The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Sawa mama ake mdogo Samia..Prof Kaboko,
Naona kitu ambacho ama hukioni au unajifanya hukioni.
Freeman Mbowe alimsonya Rais Samia hadharani na kuazimia kuangusha serikali kwa njia ya makongamano, mikutano ya hadhara na maandamano.
Kwa ufupi, Mbowe alitangaza nia ya kufanya uhaini, pure and simple.
Hauzifahamu kanuni za kuwashughulikia watu wenye dhamira ya kufanya uhaini?
Wewe ungekuwa mkuu wa serikali usingezitumia?
We have to call a spade not a spoon.
Hivi bado hujajua nchii hii ina umri gani toka ipate uhuru