Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Umezidisha mkuu.Wachache wanaweza kuwa hata mia.Usahihi ni wawili tu wenye mbongo zifanyazo kazi vizuri na kwa timing njema.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona Yanga ndiyo mnakasirika hamjaalikwa huko?
Unamchokozaaaa!
Na hao, aliwataja kwa sababu mmoja ni Baba yake mzazi, na mwingine alikuwa Rais! Hata nao, we wasikilize wakiiongelea YANGA YAO, utashangaa!Umezidisha mkuu.Wachache wanaweza kuwa hata mia.Usahihi ni wawili tu wenye mbongo zifanyazo kazi vizuri na kwa timing njema.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ule ujirani wa Haji na Kikwete basi huwa anaona hawezi kuguswa na mtu.Na hao, aliwataja kwa sababu mmoja ni Baba yake mzazi, na mwingine alikuwa Rais! Hata nao, we wasikilize wakiiongelea YANGA YAO, utashangaa!
Andaa kinyeo std by iko keshokutwa tunakipakata tena kama kawaida yetuwananuka mavi kwanza.
wananuka mavi kwanza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hao, aliwataja kwa sababu mmoja ni Baba yake mzazi, na mwingine alikuwa Rais! Hata nao, we wasikilize wakiiongelea YANGA YAO, utashangaa!
Kila wakati tukisema viongozi wa yanga uwezo wao ni mdogo, watu wengi hamuelewi.
Mkutano uliofanyika jana ni General Assembly ya CAF. Ni mkutano unaowakutanisha viogozi wakuu wa mataifa wa mchezo wa mpira wa miguu.
Vilevile CAF au FIFA hualika wageni maalum kwenye mkitano huo. Siyo kila mtu anaalikwa. Ukitaka kila mmoja awepo kwenye mkutano itakuwa ni uswahili na ujinga wa hali ya juu.
Kwa kiwango cha Yanga hapa Africa ni sawa na Geita Gold, Singida Big Star, Tukuyu Fc nk. Haiwezekani kila mmoja aalikwe na asiyekuwa na umuhimu wowote.
CEO wa Simba Barbra amekuwa akishiriki katika mikutano mingi ya mchezo wa miguu. Hii ni kutokana na uwezo wake na elimu yake.
Sasa wenzetu huku yanga mnataka mualikwe kwa lipi!? Kipi cha maana yanga imefanya katika Africa hii.
Acheni uswahili na kujiendekeza kwenye mambo ya uganga wa kienyeji. Zama hizi ni za Sayansi na Technology, achaneni na akina mzee Mpili. Zama zao za kupiga makelele zimepitwa na wakati.
Mtaendelea kuongea propaganda za kiswahili huku ulimwengu wa mpira ukiwaacha mbali sana.
Badilikeni acheni kulia lia.
Dah!Haturuhusu wahuni kwenye vikao vyetu. Wahuni kwenu ni vijiweni tu mkigongeana vipisi vya bangi
Vilevile CAF au FIFA hualika wageni maalum kwenye mkitano huo. Siyo kila mtu anaalikwa. Ukitaka kila mmoja awepo kwenye mkutano itakuwa ni uswahili na ujinga wa hali ya juu.Kila wakati tukisema viongozi wa yanga uwezo wao ni mdogo, watu wengi hamuelewi.
Mkutano uliofanyika jana ni General Assembly ya CAF. Ni mkutano unaowakutanisha viogozi wakuu wa mataifa wa mchezo wa mpira wa miguu.
Vilevile CAF au FIFA hualika wageni maalum kwenye mkitano huo. Siyo kila mtu anaalikwa. Ukitaka kila mmoja awepo kwenye mkutano itakuwa ni uswahili na ujinga wa hali ya juu.
Kwa kiwango cha Yanga hapa Africa ni sawa na Geita Gold, Singida Big Star, Tukuyu Fc nk. Haiwezekani kila mmoja aalikwe na asiyekuwa na umuhimu wowote.
CEO wa Simba Barbra amekuwa akishiriki katika mikutano mingi ya mchezo wa miguu. Hii ni kutokana na uwezo wake na elimu yake.
Sasa wenzetu huku yanga mnataka mualikwe kwa lipi!? Kipi cha maana yanga imefanya katika Africa hii.
Acheni uswahili na kujiendekeza kwenye mambo ya uganga wa kienyeji. Zama hizi ni za Sayansi na Technology, achaneni na akina mzee Mpili. Zama zao za kupiga makelele zimepitwa na wakati.
Mtaendelea kuongea propaganda za kiswahili huku ulimwengu wa mpira ukiwaacha mbali sana.
Badilikeni acheni kulia lia.
[emoji3][emoji3][emoji3]Umezidisha mkuu.Wachache wanaweza kuwa hata mia.Usahihi ni wawili tu wenye mbongo zifanyazo kazi vizuri na kwa timing njema.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo la.yanga wanafikiri ni haki yao kila anamopita mnyama na wenyewe wapitemo by default. Wapambane kujenga Jina afrika zama hizi sio zama za historia ni zama za kuangalia record tuu.
Na Raisi mwenye aliongea siku alipomzungumzia swala la kumhusu Morrison.Na hao, aliwataja kwa sababu mmoja ni Baba yake mzazi, na mwingine alikuwa Rais! Hata nao, we wasikilize wakiiongelea YANGA YAO, utashangaa!