Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Ukatili wowote kwa yoyote haukubaliki. Why umuwekee mtu sumu, si uondoke tu.
Ofcourse ukatili wa aina yoyote kwa yeyote haukubaliki, ila shida inakuja pale mtu anapotetea ukatili wa aina moja na kuufanya uonekane halali, ndipo wengine wanaamua kumaliza alipoanzia
 
Siyo kwamba unamvumilia bali yeye ndo anakuvumilia kifupi hupendwi kuna mwamba anaeleweka vyema zaidi yako
 
Doh
Tayari credit imeenda kwa #katasndoa


Pole Sanamkuu
 
Suala la kuweka watu pamoja waliozaliwa sehemu/jamii tofauti, jinsia tofauti na kulelewa kwa misingi tofauti si jepesi. Kwani hii huhitaji kuunganisha/ku-merge kati ya mnayofanana, mnayotofautiana vs mnayoyapenda vs msiyoyapenda nk.

Kwenye safari husika ya kuishi pamoja bado tunaendelea kupata mapokeo mapya ya kuishi duniani kwa kunyumbulika ndani ya sababu/factors tajwa kule juu(maana yake hatuna ukamilifu bado tuko dynamic).

Tukitambua kutokuwa wakamilifu, bado kwa kutambua hilo tunastahili kujengana kwa kuwezeshana yale yaliyotuweka pamoja yaendelee kuwa juu ya yale hasi.

Kuna sehemu mijadala yetu hukwamishwa na nini kilichoshibisha mioyo yetu/hesabia, makosa/kuhukumu vs furaha ni kiasi gani kati yetu. Hatuwezi kuwa na mjadala chanya kama ndani yetu tumehesabu na kubebelea makosa na hukumu.

Mfano:
Hapa tayari tuna taarifa ya upande mmoja ambao umeshamhukumu mwenzake juu ya mwenendo wa maisha. Hii inaweza kutoa picha ni kwa jinsi gani hata kwenye majadiliano ya kawaida kati ya wahusika nini huendelea. Je tunaweza kukaa pamoja na kujadili mambo na si mtu?

Haya yanayotolewa taarifa hatujui upande wa pili husukumwa na nini mpaka kuyafanya au kuyasema. Wakati mwingine sisi wenyewe twaweza kuwa chanzo cha matokeo ya tabia au vitendo vya mtu leo au kesho, ila tunabaki kuhukumu tu. Wengine tunawasababishia hata mvurugiko wa afya ya akili.

Suala la nini kifanyike ni tathmini huru na ya kina ya ni kwa kiasi gani umesababisha au umezuia(kuwajibika) kusababisha mwenzako kufikia alipo? Kukwazana kwaweza kuwa kwenye misingi miwili kwa kufanya au kutokutimiza(commission vs omission errors).
Umemsaidiaje(kuwajibika) kumrejesha toka alipo baada ya haya badala ya hukumu??

Wakati mwingine haya mahusiano tunaona unachofanya ni kidogo, lakini kwa mwenzako inafikia kuharibu afya yake ya akili. Tunawajibikaje na kwa kiasi gani kwa hayo yetu?

Nimalizie kwa kusema, kama mliingia kwenye mahusiano mkiwa na akili timamu na leo mmefika hapo, kila mmoja ajitafakari amefikaje hapo alipo na amemfikishaje mwemzake hapo alipo.

Maamzi ya kutengana au kuishi pamoja yako mikononi mwenu na yatokane na nyinyi kukaa pamoja na kukubali ukweli kati yenu na kila mmoja alivyochangia kwa njia hasi au chanya mpaka hapo mlipo na yanayowasibu.

Mwisho mseme wahusika wenyewe, hapa sababu zetu ni hizi na hatuwezi kuishi pamoja kwa sababu hizi ingawa tumejitahidi kufanya vile au tunaweza kuishi pamoja kwa sababu hizi pamoja na haya makandokando yetu ila tufanye hili ili iwe vile.

Tusisukumwe na ubinafsi na kutokujielewa vyema kufanya maamzi mazito ya maisha yetu, tujitambue vyema kwanza na kujadili hoja zetu zaidi na kuzitafutia mwafaka tukiwa huru kimawazo na mtizamo. Let's modulate our life.
 
Huyo mwanamke hastahili kabisa mkuu usimpe nafasi nyingine tena...!!
LET HER GO.....!!

🔵Muonyeshe kwamba unaweza kuishi bila yeye..

🟤Huenda amegundua unahofu ya kumpoteza labda kupitia kauli zako mwenyewe za kumbembeleza ndio ana take advantage...


🟡Usionyeshe hofu yeyote ya kumpoteza japokua ilibidi umuonyeshe hivi toka zamani but don't regret .....


🔵Women are Emotional, Men are logical, Stay logical Man....


🟡Muache aende kwa sasa, Hata kama ikionekana shida ipo kwako, Mwambie akapumzike akupe mwaka ubadilike...


🟤Ukirudi tena hapa ukasema mmerudiana, Nitakutafuta mkuu kwa namna yeyote ile ..
😡😡!!
 

Attachments

  • Real strength is control. Master your emotions, discipline your mind. #alanrickman #severuss...mp4
    691.9 KB
Ndoa Aiharibu Mke Kuvumilia Avumilie Mume Unachekesha mkuu
 
Ndo akawape wanaume wenzangu? Si bora tuachane tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…