Naona vijana wengi sikuizi wanaogopa kuoa wanawake single mothers, nani kawatisha?

Naona vijana wengi sikuizi wanaogopa kuoa wanawake single mothers, nani kawatisha?

THE BEEKEEPER

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2024
Posts
1,462
Reaction score
7,157
Mko powa
Nawapa siri vijana kama kuna wanawake waliokomaa na walio serious kuwa WAKE WATIIFU kwa waume zao basi ni single mothers, hao wameshapevuka kiakili wameshajifunza kutokana na yaliyopita. Wana akili ya maisha, hawana makuu kwao kuolewa ni ndoto iliyotimia wanaienzi na kuiheshimu mno kuliko hawa ambao wanajiona mali safi

ANGALIZO:KAMA UMEOA SINGLE MOTHER NA BADO ANA WASILIANA NA MZAZI MWENZIE NA WAPO KARIBU CHUKUA TAHADHARI, MUONYE SANA MKEO NA IKIBIDI SHIRIKISHA WAZAZI APEWE ONYO MAANA MDA WOWOTE ANAWEZA KUPASHA KIPORO NA MZAZI MWENZIE, HAWANYIMANAGI HAO

NB: Kuna wachache wenye akili timamu wanaojiheshimu wasioweza kuthubutu kupasha viporo

Zingatia neno "WACHACHE"
 
Zamani miaka ya 1990s Kipindi tunakua nilikuwa nikikutana na wanawake wakilea watoto peke yako pasipo baba, ila wengi wao walikuwa ni wajane sio amekipeleka kipochi manyoya kwa BF akaliwa na kuzaa kisha akaanza kulea mtoto peke yake.
Nakupa scenario moja hii.
Umempata mdada mrembo sana ana miaka yake 22 na ameshazaa mtoto mmoja wa kiume, mtoto ana miaka 2. Unaamua kumchukua na kufunga ndoa naye. Kwa jamii na utaratibu wa familia nyingi za Kiafrika ukiwa kama Baba unatakiwa kuipenda familia yako, yaani Mke na mtoto ambaye kwa sasa ni mtoto wako. Upendo ambao mara kadhaa uonekana kwa vitendo, kuhudumia mahitaji ndani, kulipa ada ya mtoto (*sitaki kusema mtoto wa kambo) ila ni mtoto wako. Akikosea unampa adhabu na kumuadabisha uiwa na fikra kuwa ni mtoto wako kwa sababu mama yake ni sehemu yako.

Ukiwa kama Baba na una mtoto wa kiume utajenga naye uhusiano mkubwa sana kiasi atakuwa sehemu ya maisha yako katika kila nyaja ya maisha. Akiumwa usiku, ni wewe ndiye utahangaika kutafuta usafiri wa kumpeleka hospitali na kulipa pesa za matibabu. Miaka inaenda na baada ya miaka kama 10, Mke wako anaamua kurudi kwa mzazi wake, na anakwambia kuwa tokea mwanzo alikuwa akiwasiliana na mzazi mwezake na kukutana wakijadiliana maendeleo ya mtoto wako (*hapo anakuwa sio mtoto wako). Wengi wao wakikutana ni LAZMA wapashe viporo tena sio wa OVEN bali kwa CHUNGU.
Kuna maswali haya mwanaume mwenzangu naomba unisaidie kujibu:
1. Je utaendelea kutoa huduma kwa mtoto au laah?
2. Uhusiano uliojenga baina yako na mtoto ukivunjika, utachukulia simple tu (kupotezea) au moyo utakuuma?
3. Je kipi ni bora kwako, kunusa hatari mapema na kuipuuza au kunusa hatari na kuiepuka mapema?

BINAFSI NI RAHISI KWENDA USTAWI WA JAMII KUASILI MTOTO NA KUSIHI NAYE KAMA DAMU YANGU KULIKO KUOA SINGLE MOTHER. NA KAMA HII NI NGUMU WADADA AMBAO HAWAJAZAA WAPO WENGI! INGIA MTAANI UNA WADADA WAREMBO TU BADO HAWANA WATOTO.​
 
Mko powa
Nawapa siri vijana kama kuna wanawake waliokomaa na walio serious kuwa WAKE WATIIFU kwa waume zao basi ni single mothers, hao wameshapevuka kiakili wameshajifunza kutokana na yaliyopita. Wana akili ya maisha, hawana makuu kwao kuolewa ni ndoto iliyotimia wanaienzi na kuiheshimu mno kuliko hawa ambao wanajiona mali safi

