Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ili usipate Kaswende🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kwahiyo nijiunge Chaputa.
yupi bora, asiyeweza kuzalisha au aliye CHAWAMBATA ?🤣 🤣 🤣 🤣 Hapana mkuu chaputa mwisho wa siku unakua huwezi kuzalisha.
Kweli mkuu mbona hata mimi kashawahi niomba pesa mara ooh nitakurudishia lakini wapi ajarudisha.Hiyo situation ishawahi kunikuta na mwanamke wa Ina hiyoo wa kujifanya kushika dini,jiandae na vizinga .. ###temana nae mkatae kimya kimya ...hamna upendo hapo unapoteza muda wako ..Fanya mambo ya msingi Kwa mstakabali wa maisha yako.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Chama cha Wameza Mbaazi Tanzania🤣 🤣 🤣 CHAWAMBATA ndio nini tena mkuu?
Kwahiyo shida ni binti na sio dini?Shida huyu binti haeleweki mama.
Atahukumiwa kwa mwenendo wake pamoja na matumizi mabaya ya diniPia naona kama anajificha kwenye kivuli cha dini tu ila mzugaji tu.
Kimbia ndugu yangu tena kwa kasi ya UmemeHabari za wakati huu wakuu, natumai nyote wazima wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada.
Ni hivi kuna binti mmoja hivi nilifahamiana naye kwenye harakati za kutafuta mkate wa kila siku, yeye ni mtu wa dini sana yani kwenda kanisani kwake Jumatano, Ijumaa na Jumapili zote hakosi na kiumri anacheza miaka 26 na mimi nikiwa na miaka 24.
Utaja jua mbele ya safari mkuu wewe kwa sasa kaa ukijua unafanya kazi ya kumu kanda mbwa kizazi[emoji1787] [emoji1787] Una maana gani mkuu?