Napata mshahara ila unaisha ndani ya wiki mbili au tatu, naishia kukopa

Napata mshahara ila unaisha ndani ya wiki mbili au tatu, naishia kukopa

Usagara nayo ni Marekani ..tunaiitaga USA... LABDA anaishi usagara ya kwanza au Tanga.
Huyu Ashura wa mpanda namjua vizuri na juzi nimepita kwao bibi yake anaumwa siku ya tatu sasa mdogo wake Rajabu ndio kabaki na jukumu la malezi.

Just imagine,juzi kapita na mzigo wa kuni hapa anasema anenda kumchemshia bibi yake maji na dada yake Ashura kaenda Daslamu.Leo hii Ashura anatueleza habari za maisha ya Kimarikani sijui mlimani city bure kabisa
 
Huyu Ashura wa mpanda namjua vizuri na juzi nimepita kwao bibi yake anaumwa siku ya tatu sasa mdogo wake Rajabu ndio kabaki na jukumu la malezi.

Just imagine,juzi kapita na mzigo wa kuni hapa anasema anenda kumchemshia bibi yake maji na dada yake Ashura kaenda Daslamu.Leo hii Ashura anatueleza habari za maisha ya Kimarikani sijui mlimani city bure kabisa
Sijui kama Moderator watakuacha kwa kukiuka sheria za JF

Name calling.
 
Mim naitwa Maina ni mtanzania nisoma marekani chuo kikuu cha MIT nina umri.wa miaka 23. Sina muda mrefu kuingia humu JF. Nimekomaa kiakili ila si kimwili.

Nilisoma Tanzania kidogo nikahamia Marekani. Nilisoma level zote ke na hadi chuo.

Nimeamua kuja nchi ya amani. Naipenda sana Tanzania. Ninafanya kazi nzuri tu. Na ninapata pesa. Kwa Marekani matumizi ni ya juu. Nikiwa tz kwa wastani wa Tsh milioni 3 kwa mwezi ni pesa ambayo naimaliza kwa wiki 2 hadi 3. Kiufupi mimi sina jidhamu ya pesa kule marekani nikinunua Pombe za mwez mmoja inatosha ila huku hairoshi. Sabab ni kipato pesa ninayopata kwa mwezi haitoshelezi matumizi makubwa hasa nikifanya manunuzi sehem ghali kama mlimani City nk.

Hiyo ni brief fupi kuhusu cash and purchases monthly.

Wiki mojaniliuopita niliamua kutafuta kazi kampuni nyingine walau nipate 5mil p/m labda itanitosheleza. Ndg zangu nchi inaamani sana na maisha ni wewe mwenyewe. Nipo hapa naona amani ni moyo sio pesa. Ila nimefanya research hata hata serikalini ningeomba kazi ila nllabda kama ningekuwa mkuu.wa idara ila posho ya HoD ni chini milioni labda benki kuu nk.

Kikafanya research sector mbalimbali nikaambulia hali ngumu na ndio maana rais wa Tanzania lazma awe kama magufuli na ndio maana mama anampenda makonda. Niwambie mama hashindwi kumpa makonda PM.

Viongozi baadhi ni wezi wanajitajirisha sana na mimi kwa mawazo yangu raisi wa Tanzania wapende watumishi wa umma. Ukiwajali na sector binafsi watawajali watumishi wao hata House girl anaweza akalipwa 500,000.

This is a brief statement from me maina.

Niende kweny hoja.

Napata mshahara ila unaisha 2 hadi 3 week. 4th weeks naishia kukopa. Nisaidieni ushauri
Tatizo lako ni kama langu... Huna nidhamu ya pesa. Usipokuwa na nidhamu ya pesa hata upewe Bilioni moja bado itaisha punde ndani ya muda mfupi bila kufanya nayo kitu cha maana.. Suluhu ya hili ni kujifunza kuwa na nidhamu ya pesa.
 
Ukiona mshahara wako unatoboa wiki 3 ujue upo kwenye right track.
Wenzio huwa wanakaa nao wiki baada ya hapo anabaki na hela ya nauli na soda sio bia tena.
 
Mikopo yako bado stahimilivu 😂 unakopesheka ,keep moving
 
Mim naitwa Maina ni mtanzania nisoma marekani chuo kikuu cha MIT nina umri.wa miaka 23. Sina muda mrefu kuingia humu JF. Nimekomaa kiakili ila si kimwili.

Nilisoma Tanzania kidogo nikahamia Marekani. Nilisoma level zote ke na hadi chuo.

Nimeamua kuja nchi ya amani. Naipenda sana Tanzania. Ninafanya kazi nzuri tu. Na ninapata pesa. Kwa Marekani matumizi ni ya juu. Nikiwa tz kwa wastani wa Tsh milioni 3 kwa mwezi ni pesa ambayo naimaliza kwa wiki 2 hadi 3. Kiufupi mimi sina jidhamu ya pesa kule marekani nikinunua Pombe za mwez mmoja inatosha ila huku hairoshi. Sabab ni kipato pesa ninayopata kwa mwezi haitoshelezi matumizi makubwa hasa nikifanya manunuzi sehem ghali kama mlimani City nk.

