Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi sijakuelewa. Elezea zaidi, au kama kuna member aliyeelewa naomba anieleweshe.Naona Tanga wameamua kufanya siku ya mkutano wa wananchi kuhusu DP world iwe ni siku ya TANGA DAY 22 /7 /2023
Tanga mnatumika
Dr slaa na viongozi wengine msibadili tarehe naona chama cha CCM kimeamua kiwatumie yanga kuzima
View attachment 2685920
Kwa mujibu wa mtoa mada anadai kuwa Dp World wanakikao silu ya tarehe 22Binafsi sijakuelewa. Elezea zaidi, au kama kuna member aliyeelewa naomba anieleweshe.
Alinichanganya na hilo neno TANGA.Kwa mujibu wa mtoa mada anadai kuwa Dp World wanakikao silu ya tarehe 22
Yanga nao jambo lao wameamua kulifanya tarehe hiyohiyo.
So kuna connection hapo kati ya Yanga na Dp kuwa wana ajenda zinazofanana.
Namimi naona ana pointi ya msingi kwasababu hakuna namna unaweza kuitenganisha Yanga na CCM
Hujamuelewa kidogo tu lakini umemuelewa. Siku hiyo kuna Mkutano wa hadhara wa Wazalendo wanaopinga mkataba wa ovyo wa DPW wakiongozwa na Dr Slaa. Ingawaje binafsi sioni connection ya hili na siku ya Yanga kwani Mkutano wa kisiasa unaweza kubadilishwa siku.Kwa mujibu wa mtoa mada anadai kuwa Dp World wanakikao silu ya tarehe 22
Yanga nao jambo lao wameamua kulifanya tarehe hiyohiyo.
So kuna connection hapo kati ya Yanga na Dp kuwa wana ajenda zinazofanana.
Namimi naona ana pointi ya msingi kwasababu hakuna namna unaweza kuitenganisha Yanga na CCM
Mkutano wa tar 22 mkubwa kuliko hao manjanoNaona Tanga wameamua kufanya siku ya mkutano wa wananchi kuhusu DP world iwe ni siku ya TANGA DAY 22 /7 /2023
Tanga mnatumika
Dr slaa na viongozi wengine msibadili tarehe naona chama cha CCM kimeamua kiwatumie yanga kuzima.
View attachment 2685920
Bila shaka ndio watakuwa wameingilia shuhuli katikati maana wao leo ndio wametangaza tena masaa machache yaliyopitaAlinichanganya na hilo neno TANGA.
By the way, kipi kilianza kuwekwa hadharani kati ya kikao cha DPW na siku ya wananchi (tena ni wiki ya wananchi)
Hivi ujui Yanga day ni jambo muhimu kuliko huo ujinga mwingineNaona Tanga wameamua kufanya siku ya mkutano wa wananchi kuhusu DP world iwe ni siku ya TANGA DAY 22 /7 /2023
Tanga mnatumika
Dr slaa na viongozi wengine msibadili tarehe naona chama cha CCM kimeamua kiwatumie yanga kuzima.
View attachment 2685920
Eti anataka kufananisha Yanga na Bandari thubutuuu! Watu tunataka burudani Kwanza tusuuze Moyo....hiyo Bandari iuzwe isiuzwe sie wa mtogole huku hatuoni tofauti.....Hivi ujui Yanga day ni jambo muhimu kuliko huo ujinga mwingine