Napata Wasiwasi Sana Na Uelekeo Wa "DiamondPlatnumz"

Napata Wasiwasi Sana Na Uelekeo Wa "DiamondPlatnumz"

Hizo kampuni za mikoani ni kama zipi kwa mfano?!

Kama ni hizi kampuni za kawaida zitaishia kudhamini shows za akina Young Dee peke yake lakini sio mtu kama Diamond. Diamond amekupunguzia sana labda 20M. Huwezi kurudisha 20M kwa kutegemea viingilio vya mlangoni!

Chukulia ile show ya Mombasa mwaka jana! Diamond alilipwa Sh. 5 million za Kenya! Shilingi milioni 5 za Kenya ni takribani sh. 100 Million za Tanzania! Kampuni gani kwa hizi za mikoani italipa hiyo pesa?! Na ni kutokana na huo ukweli ndio maana hata Kenya Diamond huwa anaitwa kwenye festivals au big shows kwa sababu zinakuwa na sponsors. Mathalani, show ya hivi karibuni aliyopiga Nairobi!

Kwa Tanzania chukulia mfano wa show ambayo alipiga Iringa! Ile ilikuwa full sponsored na Vodacom!!! Aidha mwaka jana hiyo hiyo alipiga show Kyela kwenye ufunguzi wa Ngonga Beach Resort! Hii hapa namba ya simu ya Ngonga: 0712 169 669. Wapigie jifanye unataka ku-book room wakutajie bei zao halafu uone kama kwao kumpa show Diamond ingekuwa tatizo!!! Mwakajuzi alipiga show Leaders... hii ilikuwa full sponsored na Tigo!!!

In short, sio mikoani tu... hata Dar es salaam shows za Diamond zimeshakuwa adimu labda aamue kufanya pro bono jambo ambalo ni gumu!!

Na hii sio kwa Tanzania tu... sehemu nyingi shows zinazohitaji wasanii wakubwa lazima zipate sponsorships kutoka kampuni kubwa kubwa!!!
Kiukweli mondi zamani ndo alikua anaimba saivi kawa densa na sijui kama unaweza kua kimataifa kama taifa lako hauko sawa nalo kwa kimuziki na ww unaonaje mwenendo wake saiv na zamani
 
Hizo sababu zake ndo zinazomuweka mbali na mashabiki! , kwani hao wakina Babutale na Salama k hawawezi kuandaa show wenyewe wakazunguka mikoani kupiga mfano Kirumba, sokoine , majimaji, mtwara, arusha ,kigoma n.k kweli uongozi wake wanashindwa tu gharama za kuwasafirisha kundi la wasafi na gharama za malazi ambazo zitarudi kila show?

Lengo la hizo show iwe kuwaburudisha wapenzi wake na asiweke masilahi mbele sana japo pia atapata pesa nyingi kwa kiingilio cha 10,000 kwenye viwanja vya mpira.

Narudia tena team ya Diamond wanauwezo wa kuandaa show sema ni kujidekeza na kutudharau tu mshabiki wao
Wewe ndo umeongea ukweli kabisa aisee
 
Kwa ukubwa wa Tiwa savage mi naona amefanya kitu sahihi kabisa.. Wanaigeria industry yao kubwa mkuu usiwachukulie poa kabisa
 
Ni kweli mkuu, marry me inasumbua sana nchi za nje, juzi nilikua korea kaskazini kwa kiduku wimbo wa marry me unapigwa sana kwenye club za mjini pyongyang.Top ten za moscow inashika namba 6, Somalia ndio kama wimbo wa taifa wa Alshabab, Gaza ndio wimbo wa kuitia kwenye sim ya Mahamud Abbas, Italy ndio usiseme kila wiki unashika namba 2 kwenye top ten yao. Wimbo bado unafanya vizuri.

Tembelea maeneo ya Mosul, Raqa, Islamabad kote huko unatamba. Diamond sio wa nchi hii.

Mkuu umenichekesha sana aisee
 
Kiukweli mondi zamani ndo alikua anaimba saivi kawa densa na sijui kama unaweza kua kimataifa kama taifa lako hauko sawa nalo kwa kimuziki na ww unaonaje mwenendo wake saiv na zamani
Naona umetoka kwenye mada...! Kumbe upo kwenye kuponda!! Sasa nini kilikuwa kinakufanya uzunguke mbali kooooooooooe huko!!!

The problem, watu hamfahamu soko la muziki linataka nini!!! Soko la muziki halipo kwenye kuangalia taste ya mtu mmoja mmoja bali linaangalia majority wanataka nini!!!

Na ndio maana wakati nyie mnaamini hawezi kuimba na amekwisha, ndo kwanza jamaa anaendelea kudaka shows za kitambi!

Next week atakuwa Goma kwa ajili ya miaka ya 57 ya Uhuru wa DRC! Akirudi anatulia kidogo anachukua show ya Castle Lite! Hapo ni mwezi juzi tu alikuwa na show Zambia na few weeks ago alikuwa Nairobi!

Huyo ndo Diamond unayemuona hajui kuimba!!!!!

