Napata wapi muongozo unaoonesha ni ndugu gani hawaruhusiwi kuoana na ambao wanaweza?

Hawataki Agano La Kale Lete Kutoka Kwenye Agano Jipya.
 
sasa haya wameandikiwa waarabu uko yanakupataje wewe mmatumbi wa ligangabilili mkoa mpya wa itilima?
Kumbe Lengo Lako Ni Kuleta Upuuzi Mbele Ya Waungwana Wewe Kwenye Kizazi Chako Toka Enzi Za Kale Kuna Mmoja Ameshawahi Kumdovee Na Inaonekana Hivi Punde Utafuata Nyayo Au Umeshafuata Tayari Hivyo Na Wewe Wanakudovee.
 
mkuu umetoa wapi haya? una uthibitisho apo?
Quran Yenyewe Inajisithibitisha Sio Kama Bible,Quran Inasema Yenyewe kuwa Ni Ujumbe Kwa Walimwengu Wote Na Wakati Mwingine Inasema Enyi Watu Hakuna Sehemu Inasema Ujumbe Huu Ni kwa Waarabu,Bible Ndo Ina Mambo ya kutaja Mara Israel Mara waebrania Shida Yako Umepewa Kichwa Ila Umenyimwa Akili.
 
We oa hata bibi yako,nobody cares.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…