Napagawa na Bati: ALAF, ANDO, DRAGON - uchaguzi mgumu. Watu wa mauzo saundi kibao!

Napagawa na Bati: ALAF, ANDO, DRAGON - uchaguzi mgumu. Watu wa mauzo saundi kibao!

Kwa upande wangu
1. Ando
2. Sunshare

Kwa nini Ando, hawa jamaa hawafeli, kazi zimenyooka, kwa kazi zangu za kampuni ni ando, any kind of metal equipment, containers n. K

Sunshare hawa ndio wanaomvua nguo ALAF, hapa kwa hawa jamaa ALAF anabki jina tuu, kwa bati imara za kwangu binafai ni kwa hawa jamaa, quality kubwa bei ndogo KIDOGO
 
Kwa upande wangu
1. Ando
2. Sunshare

Kwa nini Ando, hawa jamaa hawafeli, kazi zimenyooka, kwa kazi zangu za kampuni ni ando, any kind of metal equipment, containers n. K

Sunshare hawa ndio wanaomvua nguo ALAF, hapa kwa hawa jamaa ALAF anabki jina tuu, kwa bati imara za kwangu binafai ni kwa hawa jamaa, quality kubwa bei ndogo KIDOGO
Uko sahihi nimetumia sunshare bati zao ni ngumu na imara sana alaf anafata kiukweli
 
Kuna bati za alaf damu ya mzee dah zina muhuri na kila nembo ya alaf lakin zimepauka hat mwaka haujaisha..sijui ni nini
Utakuwa ulichukua 30g, ungepata za 28g zinachelewa sana kupauka.
 
Bati ni ALAF pekee, ukikosa hizo afadhali tu usiezeke maaa ndani ya muda mfupi tu utaichukia nyumba yako hata kabla hujahamia.


Kazi kwako
 
Kwa upande wangu
1. Ando
2. Sunshare

Kwa nini Ando, hawa jamaa hawafeli, kazi zimenyooka, kwa kazi zangu za kampuni ni ando, any kind of metal equipment, containers n. K

Sunshare hawa ndio wanaomvua nguo ALAF, hapa kwa hawa jamaa ALAF anabki jina tuu, kwa bati imara za kwangu binafai ni kwa hawa jamaa, quality kubwa bei ndogo KIDOGO

Vipi kuhusu Sinoray?
IMG_1634.jpg
 
Money is directly proportion to quality.
Bora ujivute uchukue kilichobora
 
Nimemaliza Kupiga Mbao, site yangu wameshakuja watu wa sales wa makampuni mbalimbali, na wamenipiga saundi za kutosha.

Mafundi nao waliopiga mbao wamenishauri ila walivyoona nimepagawa sielewi nitumie bati kampuni Gani wakaniambia wewe Bosi leta bati yeyote sisi tutapiga mana sijui tukushaurije.

Katika watu na makampuni niliongea nao Kila mmoja anavutia kwao, nimeamua Sasa nibaki na choises tatu tu ANDO, ALAF na Dragon mana nisije kuchizika.

Katika bei ukipanga Kwa namba 1, 2 ,3 wakwanza na wapili tofauti ya bei ni 2800 , wapili na watatu tofauti ya bei ni 3000, na wakwanza na watatu tofauti ya bei ni 5300 Kwa Kila MITA ya bati, Mimi nahitaji mita 600.

Sasa mabati yote ni mazuri, ila kati ya Ando, ALAF na Dragon nani Bora zaidi, hapa ndo mtego umejificha, makampuni mengi yanasema hiyo kampuni bei yao IPO juu c Kwa sababu ya ubora Bali ni kwasababu Wana brand kubwa.

Naombeni mnishauri, nichukue bati Gani ambayo itakuwa ni Bora zaidi kati ya hizo tatu hapo juu.
ANDO achana nao kabisa apo Chukua ALAF ukishindwa bei nenda kwa DRAGON
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom