongozwa"
 
Siku hiyo Kutakuwa na makundi mawili, moja likuwa ni kundi la peponi( uzima) hili ndilo kundi litakalofuzu( tumuombe sana Mungu tuwe kwenye kundi hili. Amiin

Kundi la pili litakuwa ni kundi la motoni,

Sifa ya kundi ni

_HALIAMINI UWEPO WA MUNGU,
_HALIAMINI UWEPO WA KIAMA
_HALIAMINI UWEPO WA MOTO WALA PEPO
_HALIAMINI UWEPO WA MALAIKA
_HALIAMINI UWEPO WA VITABU VITAKATIFU VYA MUNGU
WAO HUTUMIA AKILI ZAO TU WANAAMINI AKILI ZAO, WANASAHAU HATA HIZO AKILI WAMEPEWA NA MUNGU

KUNDI HILI LITAPELEKWA MOTONI ,

kabla halijaingizwa kweye moto litasimamishwa na malaika wa motoni kisha wataulizwa kwanza kuwa

"HIVI NYIE HUKO DUNIANI HAMKUAMBIWA HABARI HII YA MOTO WA JAHANAM?"

watajibu tuliambiwa ila tulikaidi tu sisi wenyewe kwa ujinga wetu,

Wataambiwa ingieni sasa muonje huo moto kwa yale mlioyakanusha huko duniani, (Source: QURAAN)

SIFA ZA MOTO WA JEHANAM

Una rangi nyeusi, ueusi wake umepitia hatua tatu,
1. Ulianza kwenye rangi nyekundu
2. Ukaongezwa joto ukawa rangi ya bluu( huu ni kama ule wa gesi)
3.ukaongezwa tena ukawa mweusi,
Ambao huo moto unangoja watu wenye kupuuza maagizo ya Mungu,

Kuni za zake ni mawe, maana kwa joto lake hata jiwe litayeyuka kirahisi tu, na ngozi kila inapoisha inajirudia tena ili kuendelea kuteseka

Moto huu ni moto wa milele, (endless ) FIKIRIA SANA JUU YA HILI EWE MWANADAMU MKAIDI

Umri wa nwanadam ni miaka michache sana ni 60 tu, baada ya hapo nguvu zinakuwa zimeisha na happ kinachofata ni umauti na UTAENDA KUSHUHUDIA LIVE juu ya ujinga unaoukanusha sasa,

Muda sio mrefu utakufa na utaenda kushuhudia mwenyewe,

Usibishe maana haya utayakuta tu HAKUNA SHAKA JUU YA HILI. Ni Suala la Muda tu

NA adhabu itaanza mara tu roho yako itakapo anza kutolewa, pale pale unapokata roho anakuja malaika wa mauti kukutoa roho kwa uchungu hadi mkojo na kinyesi kinatoka kwa wakati mmoja, muda si mrefu utayaona live ukiwa na madhambi hasa kwa wanaokataa kufuata Sheria zake,

Ila kwa aliye amini atakatenda mema roho yake itatolewa taratibu na atakwepana na adhabu kama hizi,

TUMUOMBE MUNGU ATUJAALIE MWISHO MWEMA,

Tusife ila tuwe tume tubu dhambi zetu ili tupate salama kwa Mungu

Amiin

Wamekujaza upuuzi ukapumbazika yani upo kama lizombi,hakuna kiama wala nini dunia hii ipo na itaendelea kuwepo milele.
 
Shida ni moja;
Maisha yamekua magumu na heka haionekani kwa urahisi. Ukimtingiza tu dem ni sawa na kutafuta majukumu kisha kujitwisha uhangaike nayo.

Utatakiwa uhudumie kodi, chakula, mavazi, matibabu na vitu vingine vingi. Mshahara let say 300,000 ordinary person, unaugawanyaje sasa hapo na familia na ndugu tegemezi unao?

Kurahisisha ni kununua ngono baada ya hapo kila mtu ale alikopeleka mboga.
Umesema ukweli mkuu.HALI YA MAISHA NI NGUMU ndo maana mtu anashindwa kuanzisha mahusiano kama ayuko vizur mfukoni.
 
