Naona viongozi wa Yanga wanakomalia kualikwa kwenye mkutano wa CAF

Naona viongozi wa Yanga wanakomalia kualikwa kwenye mkutano wa CAF

Umezidisha mkuu.Wachache wanaweza kuwa hata mia.Usahihi ni wawili tu wenye mbongo zifanyazo kazi vizuri na kwa timing njema.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hao, aliwataja kwa sababu mmoja ni Baba yake mzazi, na mwingine alikuwa Rais! Hata nao, we wasikilize wakiiongelea YANGA YAO, utashangaa!
 
Kila wakati tukisema viongozi wa yanga uwezo wao ni mdogo, watu wengi hamuelewi.

Mkutano uliofanyika jana ni General Assembly ya CAF. Ni mkutano unaowakutanisha viogozi wakuu wa mataifa wa mchezo wa mpira wa miguu.

Vilevile CAF au FIFA hualika wageni maalum kwenye mkitano huo. Siyo kila mtu anaalikwa. Ukitaka kila mmoja awepo kwenye mkutano itakuwa ni uswahili na ujinga wa hali ya juu.

Kwa kiwango cha Yanga hapa Africa ni sawa na Geita Gold, Singida Big Star, Tukuyu Fc nk. Haiwezekani kila mmoja aalikwe na asiyekuwa na umuhimu wowote.

CEO wa Simba Barbra amekuwa akishiriki katika mikutano mingi ya mchezo wa miguu. Hii ni kutokana na uwezo wake na elimu yake.

Sasa wenzetu huku yanga mnataka mualikwe kwa lipi!? Kipi cha maana yanga imefanya katika Africa hii.

Acheni uswahili na kujiendekeza kwenye mambo ya uganga wa kienyeji. Zama hizi ni za Sayansi na Technology, achaneni na akina mzee Mpili. Zama zao za kupiga makelele zimepitwa na wakati.

Mtaendelea kuongea propaganda za kiswahili huku ulimwengu wa mpira ukiwaacha mbali sana.

Badilikeni acheni kulia lia.

Haturuhusu wahuni kwenye vikao vyetu. Wahuni kwenu ni vijiweni tu mkigongeana vipisi vya bangi
 
Kila wakati tukisema viongozi wa yanga uwezo wao ni mdogo, watu wengi hamuelewi.

Mkutano uliofanyika jana ni General Assembly ya CAF. Ni mkutano unaowakutanisha viogozi wakuu wa mataifa wa mchezo wa mpira wa miguu.

Vilevile CAF au FIFA hualika wageni maalum kwenye mkitano huo. Siyo kila mtu anaalikwa. Ukitaka kila mmoja awepo kwenye mkutano itakuwa ni uswahili na ujinga wa hali ya juu.

Kwa kiwango cha Yanga hapa Africa ni sawa na Geita Gold, Singida Big Star, Tukuyu Fc nk. Haiwezekani kila mmoja aalikwe na asiyekuwa na umuhimu wowote.

CEO wa Simba Barbra amekuwa akishiriki katika mikutano mingi ya mchezo wa miguu. Hii ni kutokana na uwezo wake na elimu yake.

Sasa wenzetu huku yanga mnataka mualikwe kwa lipi!? Kipi cha maana yanga imefanya katika Africa hii.

Acheni uswahili na kujiendekeza kwenye mambo ya uganga wa kienyeji. Zama hizi ni za Sayansi na Technology, achaneni na akina mzee Mpili. Zama zao za kupiga makelele zimepitwa na wakati.

Mtaendelea kuongea propaganda za kiswahili huku ulimwengu wa mpira ukiwaacha mbali sana.

Badilikeni acheni kulia lia.
Vilevile CAF au FIFA hualika wageni maalum kwenye mkitano huo. Siyo kila mtu anaalikwa. Ukitaka kila mmoja awepo kwenye mkutano itakuwa ni uswahili na ujinga wa hali ya juu.


Kwa kiwango cha Yanga hapa Africa ni sawa na Geita Gold, Singida Big Star, Tukuyu Fc nk. Haiwezekani kila mmoja aalikwe na asiyekuwa na umuhimu wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20220812-071043.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
timu kuendeshwa na wahuni ni shida sana.kweli na hili wanalalamika??
Wanajiona special Sana kuliko wengine.mna umuhimu gani CAF?
 
Barbara ana akili sana yule Dada anajua kujichanganya na kupata connection.sasa Hawa utopolo wanapenda uswahili uswahili Nani awaalike?
Tatizo la.yanga wanafikiri ni haki yao kila anamopita mnyama na wenyewe wapitemo by default. Wapambane kujenga Jina afrika zama hizi sio zama za historia ni zama za kuangalia record tuu.
 
Na hao, aliwataja kwa sababu mmoja ni Baba yake mzazi, na mwingine alikuwa Rais! Hata nao, we wasikilize wakiiongelea YANGA YAO, utashangaa!
Na Raisi mwenye aliongea siku alipomzungumzia swala la kumhusu Morrison.
Kuwa Yanga wako Baridiii saaaana.
Yaani kila mtu aliyetulia wa hukohuko ukimhoji atafunguka. Kama wanavyofunguka hata washabiki na kuiita Utopolo.
Kama mnabisha Mwulizeni Manara au Kocha wao Aime
 
Haahaaa
 

Attachments

  • a3bbe50b551343869d0bca86011f76ea.mp4
    3 MB
Back
Top Bottom