Napagawa na Bati: ALAF, ANDO, DRAGON - uchaguzi mgumu. Watu wa mauzo saundi kibao!

Napagawa na Bati: ALAF, ANDO, DRAGON - uchaguzi mgumu. Watu wa mauzo saundi kibao!

Bati ni alaf,asikudanganye mtu bora udundulize hela miaka mitano ila hakikisha umeezekea alaf,usije baadae ukaanza kuchukia nyumba yako bure,hata upambe nyumba kwa kuta nzuri bati likipauka nyumba inakuwa imezeeka.
 
Naomba kuuliza.... Je, huwa Kuna rangi kutoka ALAF za kupaka bati Kama rangi iliyopo umeichoka??.... Rangi kutoka kampuni ya ALAF siulizii toka kampuni nyingine.

Thanks
usisubutu kupata rangi bati utajuta
 
Kuna bati za alaf damu ya mzee dah zina muhuri na kila nembo ya alaf lakin zimepauka hat mwaka haujaisha..sijui ni nini
 
hakuna kisicho pauka ndugu,ila muda wa kupauka ndo unachotakiwa kuangalia hapo
Kuhusu bati bora ni bat ambazo zina gauge 28 na kuendelea kwa kwenda 26 -24-18-16 mpka mwisho

Pia ithibati ya material ambazo wanatumia hivyo viwanda katik uzalishaj wao wa mabati,
Hap ndo tatizo linapokuja wanachukua wap coil zao.je wana chukua china au korea na kam china ni grade ngapi

Ila hiyo uwezi pata kwa muuzaji ni siri ya kiwanda
ALAF ni nzur ila sio bora kuliko hivyo vingineo.
ANDO ni nzur ila sio bora kuliko hivyo vingineo.
Sunshare ni nzur ila sio bora kuliko hivyo vingineo.
Kutoka katika hiz kampun 3 kuna ambaye jina lina mbeba kuliko uhalisia wake.
Naongea kam mtu ambaye nimefanya kaz katika hiyo sekta ya ROOFING MATERIAL kwa zaid ya miaka 7 katika kampuni 2 kati ya hizo hapo juu

MAONI YANGU; chukua bati ambayo itakuwa inaendana na bajeti yak kati ya hiz kampuni 3 ,ila ALAF NA SUNSHARE wao wana uzaifu wa mawaka wao wapo ambao sio kwa tabia zao ila ANDO yey kwa upande huo anawazidi wenzie kwa kuwa yey utapata kweny kiwanda chak au kweny outlet zake
Hitimisho kwa bias zangu chukua bidha za ANDO maan unaweza fanya research ya kuzunguka site nying unaweza kuta bati zmepauka na utaskia kampuni zote hapo juu ila hutasikia ANDO ikitajwa,pia 8gopa g30 kwa kampuni yeyote ile kwa maan zitadumu kwa almost 5year only baada y hapo zina fade
Kifungashio kwa walio dar , bigbon sinza mori pale juu kuna bat ya ando rangi ya karoti toka ijengwe haija pauka, KKKT ubungo plaza ile bati ni Ando bado ukijani wake upo pale
 
Ubora hapo ni kitu gani,kutokupata kutu au kutokupauka,maana kuna mahali nimeona bati la ALAF limepauka na lina kutu nikabaki nimeduwaa kwa jinsi yanavyosifiwa....
Hiyo sio Alaf
 
Mleta mada soma hii link itakupatia mchanganuo mzuri
 
Back
Top Bottom