Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me.Wewe ni Me au Ke?
nasemaje arsenal epl habebi na uefa msimu ujao tunampa bayern๐๐Mmekosa cha kushauri eehee, Mnaamua kuharibu uzi wa watu ๐๐
todd mwenye atahama na ndo boss๐Liver kuku au sio timu ya aunt yangu Mjep ila Chelsea sihami๐๐๐
Me sio Arsenal ๐nasemaje arsenal epl habebi na uefa msimu ujao tunampa bayern๐๐
karibu EtihadMe sio Arsenal ๐
Arsenal wanaiona nchi ya ahadi, ila hawataingia.
Wamerudi kileleni. Ila Man city ana mechi 2 mkononi. Ni shwaaaap anatokapo tena
Kwakua umesema wewe, nakuamini.Ninacho Shem. Nina uhakika na hilo
๐ฅฐKwakua umesema wewe, nakuamini.
Kwema huko?
Utashindwa kuiona pepo kwa sababu ndogo tu. Toka lini Cytzen ina mashabiki hapa Tanzania??? ,๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMe sio Arsenal ๐
Arsenal wanaiona nchi ya ahadi, ila hawataingia.
Wamerudi kileleni. Ila Man city ana mechi 2 mkononi. Ni shwaaaap anatokapo tena
we jamaa uko na shida kisaikologia kama unangalia movie za kikorea acha naona zina haribu watu wengi sana.Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
๐๐Mnatutisha siotodd mwenye atahama na ndo boss๐
shabiki wa citizen tupo kibao mkuuUtashindwa kuiona pepo kwa sababu ndogo tu. Toka lini Cytzen ina mashabiki hapa Tanzania??? ,๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Najua Mzee Jakaya Kikwete ni shabiki wa Newcastle toka kitambo na sasa hivi inajitafuta muda si mrefu inakuwa ya moto.
Amna kitu ๐The best football team in the World.
YNWA
Yeah kwetu sisi kupo salama, nimefurahi kujua uko poa.๐ฅฐ
Kwema kabisa. Natumaini na kwako pia na dada, kupo salama.
Atafute tu nampa namba ya Phycologist atapike yote.๐๐๐๐๐ na ukose mtu wa kumtapikia, uwii ndio inakuwa balaa
Kabisa humu uwe na kifua na usiwe namtu wa hasira unaweza kuwa una stress kidogo Kuna Mt Anatafuta wa kugombana nae ndo stress zake zitulie๐๐๐Atafute tu nampa namba ya Phycologist atapike yote.๐๐๐
Humu JF watamvuruga tu maana wengine Stress zimekuwa kama ni sehemu ya maisha yetu