COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Hapana mkuu ALAF ndio bora zaidi ya wengine.Au ALAF wamenunua vijana humu,mbona sifa nyingi?
Kuna mengine tuliwahi nunua mvua iliposhuka tu ikashuka na rangi jua lilipo waka likawaka na kutu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu ALAF ndio bora zaidi ya wengine.Au ALAF wamenunua vijana humu,mbona sifa nyingi?
Illiterate SMDHHakuna mtego wowote hapo, chukua ALAF hao wengine ni takataka
ukikosa kabisa chukua ALAF waliobaki ni takataka
Uko sahihi nimetumia sunshare bati zao ni ngumu na imara sana alaf anafata kiukweliKwa upande wangu
1. Ando
2. Sunshare
Kwa nini Ando, hawa jamaa hawafeli, kazi zimenyooka, kwa kazi zangu za kampuni ni ando, any kind of metal equipment, containers n. K
Sunshare hawa ndio wanaomvua nguo ALAF, hapa kwa hawa jamaa ALAF anabki jina tuu, kwa bati imara za kwangu binafai ni kwa hawa jamaa, quality kubwa bei ndogo KIDOGO
Utakuwa ulichukua 30g, ungepata za 28g zinachelewa sana kupauka.Kuna bati za alaf damu ya mzee dah zina muhuri na kila nembo ya alaf lakin zimepauka hat mwaka haujaisha..sijui ni nini
Ni 30g ,, ila ndio hata mwaka haujaishaa?Utakuwa ulichukua 30g, ungepata za 28g zinachelewa sana kupauka.
Bati ni ALAF pekee, ukikosa hizo afadhali tu usiezeke maaa ndani ya muda mfupi tu utaichukia nyumba yako hata kabla hujahamia.
Kazi kwako
Kwa upande wangu
1. Ando
2. Sunshare
Kwa nini Ando, hawa jamaa hawafeli, kazi zimenyooka, kwa kazi zangu za kampuni ni ando, any kind of metal equipment, containers n. K
Sunshare hawa ndio wanaomvua nguo ALAF, hapa kwa hawa jamaa ALAF anabki jina tuu, kwa bati imara za kwangu binafai ni kwa hawa jamaa, quality kubwa bei ndogo KIDOGO
Kwa nini usinunie ALAF mabati ya uhakika kuliko kwenda kujiokotezea mabati vichochoroni? Unaweka bati baada ya mwaka rangi yake ishapauka, kwa nini ujitese kubashiri? Tia ALAF kama mfuko unaruhusu!Vipi kuhusu Sinoray?View attachment 2870131
Bei yake ipojealaf ndo mabati mkuu
Inategemea na aina ya bati unayotaka mkuu.Bei yake ipoje
Fact, thanksMoney is directly proportion to quality.
Bora ujivute uchukue kilichobora
ANDO achana nao kabisa apo Chukua ALAF ukishindwa bei nenda kwa DRAGONNimemaliza Kupiga Mbao, site yangu wameshakuja watu wa sales wa makampuni mbalimbali, na wamenipiga saundi za kutosha.
Mafundi nao waliopiga mbao wamenishauri ila walivyoona nimepagawa sielewi nitumie bati kampuni Gani wakaniambia wewe Bosi leta bati yeyote sisi tutapiga mana sijui tukushaurije.
Katika watu na makampuni niliongea nao Kila mmoja anavutia kwao, nimeamua Sasa nibaki na choises tatu tu ANDO, ALAF na Dragon mana nisije kuchizika.
Katika bei ukipanga Kwa namba 1, 2 ,3 wakwanza na wapili tofauti ya bei ni 2800 , wapili na watatu tofauti ya bei ni 3000, na wakwanza na watatu tofauti ya bei ni 5300 Kwa Kila MITA ya bati, Mimi nahitaji mita 600.
Sasa mabati yote ni mazuri, ila kati ya Ando, ALAF na Dragon nani Bora zaidi, hapa ndo mtego umejificha, makampuni mengi yanasema hiyo kampuni bei yao IPO juu c Kwa sababu ya ubora Bali ni kwasababu Wana brand kubwa.
Naombeni mnishauri, nichukue bati Gani ambayo itakuwa ni Bora zaidi kati ya hizo tatu hapo juu.
Niaje...Hata Mimi nipo njia panda vibaya mno, sijui nichukue bati gani