Njoo uniungishe viatuYou are describing my room. Kwanza viatu viko kwenye kabati ziko locked. Pia nimetengeneza cabinet ya viatu vya kutokea tu week husika. You can see for yourself. .
Naishi nyumba kubwa na mke wangu tu chumba hakina mkorokoro😃
View attachment 2590908
Tumsaidie huyu Johnnie Walker nae amjue Bwana. Nafsi yake inahitaji ukombozi. .Hofu hukaa na shetani,
Maana tumepewa mamlaka...ni askari kamili na tuna SMG za kiroho....
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wasalaam
Kwa Sasa+267
kimbilia kwa Yesu haraka. ukiota unavamiwa na majambazi, ni kwamba, katika ulimwengu wa roho, kuna nguvu inachukua hatima yako nzuri. unaibiwa katika ulimwengu wa roho, hautafanikiwa kwenye maisha yako kwa muda mrefu sana hadi hatima yako irudi. Kimbilia kwa Yesu utapona.Wasalaam
Usiku wa kuamkia leo niliota nimevamiwa na majambazi, nikaamka kuangalia saa ni saa tisa na dakika nne usiku. Nikatoka sebuleni nikaona mtu ananifanyia ssssssssssssshhhh kuashiria nikae kimya nisitoe sauti cha ajabu ila huyu mtu anafanana na Steven Seagal (sura yake) ghafla ile sura ikabadilika ikawa yangu. Mtu Yule (ambae sasa ni kivuli changu) gizani aliniashiria nizime taa nijifiche nisionekane. Kweli nilizima taa nikajikita niko mwenyewe sebuleni nikachukua filimbi nikaipuliza majirani waje kunisaidia. Nikashtuka kutoka usingizini koo kavu sana limekauka nikanywa maji nikarudi kulala nikiwa na simanzi sana. .
Kwa nini nilipata simanzi?
Nimepata simanzi kwa sababu ndoto za aina hii nimeshaota mara nne au tano hivi. Tofauti na jana nilipata kufanya maamuzi, wakati mwingine nafadhaika kwa sababu naona kuna watu nje wanachungulia dirishani ila mwili unakuwa mzito kuamka. Naweza ota majambazi au kuna mchawi anachungulia dirishani ila sasa ili niamke kujihami mwili unakuwa mzito nashindwa kuamka kabisa kitandani (bado niko usingizini). Nikishtuka usingizini nakuwa nimetoka jasho sana. Kuna muda nikiwa ndotoni na sasa nimevamiwa na majambazi unakuta natamani kupiga kelele ila sauti haitoki kabisa. Naweza piga kelele kuomba msaada ila sauti haitotoka kabisa no matter how much I scream. This has gotten to me deeply and it’s affecting my sleep and sanity. Is there a meaning behind this or it is just a nightmare? fYCK
Nahitaji msaada wa ufafanuzi au ushauri I am terrified.
Sawaa,Tumsaidie huyu @johnnnae amjue Bwana. Nafsi yake inahitaji ukombozi. .
Wewe ni mtu tano kuniambia haya ngoja nifanyie kazi. .kimbilia kwa Yesu haraka. ukiota unavamiwa na majambazi, ni kwamba, katika ulimwengu wa roho, kuna nguvu inachukua hatima yako nzuri. unaibiwa katika ulimwengu wa roho, hautafanikiwa kwenye maisha yako kwa muda mrefu sana hadi hatima yako irudi. Kimbilia kwa Yesu utapona.
Send it mkuu we are waiting it might be the matter to usNitake radhi nalala nyumba safi sana😃
I could put pictures of my house 🏠 uone ina ventilation system ya kuingiza hewa safi but that's not the issue😃
Mkuu punguza mawazo na usiku usile vyakula vya kupikwa kula matunda mchanganyiko na maziwa ya mtindi maji kidogo lala usipokuwa makini utajikuta unaamshwa.Kuna watu humu ndani ni wajuaji kwa sababu wanajua mimi ni mchaga kutoka Rombo hawachelewi kusema kuwa nimelewa nyagi au Kvant. Si kweli huwa nakunywa mbege mara moja moja situmii kilevi kingine. .
View attachment 2590865
Mala nyingi mno , haswa niki lala huku natizama daliIshawah kukutokea?
Unaweza ukawa na experience nzuri zaid
Ndio [emoji23]Kwamba nilivimbiwa. .
Siku zoteUnauza viatu toka lini?
sema ukweli....ulikula 6 😂Chapati mbili na mchuzi wa nazi zinavimbisha sana😃