ANGALIZO:KAMA UMEOA SINGLE MOTHER NA BADO ANA WASILIANA NA MZAZI MWENZIE NA WAPO KARIBU CHUKUA TAHADHARI, MUONYE SANA MKEO NA IKIBIDI SHIRIKISHA WAZAZI APEWE ONYO MAANA MDA WOWOTE ANAWEZA KUPASHA KIPORO NA MZAZI MWENZIE, HAWANYIMANAGI HAO

NB: Kuna wachache wenye akili timamu wanaojiheshimu wasioweza kuthubutu kupasha viporo

Zingatia neno "WACHACHE"
Lakini kwa kijana anayejitafuta akaangukia kwa single mother atakuwa kafail mara mbili! Yaani unaanza mechi ukiwa umeishafungwa bao (mabao) ya watoto ni urofa na uwendawazimu!
 
Koo za simba hatuna kabisa tatizo la "single mother".

Simba tunakulana wenyewe kwa wenyewe na watoo ni wa koo nzima si wa fulani pekee.

Mwanamke au mwanamme akijichanganya akaenda kuzaa au kuolewa nje ya koo za simba au marafiki wa koo za simba, huyo hana maisha duniani, ataondoka tu, hata iweje.
 
Koo za simba hatuna kabisa tatizo la "single mother".

Simba tunakulana wenyewe kwa wenyewe na watoo ni wa koo nzima si wa fulani pekee.

Mwanamke au mwanamme akijichanganya akaenda kuzaa au kuolewa nje ya koo za simba au marafiki wa koo za simba, huyo hana maisha duniani, ataondoka tu, hata iweje.
Koo za simba ni zipi mkuu?
 
Mko powa
Nawapa siri vijana kama kuna wanawake waliokomaa na walio serious kuwa WAKE WATIIFU kwa waume zao basi ni single mothers, hao wameshapevuka kiakili wameshajifunza kutokana na yaliyopita. Wana akili ya maisha, hawana makuu kwao kuolewa ni ndoto iliyotimia wanaienzi na kuiheshimu mno kuliko hawa ambao wanajiona mali safi

ANGALIZO:KAMA UMEOA SINGLE MOTHER NA BADO ANA WASILIANA NA MZAZI MWENZIE NA WAPO KARIBU CHUKUA TAHADHARI, MUONYE SANA MKEO NA IKIBIDI SHIRIKISHA WAZAZI APEWE ONYO MAANA MDA WOWOTE ANAWEZA KUPASHA KIPORO NA MZAZI MWENZIE, HAWANYIMANAGI HAO

NB: Kuna wachache wenye akili timamu wanaojiheshimu wasioweza kuthubutu kupasha viporo

Zingatia neno "WACHACHE"
Huo muda wa kuanza sijui kushirikisha wazazi ni kupoteza muda, kwanini isieleweke tu kwamba Singo Maza's is not for marriage, ili kama kuna mwenye mpango wa kujibebea mtoto halafu baadaye mawazo ya kuolewa yaingie ajue atakuwa amechuja, na anakuwa secondhand (mtumba), mitumba si kwa ajili ya mtoko bali kushindia
 
Unaendaje kulima kwenye shamba la mtu ambaye amelima na Kuna mazao anayalinda anasubiri kuvuna

Aki ya nani ukimpata oa lkn jiandae Kwa lolote kama unaweza muhamishe nchi mtokomee huko
 
Kat
Mko powa
Nawapa siri vijana kama kuna wanawake waliokomaa na walio serious kuwa WAKE WATIIFU kwa waume zao basi ni single mothers, hao wameshapevuka kiakili wameshajifunza kutokana na yaliyopita. Wana akili ya maisha, hawana makuu kwao kuolewa ni ndoto iliyotimia wanaienzi na kuiheshimu mno kuliko hawa ambao wanajiona mali safi

ANGALIZO:KAMA UMEOA SINGLE MOTHER NA BADO ANA WASILIANA NA MZAZI MWENZIE NA WAPO KARIBU CHUKUA TAHADHARI, MUONYE SANA MKEO NA IKIBIDI SHIRIKISHA WAZAZI APEWE ONYO MAANA MDA WOWOTE ANAWEZA KUPASHA KIPORO NA MZAZI MWENZIE, HAWANYIMANAGI HAO

NB: Kuna wachache wenye akili timamu wanaojiheshimu wasioweza kuthubutu kupasha viporo