Kwa maelezo yako unathibitisha kuwa Mungu hayupo,

Tumia akili yako tu kutafakari juu ya mbingu zilivyokaa na zilivyo simama, tazama kwa makini muundo wa dunia ulivyo kaa jitafakar,

Angalia tu kwa makini umbo la mwanadam lilivyokaa, mfumo mzima wa mwanadam ulivyo,

Angalia sana suala la uzee na kifo , tafakari kuhusu hilo

Unapata picha kuwa kama yupo aliyeviumba hivi vitu basi atakuwa ni supper power, ukubwa wake haupimiki kwa akili zako, na anaweza kufanya atakavyo kwa muda autakao,

Nilitaka kukufafanua kimaandiko juu ya uwepo wake ila wewe huviamini hata vitabu hivyo,

Angalia tu kuwa mtu akifika miaka 60 nguvu zinamuishia maana yake anarudi kwa aliye muumba, sasa wewe umri wako hata uishi miaka 120 lakini utakufa,

Kabla hujafa jua yafuatayo YATAKUKUTA NA UTAYAONA LIVE

1.atakuja malaika mtoa roho, utamwona live, ukiwa na matendo mema atakuja na ura nzuri na atakutoa roho kwa upole, ukiwa na madhambi na wasio amini uwepo wa Mungu atakuja na umbo la kutisha sana na atakutoa roho kwa ukali mno hadi kinyesi na mkojo vinaweza kukutoka kwa pamoja kwa yale utakayoyaona. ( WAULIZE WATU WA MORTUARY au WANAOOSHA MAITI WANAJUA MAMBO MENGI SANA SEMA NI SIRI TU,

2. UKIFA MOTO UTAUONA LIVE kwa macho yako na utaanza kuchomwa hapo hapo kaburini kabla ya siku ya kufufuliwa , una siku ukifufuliwa utakutana nao tena na huo utakuwa ni moto wa milele, uki2a huna dhambi basi hata kaburini itakuwa ni bata tu

USHAURI KWAKO

Rudi kwenye njia ya Mwenyezi Mungu, soma vitabu vyote vya dini vya KIISLAMU NA kikristo, maswali usiyoyaelewa waulize wajuzi wa dini hiyo uelimishwe.

Ukifanya hayo kuna siku utarudi kuitazama post yako utamshkuru Mungu kwakukutoa ndani ya hilo giza ulilopo kwa sasa, yaani UPO NDANI YA GIZA NENE SANA. na usipofanya jitihada za haraka utashangaa mauti yamekukuta na hujamjua Mungu wa kweli, utakuwa ni mwenye kujuta

NENO NINGEJUA HUA NI MWISHO WA SAFARI

Yawezekana mungu yupo ila hayupo kwenye hizo soga za dini zenu.
 
Zamani ukitongoza demu ilikuwa proccess ndefu kumpata na ukimpata una asilimia kubwa akatulia na wewe asikucheat na hata vizinga haikuwa sana kama sasa
Ila siku hizi ukitongoza demu tu kabla hata hajakujibu anaanza kukupa shida zake na kuomba hela ya kusuka, kodi, hela ya gesi, hela ya marejesho, hela ya mchezo nk...halafu hata ukimpa kila anachotaka bado hakuna guarantee kwamba atatulia na wewe ila masela wataendelea kumtomba kama kawaida
Kuna mmoja Mwanachuo tulikutana Hotelini wakati wa msosi,tukawa meza moja stori stori tukapeana namba baadae kesho yake nikamtafuta nikaomba appointment, akaanza oh sidhani kama tutakutana maana nina Boy wangu nampenda sana,nikamjibu OK poa,nikafuta namba yake. Kesho ananitumia SMS nimuongezee hela ya kusuka,nikamuuliza namwongezea hela Mimi kama nani yake,akaanza oh sio hivyo unavyofikiria wewe niongezee then tutakutana,nikamchana makavu nikamwambia asinisumbue tena.
 
Vijana mnajitia wenyewe umaskini unataka umiliki wanawake 10 kwa kipato kipi??? Alishalaanika anaendekeza pombe Na wanawake hatokuwa tajir wala Mwenye mafanikio Na huondoa humpambaza mwanaume Mwenye akili.tatizo sio wanawake tatizo ni sis wanaume misimamo ya vijana Wa sasa ni F kabisa.Vijana Wa sasa wanakimbia majukumu yao ya msingi wanataka mtelemko tu Na ndio maana waliwa sana.hakuna sehemu iliyo andikwa mwanamke ale kwa jasho jukumu lake ni kumtii mwanaume tu.swala la kutongoza siku Hz maungo yote tunayaona waz tu muda wote uvaaj Wa wanawake ni mbaya sana una asili saikolojia.pia siku hiz kila mtu yuko Na familia yake tu kuliko kuhangaika kuleta nuks Na migogoro ndani ya nyumba
 
Halafu hivi vikundi vya kufa na kuzikana vimekuwa kero katika jamii, wakati mwingine namuuliza wife, umeingia huko kwa sababu unajua nitawahi kufa! Sababu najua mtu akifa awe kwenye kikundi asiwe kwenye kikundi jamii itazika tu.
Umenikumbusha post ya jamaa mmoja humu aliandika akisema "ukimsalmia jirani yako mara ya kwanza, ya pili, ya tatu, asipoitikia kaa kimya endelea na mishe zako. Hakuna maiti ya mtu iliyoozea mtaani kwamba imekosa mtu wa kuizika"

Nikacheka sana. Akimaanisha usijipendekeze kwa mtu yeyote asiekupenda kwa kuhofia kwamba ukigombana nae siku ukifa utakosa mtu wa kukuzika.
 
Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii imepungua, ukilinganisha na miaka ya nyuma, Marekani kuna kuaga na singles gathering ambapo wanaume na wanawake walio single wanakutana ili kutafuta potential partners, cha ajabu kwenye hizo singles gathering sahivi unakuta wanaume 4, wanawake 100, na wanaume 90 ambao walialikwa wakakataa kwenda..

Kwa hapa Tanzania hio culture naanza kuiona inakuja taratibu, sehemu niliopo kuna wadada wana mwezi mmoja tangu waje ni wazuri kimuonekano, lakini kwa uchunguzi wangu wa chini chini niliofanya, nimegundua kati ya wanaume wote tuliopo hapo, hamna mwanaume hata mmoja alieshoboka nao kimapenzi k.v kuwaomba out..lyk kama wanaume tukikaa tunadiscuss like fulani mzuri ana shape, lakini hakuna hata mmoja kati yetu aliotongoza na sababu sio udomo zege..sijui ni uvivu wa kuanzisha mahusiano au nini, tofauti na zamani ambapo kwa muonekano wao, vidume wote wa site tungeshawapiga vocal

Kama jamii sijajua tunaelekea wapi.
Siku hizi unaweza kutongoza ukapewa kesi ya sexual harassment.

Hatutongozi. Tunaongoza.
 
Kuna mmoja Mwanachuo tulikutana Hotelini wakati wa msosi,tukawa meza moja stori stori tukapeana namba baadae kesho yake nikamtafuta nikaomba appointment, akaanza oh sidhani kama tutakutana maana nina Boy wangu nampenda sana,nikamjibu OK poa,nikafuta namba yake. Kesho ananitumia SMS nimuongezee hela ya kusuka,nikamuuliza namwongezea hela Mimi kama nani yake,akaanza oh sio hivyo unavyofikiria wewe niongezee then tutakutana,nikamchana makavu nikamwambia asinisumbue tena.
Hahahahaha
 
Moja katika dalili za kiama, (siku zamwisho za ulimwengu) kutakuwa na idadi kubwa sana ya wanawake kuliko wanaune,.

Itafika wakati mwanaune mmoja unaweza kuwa na hata wanawake zaidi ya 10 na bado wakabaki wengi tu ambao hawana wanaune,
.na katika mapokezi mengine ni mwanaune mmoja kwa wanawake 50 , hiyo ni rate

Source : prophet Muhammad (rehma na Amani zimshukie)

Kwahiyo usishangae hayo, yatatojea na huu ni nwanzo tu, ndo kwaanza panaanza,
Mshaanza kuleta fix zenu za kidini..
Kwani ni lini wanawake washawahi kuwa wachache kuliko wanaume????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha
Kuna kasingle mother ma miaka 23 kalitia time afisini kwetu, nikakaribisha fresh tu kakampata mwenyeji wake,nikakanunulia soda na cake kakagonga fresh,kakaniachia contact kenyewe.
Juzi kamenipiga mzinga,wa ela kumi da nikakatumia,
Jana kakaniambia hakana vocha,nikakatumia faru mmoja,jioni kamenitumia cheti chale Cha chipitali kanaumwa u.t.i kanaomba Hela ya matunda,dawa zinamtia kichefuchefu.
Kameona nimezimiiiiiiiika.sasa namfungia viooo kapumbavu sana.
Hako kametest free wifi imekubali... Kazi unayo 🤣
 
Unamtongoza leo, kesho anakulalamikia simu yake imepasuka imevujia kioo, gesi imekata na anatumia mtungi mkubwa hujakaa sawa kodi 100k kwa mwezi inakaribia kuisha na mwenye nyumba wake anachukua ya miesi sita tu, hajui atalipaje, ghafla atakuambia mama yake mgonjwa na yeye ndio dada mkubwa wa familia, hujakaa sawa ATM kadi yake imemezwa na hajui afanyeje...

Yani binti anakua tegemezi kwako kwa kila kitu, ukiangalia kitu pekee anachoweza ku-offer ni mbususu ambayo hata pale riverside zinapatikana bwerere. Yani hata mawazo ya maendeleo hakupi zaidi ya stress na matatizo yasiyokwisha.
Unahudumia vyote hivyo kisha unaambiwa huna nguvu za kiume. Bora ukakodishe mbuchuchu
 
Back
Top Bottom