Na isitoshe... hizi habari za kwamba hajui kuimba au ameshaisha hazijaanza leo!!! Zaidi ya miaka 5 iliyopita watu wamekuwa wakitabiri kuporomoka kwa Diamond, lakini wapi!!!
 
Aliponza kumwimbia Makonda basi nilianza kuona anapotea Taratibu bila yeye kujiafahamu sasa hivi ndo basi tena
 
Wewe ndo umeongea ukweli kabisa aisee
Kama ameongea ukweli kabisa basi msaidie kujibu haya maswali yaliyotokana na hoja yake manake hadi sasa hajayajibu:
Zinamweka mbali na mashabiki according to wewe au?! Unamaanisha nini hasa unaposema hizo ndizo sababu zinazomweka mbali na mashabiki?!

Btw, kwanini Diamond awe ndie wa kuandaa pro bono shows na sio mwingine yeyote yule?! Kiba alishawahi kuandaa show kama hiyo? Vanessa alishawahi kuandaa show kama hiyo? Jux alishawahi kuandaa show kama hiyo?! n.k, n.k, n.k!!!
 
Ifuatayo ni Orodha ya Wapiga Ramli Mashuhuri Kwenye Muziki wa Tanzania kwa Kipindi cha Miaka 6 iliyopita:
January 27, 2015:
Kama wewe ni mfuatiliaji wa trend ya muziki hapa nchini utagundu hivi karibuni heshima ya diamond kimuziki imeshuka sana ila kinachoweka juu ni tetesi na magazeti na ni habari zisizohusiana na muziki,
November 20, 2014:
Diamond kweshiney nimesiki huo wimbo wake hamna kitu
Tena kuna vijana wengi tu wameachia ngoma zao week hii wamemfunika chibu bye bye Domo mr nice yuleeee anakusubiri kona bar mkacheze pool table!!
November 30, 2013:
...Baby Madaha alisema kwamba, “Binafsi niliposikia kwamba Diamond anaumiza kichwa kunasa penzi la msanii Elizabeth Michael maarufu kwa jina la (Lulu) sikushangaa hata kidogo. kwa sababu nilitambua kwamba soko lake la muziki limeanza kushuka hivyo lazima atafute eneo lingine la kujiimarisha kibiashara, ili jina lake liendelee kuwika”.
March 21, 2011:
namhurumia dogo almas toka pa shoka hapaingii kisu na soon ataanza kushuka kimuziki huyu wema nae kama katiwa ndimu!
 
Hio shughuli ya producer manecky, diamond nje ya manecky hamna lolote la maana alilofanya zaidi ya kutoa nyimbo mbovu kimapigo na kimashairi.
Refer to: Ukimwona, Mawazo, Mbagala, Nitarejea, Nenda Kamwambie n.k
Mbona hizo nyimbo ulitaja zote zilitengenezwa na Bob junior kasolo moja mawazo
 
Oya kesho natoa kichupa mitaa ya coco beach karbun masela pia ukiwa na watoto wakali wastuee ili video iwe tamu. Kama uko fresh nichek maximum watu 25.
 
Naomba nikiri kwamba me ni shabiki namba moja wa Diamond,Lakini dah! kiukweli kwa ule ukimya wa mda mref kutoka kwa diamond nilitegemea akirudi safari hii hatakua level zile tulizomzoea za kufanya kolabo na wasanii wa nigeria, Nilitegemea huu upepo walionao kina Davido ama Wizkid ungemuamsha na kwenda level za mbali zaidi lakini badala yake ameniangusha na amerudi kule kule nigeria, Dah!

Yani ile juzi niliposkia Kua kesho yake diamond ataachia hit nikajua kama sio feature Alicia Keys basi itakua ni French Montana ili kuzima ule upepo wa wakina davido na wizkid maana kusema ukweli kwasasa wanigeria wanazidi kuongeza gape kati yao na sisi tofauti na kipindi cha nyuma kidogo.



anyway,yote kwa yote nimpongeze kwa hit nzuri aliyoiachia japo haijakuna mtima wangu haswa lakini nashkuru kwa Kuliamsha Dude maana na najua wasanii wengine nao watafuata kuachia hit kwakua kaka mkuu kashaliamsha DUDE.

Ivi huyu jamaa keshagawa namba kwa mashabiki wake..?
 
Hio shughuli ya producer manecky, diamond nje ya manecky hamna lolote la maana alilofanya zaidi ya kutoa nyimbo mbovu kimapigo na kimashairi.
Refer to: Ukimwona, Mawazo, Mbagala, Nitarejea, Nenda Kamwambie n.k
mh kama vile kuna ka ukweli hapa
 
Una muono mzuri sana joh, Labda one day anaweza kubadilika kama tukiendelea kumwambia hivi,

hatumuombei aanguke ila kama wasikilizaji tunataka kile kilicho bora,

umetolea mfano wimbo wa NALIA umenikumbusha mbali sana.
I miss old Diamond kwa kweli.
Umeongea point,bila sisi kumwambia ukweli atapotea,mashabiki wake lazima tumwambie ukwel tu
 
Nyimbo zote kali lakini mimi kwa kweli I miss u dah naiangalia kila saa ngoma kali plus video na ile verse ya pili ndo kaua kabisa yani. Mond ni jini wa nchi kavu.
 
Back
Top Bottom