Mikhail Tal
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 421
- 778
- Thread starter
-
- #101
Yap mkuu.. by the way its life.. hakuna formula ya mafanikio.. Kila mtu anajaribu perspective zake... kwa sababu maisha yenyewe haya tutakufa tutaiacha dunia.Mkuu
Kula wanafunzi nimeisema kama joke tu..
Naona upo deep and comfortable zaidi kwenye environment ya kuajiriwa....
Hiyo consulting firm usipoangalia itakua ni extension ya your ajira and not a real bankable self driven business....
Lakini sawa....follow your passion man...na infact utapata success
Mungu ni mwema mkuu na bado sijachoka kuzitafuta na kuzipiga hatua. Sijawahi kujisikia nimeshiba hata siku moja ndo maana hara mshahara nilionao sasa haunishtui kabisa maana naona nna uwezo wa kupata maradufu.Mkuu umepiga hatua haraka haraka Sana,Mungu amekunyanyua Sana Maana miaka kadhaa iliyopita Hali ilikua Tete Ila Sasa hivi Naona unachezea kwny Tsh. mid-seven hongera sana boss.View attachment 2285200View attachment 2285201
Yap mkuu na mimi ndo napenda hayo mamboYeah kwa mtu anayependa kusoma sana hiyo imekaa vizuri maana kusoma sana nacho ni kipaji
Ni sawa mkuu... mimi fursa naiona kubwa sana wala siyo kwa perspective ubatodhania wewe...Kusanya mtaji ukafanye mambo yako kwenye academics napo hakuna urahisi unaofikiri......kwanza ni sababu serikali imelala ila wakiamua kufuata miongozo watu wafanye research hakuna hiyo free time unayoisema.
Ongeza na teaching load ilivyo kubwa utazunguka na booklet mpk ukome.
Halafu hamna hela kiviile utatoka kwa tabu sana.
Angalia madaktari wengi waliokufundisha Wana lipi la ajabu.
Academician kwa GPA ipi?Kiukweli wakuu, mimi ni mmoja wa watu ambao kwa sasa nazipigania hizi ajira za u tutorial assistant kwa kiu kubwa sana.
Ni kwamba nipo kwenye private sector lakini ki uhalisia kabisa baada ya kujitafakari, nimeona endapo nitabaki huku nilipo kwa sasa, sio tu kwamba uchumi wangu utadumaa ila kwa level ya stress nahisi naweza pia nisiishi a quality life ambayo naiota.
Option nnayoichukua ya tutorial assistant itakuwa na mshahara pungufu mara mbili ya unaopata sasa ila kiukweli naona kama ubora wa maisha utakuwa mkubwa.
Halafu kingine ni kwamba, hizi nchi zetu miaka 15 wataokuja kuifaidi ni wasomi kwahiyo nimeoa nichukue huu mrengo wa kuwa academician ili hii miaka 5 au 7 inayokuja nihakikishe napata kabisa na PhD.
Nimekaa chini ninefikiria nimegundua hapa nilipo inawezekana nacheza makidamakida. Watu wapo kwenye academic wanakula good time sana aisee, kuna research, consultation zinawaingizia hela ndefu sana.. Halafu pia free time kibao.
Kuna jamaa aliweka uzi hapa kuhusu uzuri wa kazi za U tutorial na u assistant lecturer watu wengi wakamdharau.. ila kwa kweli naomba nimuunge mkono. Sisi tulio kwenye sekta binafsi kama mshahara wako ni chini ya milioni 7 kwa mwezi wewe jua bado unaishi maisha ya chini sana kulinganisha academician. Ukitaka kuligundua hilo, angalia maisha ya academician wengi na vitu wanavomiliki. Na ndio sababu ni mara chache sana mtu akishaingia kuwa academician akaacha akaenda kufanya ajira nyingine ila nimeshuhudia mara nyingi watu wakiacha kazi mpaka benki kuu na kwenda kuwa academician.
