Naota navamiwa na majambazi au wachawi

kimbilia kwa Yesu haraka. ukiota unavamiwa na majambazi, ni kwamba, katika ulimwengu wa roho, kuna nguvu inachukua hatima yako nzuri. unaibiwa katika ulimwengu wa roho, hautafanikiwa kwenye maisha yako kwa muda mrefu sana hadi hatima yako irudi. Kimbilia kwa Yesu utapona.
 
Wewe ni mtu tano kuniambia haya ngoja nifanyie kazi. .
 
Nitake radhi nalala nyumba safi sana😃
I could put pictures of my house 🏠 uone ina ventilation system ya kuingiza hewa safi but that's not the issue😃
Send it mkuu we are waiting it might be the matter to us
 
Kuna watu humu ndani ni wajuaji kwa sababu wanajua mimi ni mchaga kutoka Rombo hawachelewi kusema kuwa nimelewa nyagi au Kvant. Si kweli huwa nakunywa mbege mara moja moja situmii kilevi kingine. .
View attachment 2590865
Mkuu punguza mawazo na usiku usile vyakula vya kupikwa kula matunda mchanganyiko na maziwa ya mtindi maji kidogo lala usipokuwa makini utajikuta unaamshwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…