Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama hawezi mapema keshachemka, tulimwambia huwezi endesha gari bovu kisa we ni dereva mpya akusikia.Aisee binafsi kuna maono nimeyapata Mama kasusa haoni maana ya kuwa rais vile anaendeshwa kama gari bovu na wale wanaodhani taifa hili ni mali yao huku mambo yaki haribika lawama zinamrudia yeye.
Mbowe anataka kuivuruga nchi maana kachukua chake kwa mabeberu,Mara ashauri chanjo iwe kwa lazima anajua rais akifuata ushauri wake atakuwa amemchonganisha na wananchi.Prof Kaboko,
Naona kitu ambacho ama hukioni au unajifanya hukioni.
Freeman Mbowe alimsonya Rais Samia hadharani na kuazimia kuangusha serikali kwa njia ya makongamano, mikutano ya hadhara na maandamano.
Kwa ufupi, Mbowe alitangaza nia ya kufanya uhaini, pure and simple.
Hauzifahamu kanuni za kuwashughulikia watu wenye dhamira ya kufanya uhaini?
Wewe ungekuwa mkuu wa serikali usingezitumia?
We have to call a spade not a spoon.
Bhasukuma bhakamala gete😁Mama yenu hatoshi, kaya namughe.[emoji1614][emoji36]
Umenadika vizuri, isipikuwa mwishoni. Achana na spinning kwa kutumia habari sensational kama vile ushoga.Mbowe anataka kuivuruga nchi maana kachukua chake kwa mabeberu,Mara ashauri chanjo iwe kwa lazima anajua rais akifuata ushauri wake atakuwa amemchonganisha na wananchi.
Analazimisha kufanya vurugu ili aangaliwe tu kuonyesha rais ni dhaifu,na akiguswa waliomtuma wanaikoromea nchi.
Maadam mama ni rais wa Watanzania aangaliwe maslahi ya watu wake.Hawa mabeberu leo watakuambia mwachie Mbowe,kesho uukubali ushoga,hawezi kuwaridhisha.
Kwa mujibu wa Katiba yetu, Makamu wa Rais anafanya kazi atakazopangiwa na Rais.Kwani yeye hajui kuchambua pumba na mchele,kimsingi hata yeye anapenda haya mambo maana hata kipindi Cha Kayafa alikuwa sehemu ya mfumo.
Hongera zako kwa kuwa sehemu ya kufurahia na kushabikia uovu ila siku usirudi hapa na kutuambia shakira yako ina kusuta.Hata pole hatutakupa.Prof Kaboko,
Naona kitu ambacho ama hukioni au unajifanya hukioni.
Freeman Mbowe alimsonya Rais Samia hadharani na kuazimia kuangusha serikali kwa njia ya makongamano, mikutano ya hadhara na maandamano.
Kwa ufupi, Mbowe alitangaza nia ya kufanya uhaini, pure and simple.
Hauzifahamu kanuni za kuwashughulikia watu wenye dhamira ya kufanya uhaini?
Wewe ungekuwa mkuu wa serikali usingezitumia?
We have to call a spade not a spoon.
Kufanya makongamano, mikutano na maandamano ni haki ya kikatiba ya kila raia wa JMT na anayepanga kufanya hivyo hawezi kuwa branded eti ni MhainiFreeman Mbowe alimsonya Rais Samia hadharani na kuazimia kuangusha serikali kwa njia ya makongamano, mikutano ya hadhara na maandamano..
Hakuna uovu mkubwa kama kusigina hadhi ya ubinadamu kwa njia ya disinformation. Hii ndio sababu inanifanya nipinge hayo yanayoendelea huko kwenye Team Mbowe. Huwezi kumwambia mwenzio atoe kibanzi jichoni wakati kwako kuna boriti.Hongera zako kwa kuwa sehemu ya kufurahia na kushabikia uovu ila siku usirudi hapa na kutuambia shakira yako ina kusuta.Hata pole hatutakupa.
Malizia hivi: "Kufanya makongamano, mikutano na maandamano ni haki ya kikatiba" ambayo ni double edged sword. Inaweza kutumika kama silaha ya kuangusha serikali au vinginevyo. Mbowe amesema anataka kuitumia kama mbinu ya kulifikisha Taifa kwenye "TIPPING POINT". Mpaka hapo bado hujaelewa dhamira yake kuwa ni kuangusha serikali kimabavu?Kufanya makongamano, mikutano na maandamano ni haki ya kikatiba ya kila raia wa JMT anayepanga kufanya hivyo hawezi kuwa branded eti ni Mhaini
Rais aliyeapa kuilinda Katiba ya Nchi hawezi kuogopa mikutano. Hija jizibiwe kwa hoja na sio mitutu ya bunduki
Uzuri jamvi hili hutunza kila kitu,nakutakia kila la kheri.Hakuna uovu mkubwa kama kusigina hadhi ya ubinadamu kwa njia ya disinformation. Hii ndio sababu inanifanya nipinge hayo yanayoendelea huko kwenye Team Mbowe. Huwezi kumwambia mwenzio atoe kibanzi jichoni wakati kwako kuna boriti.
Sawa, baadaye kidogo nitakuwekea hapa hati ya mashtaka ya jaribio la uhaini dhidi ya Mbowe na wenzake.Uzuri jamvi hili hutunza kila kitu,nakutakia kila la kheri.
Bambika na la uhujumu uchumi pamoja na utakatishaji fweza kwa uchache.Sawa, baadaye kidogo nitakuwekea hapa hati ya mashtaka ya jaribio la uhaini dhidi ya Mbowe na wenzake.
Hayo safari hii hakuna kwa upande wa Mwanza. Yako mawili:Bambika na la uhujumu uchumi pamoja na utakatishaji fweza kwa uchache.
Sasa yapo ya ugaidi na uhaini sio.Hayo safari hii hakuna.