EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Maadamu una alternative fanya utoke, maza usimlaumu sana yawezekana ana mgogoro na dingi kimyakimya, hasira anashushia kwakoLakini si angeniambia tu niondoke sio kunifokea na maneno ya kejeli
Hili nalo nenoMadame una alternative fanya utoke, maza usimlaumu sana yawezekana ana mgogoro ma dingi kimyakimya, hasira anashushia kwako
Nikawaombe msamaha kwani nimewakosea ni mimi?? Kama kazi walizoniambia nizifanye nafanya ila bado maneno yanakuwa mengi nafokewa vyombo sivioshi vizuri mara deki sipigi vizuri wakati apo vyombo vinan'gaa na ukicheki sakafu liko safi asa apo kosa langu liko wapi??Yani umeona swala lako wewe na familia yako tena WAZAZI wako ndio litapatiwa suluhisho humu,acha akili za kijinga kijana huo ujana usikupeleke pupa hivyo,Mzazi ana wajibu wa kukuambia chochote ikiwa hakileti madhara kwako na sijaona sababu ya wewe kulalama humu kisa tu kuambiwa ufanye MAJUKUMU ya HAPO NYUMBANI,kabla haujawa na miaka mpaka leo wamepambana,wamekupigania vya kutosha mpaka sasa hapo ulipo,huna haja ya kulalama mtandaoni humu hakuna msaada mkuu.
Rudi tena kwa Mama kapige magoti kamuombe msamaha huwezi jua kuna kitu ulifanya ama yeye anahisi kuna kitu mbele huko utafanya ambacho si kizuri.Kama waliweza kugundua wakati wewe bado ni mtoto mdogo hujui kuongea,wewe ni KUCHEKA na KULIA pindi ukipata maradhi hata ya tumbo basi Mzazi anajua hata kama huja muambia.
Heshima iwafikie WAZAZI WETU WOTE haijalishi wametulea katika mazingira Gani.
Tatizo la vijana wa sasa tunapenda sana USASA maisha ya TV na MTANDAONI {GLOBALIZATION} angalia WAZAZI WETU pindi walivyokuwa na umri kama wako walikuwa wanapewa majukumu gani kwao kwa WAZAZI WAO.
AHSANTE.
Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
kumbe πDuuh mi nina 20 lkn mbona hivyo vitu havipo kwangu π€
Mzee naye mizinguo tu . Mungu anisameheHapo uondoke dogo dingi yako naye yuko hivohivo?
inakuaje mzazi akukasirikie eti kisa anahisi kuna jambo utalifanya mbeleni, amehisi tuu....
Mimi siwezi kuimba hivo kama kunilea washatimiza majukumu yao now nafocus na maisha yanguUkitoboa uimbe nani kama mama sawa eeh
Hutaki KUISHI maisha yasiyo kuwa na CHANGAMOTO,ukitoka hapo kwa WAZAZI wako sasa hivi basi tambua WALEZI wako watakuwa ni WALIMWENGU ihifadhi hii sawa eeeenhNikawaombe msamaha kwani nimewakosea ni mimi?? Kama kazi walizoniambia nizifanye nafanya ila bado maneno yanakuwa mengi nafokewa vyombo sivioshi vizuri mara deki sipigi vizuri wakati apo vyombo vinan'gaa na ukicheki sakafu liko safi asa apo kosa langu liko wapi??
ππππππ Ulizani mi ni yanki kaa ww mtu mzima mmkumbe π
Kaka mwambie huyo kwani mzazi anakitu gani mpaka ayaone maisha yangu ya baadaeinakuaje mzazi akukasirikie eti kisa anahisi kuna jambo utalifanya mbeleni, amehisi tuu....
unaishi kwa mama afu unajiita mtu mzima?? πππππππ Ulizani mi ni yanki kaa ww mtu mzima mm
punguza jazba sasaπKaka mwambie huyo kwani mzazi anakitu gani mpaka ayaone maisha yangu ya baadae
Make hapo kwanza nicheke ππππunaishi kwa mama afu unajiita mtu mzima?? π
jikaze aisee achana na yale mabig mama kwa sasa π tafuta pesa....Make hapo kwanza nicheke ππππ
Ntaishia tu nipe muda mkuuu
Acha kunitisha nimesha ishi sana mtaani na watu wenye tabia tofauti tofauti ilo la walimwengu kwangu halinipi shida kikubwa niwe huru na nikae mbali na meneno ya bimkubwa maana me kuishi naye sasa simuweziHutaki KUISHI maisha yasiyo kuwa na CHANGAMOTO,ukitoka hapo kwa WAZAZI wako sasa hivi basi tambua WALEZI wako watakuwa ni WALIMWENGU ihifadhi hii sawa eeeenh
Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
Ujana maji ya moto kazi na dawa mkuuu πjikaze aisee achana na yale mabig mama kwa sasa π tafuta pesa....
watakumaliza π nisikilize kaka yako....Ujana maji ya moto kazi na dawa mkuuu π
Mkuu hata mimi nilijaribu kuwa bize kidogo na sikutaka kushinda home nikaamua kukaa chuo mpaka saa 4 usiku ila kila nikirudi maneno hayaishi nasemwa sanaIla kweli kuna wakati wazazi wanazingua, ayo Mambo yashanikuta nilichokifanya sikuhama home Bali nilitafuta kazi ili nijikeep busy na heshima ikaludi.