Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakutakiwa hata kutamkwa tu acha kualikwa.Ni wahuni na kujidai wao ni wakubwa "inji" hii.Walitakiwa waalikwe ama waombe kuhudhuria.!?
Wapi tumeisakama!? Viongozi wenu wanaiabisha Tanzania. Kwanini wanailalamikia CAF!!?Mngekua na furaha msingekua mnakesha kuisakama Yanga,hadi nawahurumia wakuu
Nimetoka Twitter sasa hivi.Nimecheka Sana baada ya kuingia ACC ya CAF,mashabiki wanashusha comments za matusi humo kwann wao(yanga) hawapostiwi na CAF na Kwa nn page imekuwa km ya Simba maana kila siku inapostiwa Simba Tu wakati Africa kuna timu zaidi ya 100Sasa waalikwe kufanya nini?
Wao kama nani?
Namungo, Azam, Singida Stars zote hazijaalikwa na hatujasikia malalamiko, kwanini Yanga tu ndio waonekane wa muhimu kuliko jundi hilo?
Mbona Yanga ndiyo mnakasirika hamjaalikwa huko?Nawahurumia sana mashabiki wa simba sijui mnaishije kila kitu mnakasirika ovyo
Hii hapa:-Nimetoka Twitter sasa hivi.Nimecheka Sana baada ya kuingia ACC ya CAF,mashabiki wanashusha comments za matusi humo kwann wao(yanga) hawapostiwi na CAF na Kwa nn page imekuwa km ya Simba maana kila siku inapostiwa Simba Tu wakati Africa kuna timu zaidi ya 100
majibizano na mashabiki wa Simba ndy yanachekesha zaidi
Watasahau kumfuta jasho watashinda wanapiga selfies.Yanga haina tija yeyote,labda waalikwe kumfuta jasho Barbara
HahahahHadji Alisema Wenye Akili Yanga Wachache
wananuka mavi kwanza.
Unajitekenya unacheka mwenyewe mwisho wa siku utajipiga kidole. Sijaona mantiki ya post otherwise kinachoendelea hapa ni propaganda tuYanga wanavyojifananisha na Simba
View attachment 2320935
Hahaha. Pole mwana.Unajitekenya unacheka mwenyewe mwisho wa siku utajipiga kidole. Sijaona mantiki ya post otherwise kinachoendelea hapa ni propaganda tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Hatari sana yaaniSasa waalikwe kufanya nini?
Wao kama nani?
Namungo, Azam, Singida Stars zote hazijaalikwa na hatujasikia malalamiko, kwanini Yanga tu ndio waonekane wa muhimu kuliko jundi hilo?
Weeeeee wacha hiyo unaanzaje kupeleka hiyo harufu kwenye huo Mkutano Tanzania itaonekana chafu.Walitakiwa waalikwe ama waombe kuhudhuria.!?
Tatizo wanajiona babkubwa wakati wapo nafasi ya 75 wamepitwa hata na Namungo.Sasa waalikwe kufanya nini?
Wao kama nani?
Namungo, Azam, Singida Stars zote hazijaalikwa na hatujasikia malalamiko, kwanini Yanga tu ndio waonekane wa muhimu kuliko jundi hilo?
Mpumbavu mpya kaingia mjini.