Naona wazazi wangu wamenichoka, ni muda sasa nami nianze kujitegemea

Mwambie aache kukufokea bhana mfate akiwa amerelax umwambie kwanini unanifokea sana mwambie yoote yaliyopo moyoni
 
Hasira hasara.....Kuna wenzio na hizo boom wanalala na njaa..chumba Cha 50 ni expensive kutegemea boom labda Kama una support ya mzazi

Anyways,kupanga ni kuchagua
Acha tuone itavyokuwa ila kwangu kuondoka nyumba ni muhimu mwisho wa mwezi huu
 
Mkuu em nitag hio story ya aliendoka home kisa boom😂😂😂
 
Pole sana kuna wazazi na walezi wengine huchangia kuharibu watoto manyanyaso yanakuwa mengi mm nishawahi ishi maisha kama hayo nilivumilia mpaka muda ulipofika nikaondoka.
Yeah ila mie naona inakuwa bora wanakufundisha maisha siyo lelema siyo unalialia tu baadae unataka unataka urithi!!!!
 
Ni kweli sametimes wazazi wangu huwa wanafokeana wenye kwa wenye hila huwa sifualiagi sana itakuwa hasira zao wananihamishia kwangu na mimi nataka niwe huru nisiwe mtumwa kama ni hasira zao basi wamaliziane wenye
 
Ni kweli sametimes wazazi wangu huwa wanafokeana wenye kwa wenye hila huwa sifualiagi sana itakuwa hasira zao wananihamishia kwangu na mimi nataka niwe huru nisiwe mtumwa kama ni hasira zao basi wamaliziane wenye
Mkuu usihame home, tumia kufokewa ka morali ya kupambana, tumia kama morali ya kusoma umakize chuo vizuri

Itumie kama morali tu usisahau mama naye ni binadamu

Sema mimi mama angu akinifokea heeh waga namwambia ndo unanifokea sasa, ndo unanifokea 😂😂😂 hata ka nimekosea by then
 
Huko kufoka kaanza lini au wewe humjui maza ako??
Maana huyo sio mke kusema eti mmekutana ukubwani, umekua unamuona, au hujaishi nae muda mrefu??
Me namjua maza A to Z huwa akitoka kugombana na marafiki zake huko au kwenye shughuli zake akirudi nyumbani hasira zote ananiamishia kwangu sasa mimi najiuliza nimemkosea nini maana kosa dogo ataongea hapo mpaka majirani wanasikia nami nimemchoka
 
anasema eti 'mungu atanipambania' anachukulia pesa ni rahisi sana 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…