Zingatia neno "WACHACHE"
Kataa ndoa
 
Mko powa
Nawapa siri vijana kama kuna wanawake waliokomaa na walio serious kuwa WAKE WATIIFU kwa waume zao basi ni single mothers, hao wameshapevuka kiakili wameshajifunza kutokana na yaliyopita. Wana akili ya maisha, hawana makuu kwao kuolewa ni ndoto iliyotimia wanaienzi na kuiheshimu mno kuliko hawa ambao wanajiona mali safi

ANGALIZO:KAMA UMEOA SINGLE MOTHER NA BADO ANA WASILIANA NA MZAZI MWENZIE NA WAPO KARIBU CHUKUA TAHADHARI, MUONYE SANA MKEO NA IKIBIDI SHIRIKISHA WAZAZI APEWE ONYO MAANA MDA WOWOTE ANAWEZA KUPASHA KIPORO NA MZAZI MWENZIE, HAWANYIMANAGI HAO

NB: Kuna wachache wenye akili timamu wanaojiheshimu wasioweza kuthubutu kupasha viporo

Zingatia neno "WACHACHE"
Sawa umesikika, ila kulea mtoto wa kibaka au jambazi kunatakiwa moyo sana. Kina singo maza wengi walikosea kwa kubugi na kuzaa na vibaka au majambazi kutokana na tamaa zao za kijinga, sasa mtu unakuja kuoa mwanamke aliyezaa na watu waliolaanika na kukupa jukumu la kuwa baba wa hivyo vitoto vya laana ni dhambi kubwa sana. Binafsi, siwataki hata kuwasikia masingo maza, kwani walijitakia wenyewe kuzaa na vibaka, majambazi, wauza unga kwa tamaa za kijinga.
 
Zamani miaka ya 1990s Kipindi tunakua nilikuwa nikikutana na wanawake wakilea watoto peke yako pasipo baba, ila wengi wao walikuwa ni wajane sio amekipeleka kipochi manyoya kwa BF akaliwa na kuzaa kisha akaanza kulea mtoto peke yake.
Nakupa scenario moja hii.
Umempata mdada mrembo sana ana miaka yake 22 na ameshazaa mtoto mmoja wa kiume, mtoto ana miaka 2. Unaamua kumchukua na kufunga ndoa naye. Kwa jamii na utaratibu wa familia nyingi za Kiafrika ukiwa kama Baba unatakiwa kuipenda familia yako, yaani Mke na mtoto ambaye kwa sasa ni mtoto wako. Upendo ambao mara kadhaa uonekana kwa vitendo, kuhudumia mahitaji ndani, kulipa ada ya mtoto (*sitaki kusema mtoto wa kambo) ila ni mtoto wako. Akikosea unampa adhabu na kumuadabisha uiwa na fikra kuwa ni mtoto wako kwa sababu mama yake ni sehemu yako.

Ukiwa kama Baba na una mtoto wa kiume utajenga naye uhusiano mkubwa sana kiasi atakuwa sehemu ya maisha yako katika kila nyaja ya maisha. Akiumwa usiku, ni wewe ndiye utahangaika kutafuta usafiri wa kumpeleka hospitali na kulipa pesa za matibabu. Miaka inaenda na baada ya miaka kama 10, Mke wako anaamua kurudi kwa mzazi wake, na anakwambia kuwa tokea mwanzo alikuwa akiwasiliana na mzazi mwezake na kukutana wakijadiliana maendeleo ya mtoto wako (*hapo anakuwa sio mtoto wako). Wengi wao wakikutana ni LAZMA wapashe viporo tena sio wa OVEN bali kwa CHUNGU.
Kuna maswali haya mwanaume mwenzangu naomba unisaidie kujibu:
1. Je utaendelea kutoa huduma kwa mtoto au laah?
2. Uhusiano uliojenga baina yako na mtoto ukivunjika, utachukulia simple tu (kupotezea) au moyo utakuuma?
3. Je kipi ni bora kwako, kunusa hatari mapema na kuipuuza au kunusa hatari na kuiepuka mapema?

BINAFSI NI RAHISI KWENDA USTAWI WA JAMII KUASILI MTOTO NA KUSIHI NAYE KAMA DAMU YANGU KULIKO KUOA SINGLE MOTHER. NA KAMA HII NI NGUMU WADADA AMBAO HAWAJAZAA WAPO WENGI! INGIA MTAANI UNA WADADA WAREMBO TU BADO HAWANA WATOTO.​
Unaitaji pongezi umenena vyema.












Kweli kabsa
 
Back
Top Bottom