Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka kielewekeNaweka kambi hapa
Simba dumu vipi!?Hakuna mtego wowote hapo, chukua ALAF hao wengine ni takataka
ukikosa kabisa chukua ALAF waliobaki ni takataka
Jirani yangu kapiga Kiboko rangi kama nyeusi hivi, miezi 6 tu, yamepaukaYani ALAF inasifiwa sana , Sasa bei juu lakini nimetokea kuipenda ila pesa sina
ALAF ndiyo simba dumu, ile alama nyekundu ya simba inayopigwa kwenye mgongo wa batiSimba dumu vipi!?
kama bajeti yako kununua alaf hairuhusu chukua ando, nayo ukiishindwa basi angalau itafute sunshare.Yani ALAF inasifiwa sana , Sasa bei juu lakini nimetokea kuipenda ila pesa sina
Hii kampuni ya sunshare wako makini sana sema tu hawajaweza kufika mikoa mingiALAF mkuu
Ukishindwa ando au sunshare
Naomba kuuliza.... Je, huwa Kuna rangi kutoka ALAF za kupaka bati Kama rangi iliyopo umeichoka??.... Rangi kutoka kampuni ya ALAF siulizii toka kampuni nyingine.Hakuna mtego wowote hapo, chukua ALAF hao wengine ni takataka
ukikosa kabisa chukua ALAF waliobaki ni takataka
Makampuni ya bati ambayo hutumiwa kwenye miradi ya Serikali na yamepewa hati ya ithibati ni:-Ukija JF ndio utachanganyikiwa zaidi.
ALAF wanauzia jina.
Binafsi nilitumia bati za kiboko. Mwaka wa 7 sasa ipo mwake
Thread closed 😀Ukija JF ndio utachanganyikiwa zaidi.
Aisee sawa , nataka nichukue dragon geji 28 Kwa 14,000 Kwa MITA, ila hawataki ,Chukua Ando au alaf rangi damu ya Mzee mwaka wa tano huu nimeezeka nyumba zangu mbili rangi bado mbichi kabisa pia usiwahamini mawakala Kuna Mzee jirani yangu walimletea bati eti alaf rangi nyeusi imepauka miaka miwili aijaisha tangu apauwe
Nenda ALAF ushauri wa buree usije sema hukushauriwaNimemaliza Kupiga Mbao, site yangu wameshakuja watu wa sales wa makampuni mbalimbali, na wamenipiga saundi za kutosha, mafundi nao waliopiga mbao wamenishauri ila walivyoona nimepagawa sielewi nitumie bati kampuni Gani wakaniambia wewe Bosi leta bati yeyote sisi tutapiga mana sijui tukushaurije.
Katika watu na makampuni niliongea nao Kila mmoja anavutia kwao, nimeamua Sasa nibaki na choises tatu tu ANDO, ALAF na Dragon mana nisije kuchizika
Katika bei ukipanga Kwa namba 1, 2 ,3 wakwanza na wapili tofauti ya bei ni 2800 , wapili na watatu tofauti ya bei ni 3000, na wakwanza na watatu tofauti ya bei ni 5300 Kwa Kila MITA ya bati, Mimi nahitaji mita 600.
Sasa mabati yote ni mazuri, ila kati ya Ando, ALAF na Dragon nani Bora zaidi, hapa ndo mtego umejificha, makampuni mengi yanasema hiyo kampuni bei yao IPO juu c Kwa sababu ya ubora Bali ni kwasababu Wana brand kubwa.
Naombeni mnishauri , nichukue bati Gani ambayo itakuwa ni Bora zaidi kati ya hizo tatu hapo juu.
Inapatikana kwa hawa hawa AlafSimba dumu vipi!?