Me.Wewe ni Me au Ke?
nasemaje arsenal epl habebi na uefa msimu ujao tunampa bayernππMmekosa cha kushauri eehee, Mnaamua kuharibu uzi wa watu ππ
todd mwenye atahama na ndo bossπLiver kuku au sio timu ya aunt yangu Mjep ila Chelsea sihamiπππ
Me sio Arsenal πnasemaje arsenal epl habebi na uefa msimu ujao tunampa bayernππ
karibu EtihadMe sio Arsenal π
Arsenal wanaiona nchi ya ahadi, ila hawataingia.
Wamerudi kileleni. Ila Man city ana mechi 2 mkononi. Ni shwaaaap anatokapo tena
Kwakua umesema wewe, nakuamini.Ninacho Shem. Nina uhakika na hilo
π₯°Kwakua umesema wewe, nakuamini.
Kwema huko?
Utashindwa kuiona pepo kwa sababu ndogo tu. Toka lini Cytzen ina mashabiki hapa Tanzania??? ,π€£π€£π€£π€£Me sio Arsenal π
Arsenal wanaiona nchi ya ahadi, ila hawataingia.
Wamerudi kileleni. Ila Man city ana mechi 2 mkononi. Ni shwaaaap anatokapo tena
we jamaa uko na shida kisaikologia kama unangalia movie za kikorea acha naona zina haribu watu wengi sana.Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
ππMnatutisha siotodd mwenye atahama na ndo bossπ
shabiki wa citizen tupo kibao mkuuUtashindwa kuiona pepo kwa sababu ndogo tu. Toka lini Cytzen ina mashabiki hapa Tanzania??? ,π€£π€£π€£π€£
Najua Mzee Jakaya Kikwete ni shabiki wa Newcastle toka kitambo na sasa hivi inajitafuta muda si mrefu inakuwa ya moto.
Amna kitu πThe best football team in the World.
YNWA
Yeah kwetu sisi kupo salama, nimefurahi kujua uko poa.π₯°
Kwema kabisa. Natumaini na kwako pia na dada, kupo salama.
Atafute tu nampa namba ya Phycologist atapike yote.πππππ na ukose mtu wa kumtapikia, uwii ndio inakuwa balaa
Kabisa humu uwe na kifua na usiwe namtu wa hasira unaweza kuwa una stress kidogo Kuna Mt Anatafuta wa kugombana nae ndo stress zake zitulieπππAtafute tu nampa namba ya Phycologist atapike yote.πππ
Humu JF watamvuruga tu maana wengine Stress zimekuwa kama ni sehemu ya maisha yetu