Hiyo ni brief fupi kuhusu cash and purchases monthly.

Wiki mojaniliuopita niliamua kutafuta kazi kampuni nyingine walau nipate 5mil p/m labda itanitosheleza. Ndg zangu nchi inaamani sana na maisha ni wewe mwenyewe. Nipo hapa naona amani ni moyo sio pesa. Ila nimefanya research hata hata serikalini ningeomba kazi ila nllabda kama ningekuwa mkuu.wa idara ila posho ya HoD ni chini milioni labda benki kuu nk.

Kikafanya research sector mbalimbali nikaambulia hali ngumu na ndio maana rais wa Tanzania lazma awe kama magufuli na ndio maana mama anampenda makonda. Niwambie mama hashindwi kumpa makonda PM.

Viongozi baadhi ni wezi wanajitajirisha sana na mimi kwa mawazo yangu raisi wa Tanzania wapende watumishi wa umma. Ukiwajali na sector binafsi watawajali watumishi wao hata House girl anaweza akalipwa 500,000.

This is a brief statement from me maina.

Niende kweny hoja.

Napata mshahara ila unaisha 2 hadi 3 week. 4th weeks naishia kukopa. Nisaidieni ushauri
Mambo Maiii...
Kwanza hongera kwa kusoma Marikani natumai elimu yako ni nzuri na una akili. Karibu Tanzania na mtaani huku kuna shule nyingine.

Pili unapoandika mada epuka kuchanganya mada mbili au kuweka vionjo vitakavyoondoa muktadha au maana ya uzi mkuu. Hapo kuweka Makonda mara PM mara Samia mara JPM utaacha uzi wako kujadiliwa kwa undani na utaingia siasa.

Tatu, turudi kwenye mada kuu.
Kuwa na kipato kikubwa hakuwezi kufanya uwe na saving kubwa.
Saving inaendana na nidhamu ya matumizi ya fedha. Usipokua na nidhamu hata upate milioni 300 kwa mwezi fahamu hela hiyo itaisha tu na utakopa tena.

Nini cha kufanya.
1. Kaa chini uangalie hela zako huwa zinaenda wapi? Matumizi yako makubwa ni nini?
2. Je matumizi yote ni muhimu kufanya?
3. Je umepanga? Kodi ya nyumba inaendana na kipato chako? Au bado unaishi home?
4. Starehe yako ni nini?
5. Angalia marafiki wanaokuzunguka, je wana msaada kwako?
6. Fungua account nyingine hakikisha unaweka kila mwezi milioni pembeni ndio uanze matumizi....
7. N.k n.k

By the way you are just 23 huo ndio umri wa kufanya mistakes zote kabla jua halijazama. So kula life.

Mwisho wewe ni ME au KE?
 
Una uhakika umekomaa kiakili kama unavotudanganya?
 
Mim naitwa Maina ni mtanzania nisoma marekani chuo kikuu cha MIT nina umri.wa miaka 23. Sina muda mrefu kuingia humu JF. Nimekomaa kiakili ila si kimwili.

Nilisoma Tanzania kidogo nikahamia Marekani. Nilisoma level zote ke na hadi chuo.

Nimeamua kuja nchi ya amani. Naipenda sana Tanzania. Ninafanya kazi nzuri tu. Na ninapata pesa. Kwa Marekani matumizi ni ya juu. Nikiwa tz kwa wastani wa Tsh milioni 3 kwa mwezi ni pesa ambayo naimaliza kwa wiki 2 hadi 3. Kiufupi mimi sina jidhamu ya pesa kule marekani nikinunua Pombe za mwez mmoja inatosha ila huku hairoshi. Sabab ni kipato pesa ninayopata kwa mwezi haitoshelezi matumizi makubwa hasa nikifanya manunuzi sehem ghali kama mlimani City nk.

Hiyo ni brief fupi kuhusu cash and purchases monthly.

Wiki mojaniliuopita niliamua kutafuta kazi kampuni nyingine walau nipate 5mil p/m labda itanitosheleza. Ndg zangu nchi inaamani sana na maisha ni wewe mwenyewe. Nipo hapa naona amani ni moyo sio pesa. Ila nimefanya research hata hata serikalini ningeomba kazi ila nllabda kama ningekuwa mkuu.wa idara ila posho ya HoD ni chini milioni labda benki kuu nk.

Kikafanya research sector mbalimbali nikaambulia hali ngumu na ndio maana rais wa Tanzania lazma awe kama magufuli na ndio maana mama anampenda makonda. Niwambie mama hashindwi kumpa makonda PM.

Viongozi baadhi ni wezi wanajitajirisha sana na mimi kwa mawazo yangu raisi wa Tanzania wapende watumishi wa umma. Ukiwajali na sector binafsi watawajali watumishi wao hata House girl anaweza akalipwa 500,000.

This is a brief statement from me maina.

Niende kweny hoja.

Napata mshahara ila unaisha 2 hadi 3 week. 4th weeks naishia kukopa. Nisaidieni ushauri
Chai.
 
Back
Top Bottom