Utumishi naombeni sana mfanye mambo fasta fasta.. nimeomba nafasi nyingi sana najua lazima ntaambulia japo moja, nimechoka kupelekeshwa na vilaza huku kwenye private sector.
Kabisa mkuu... hapa JF tupo watu wa aina tofauti na uelewa tofautiNdio maana darasa lolote kunakuwa na wa kwanza na wa mwisho
Hivi jamaa yupo wapi? kapoa sana aiseeNasikia huko kwenye u academician ni jalalani according to Kabudi. So umeamua kwenda jalalani
Nashukuru na wewe unaitazama hii career kwa jicho panaKimsingi that was my dream job ila sasa sikufanikiwa kuokota the required grades. Nilimiss 3.8 Gpa by a few points it hurt me alot sababu naelewa nilihujumiwa tu na uwezo ninao. Huwa nawaza sijui nifanye post graduate na masters niweze ingia huko ila nikiwaza competition ilivyo dah.
Ila walimu wa chuo wana enjoy sana muda wao hasa wanaoishi campus.
Yupo amewekwa kando kimtindoHivi jamaa yupo wapi? kapoa sana aisee
Mkuu mimi nimetembeza application za vyuo vyote vilivotoa ajira.. HopefulAcademician umeomba taasisi gani.. na vp interview zake
Wacha dharau Chief, Au unataka niweke transcript hapa?Academician kwa GPA ipi?
Tafuta pesa bro, bado hujachelewa huo mshahara wa m 4 utakuja kuupata siku moja ,haya maigizo ya jf achana nayo watu wanaolipwa m 4 na zaidi hawana mwandiko kama wako ww ni jobless kataa au kubali but unayonafasi ya kupambanaMaskini ya Mungu... umenikumbusha mbali mkuu.. Yap nilikuwa jobless.. Ngoja nikupe mchapo baada ya hapo ilikuwaje.
Mwezi wa 11 mwaka huo huo nilipata kazi ya laki saba kwa mwezi. Mpaka mwaka 2020 mshahara ulipanda na ukawa unacheza kwenye 2,600,000 mwaka jana mwezi wa sita nikaotea mchongo kwenye kampuni ingine kwa salary ya 4,100,000 ndo mana nikakuambia baada ya miaka miwili ntakuwepo kwenye milioni 7..
Nilipitia Magumu ndio ila sikukata tamaa mkuu.. Endelea kufukua makaburi
Jobless weka salary slip acha kuishia maneno, weka salary slip hata ya million tuu, nikutumie 500k...Una a very poor mindset mkuu.. usitake tuwek salary slip hapa.
Ukitaka kuacha nistue au nilisishe bcKawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...
Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Sasa kaka milioni 4 ikipigwa makato inabaki kama 2.8 hivi ambayo ukipiga panga ya mkopo inabaki ka 1.9 kwa mwezi.. we hiyo ndo unaona kwamba ni hela ndefu sana?Tafuta pesa bro, bado hujachelewa huo mshahara wa m 4 utakuja kuupata siku moja ,haya maigizo ya jf achana nayo watu wanaolipwa m 4 na zaidi hawana mwandiko kama wako ww ni jobless kataa au kubali but unayonafasi ya kupambana
Wewe hauna unachokijua unachotakiwa kua eligible ili uweze kulipwa pension ni kuchangia katika mfuko husika kwa miezi 180 ambayo ni miaka 15..pia pia kupata ajirs ya miaka 5 kwa mkataba sio issur unaweza ukakaa hapo miaka 3 ukaomba kazi ingine ukazidisha mara mbili mshahara tena kabla ya hapo unaweza ukatriple kwaio kwa miaka hio 5 au 6 mtubamaezidisha mshahara wake wa awali mara 4 huyo huwezi kumkuta utumishi wa umma ni rushwa na wizi tu ndo utakao kutoa...πππHapo mkataba miaka mitano baada ya hapo anarudi benchi kusugua matako ajira yake sio ya kudumu
Hapo hana cha mafao ya kustaafu
Amekalia kuti kavu mda wowote wanakuondoa inategemea mabosi wameamkaje
Huna uhuru